HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Mbona unaumia sanaBasi acha tukope tu ili tulipe mishahara.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona unaumia sanaBasi acha tukope tu ili tulipe mishahara.
Wengi huenda bado hamjaelewaMama ni Mama, yaani hapa ndio utajua, JPM alituua sana watanzania, yaani Mama katika mwaka mmoja kapandisha 23.3% yaani Watumishi wa umma wataandamana kumpongeza Mh. Rais Samia.
Mama Samia, watumishi wa Umma watakuombea kwa Mola na miaka yako iwe utakavyo duniani. Hii ni kazi kubwa sana Mama yetu kaifanya. Hakika Serikali ya CCM chini ya Mama yetu Samia imetenda makubwa hapa. Mungu ambariki Mama Samia sana.
Tunasoma juu juu tuWatu wanasoma kwa kukurupuka
Wewe ni MPUMBAVU. Tumekaa miaka 6 bila nyongeza ya mishahara hapa.Kuongeza mishahara aitatusaidia hali kuna bidhaa ambazo ni muhimu kila kukicha zinapanda bei na sio watanzania wote ni wafanyakazi . Mimi nafikiri jambo la msingi ni kuwapa unafuu wananchi katika bidhaa muhimu wanazotumia kila siku. Wanaokula keki ya taifa ndio wanaozidi kufaidi hali mtu asie na kazi anaumizwa ktk bidhaaa
Mtakula mlikopeleka mbogaHata sekta binafsi au inahusu serikalini tu?
Usimsahau mnyarwanda aliyekulia usukumani Suzy Elias na nduguze Nyani Ngabu Nyankurungu2020 na wengineo
🧐🧐Naam waweza shangilia kumbe hujui hiyo asilimia 23 inamaana gani?Hii 23.3% kwa kima cha chini cha mshahara kwa Watumishi wa Umma? Ina maana gani hasa? Msishangilie kwa hili
Je wewe ni mtumishi wa serikali? Maana kuongeza asilimia za mshahara kwa kima cha chini hakujaanza mwaka huu.Naelewa nachosema, nchi zote Duniani hutumia hiyo standard katika kuset mishahara. Unapongeza mshahara huwezi sema kila kada itakuwa hivi na hivi, Unataja kwa ujumla sasa kima cha chini kitapanda kwa % kadhaa, hapo una maanisha wengine wataongezeka kutokana na asilimia hizo hapo.
SERIKALI INAPANDISHWA MISHAHARA KWA WATUMISHI WAKE WOTE KWA UJUMLA NA RATE SAWA. MTATOFAUTINA POSHO KULINGANA NA TAASISI.
NdiooooooAtake asitake tutamlazimisha.
Mkuu mbona hilo tangazo la ikulu liko wazi kabisa.Afadhali wewe umeliona hilo. Unless otherwise mwandishi naye kiswahili kwake ni taabu, Lakini tafsiri ya aya ya kwanza ni hii.
1. Rais amekubali kuongeza mshahara kwa kiasi ambacho bado hakijawekwa wazi na ameongeza pia kima Cha chini kwa 23.3/%
2. Rasi amekubali kuongeza mshahara kwa 23.3% na kima Cha chini kwa 23.3%.
Umeshaambiwa watumishi wa umma? No offence private sector ila pambaneni kivyenuHata sekta binafsi au inahusu serikalini tu?