Rais Samia akutana na Baraza la Maaskofu (TEC), Kilaini aelezea Historia yake na utaifishaji wa mashule 1970

Sisi tuliopewa kuzifahamu "siri" za Ufalme wa MUNGU, tunalitizama tu hili "kanisa" la "kinafiki" na kulionea huruma maana tunajua nini utakuwa mwisho wake.
Soma Ufunuo 17:1-2
 
Hawana mifumo kabisa watu wanatoka Mbezi mwisho kuna kanisa la TAG anaenda kusali Kimara TAG. Mara nyingi makanisa haya wanamfuata mchungaji na si mfumo wa kanisa. Akifa mchungaji wanasambaratika
 
Sasa kama mama ameweza kukutana na waromani bila mtu wa katikati, kwanini wanalazimisha cdm wapeleke hoja zao kwa Shibuda, kabla ya kuzipeleka kwa rais?
Chadema hamna akili, hivyo ni lazima hoja zenu zipitie kwa mwenye akili kwanza kabla ya kumfikia raisi
 
Kwani waliporwa na nani?
Serikali ilitaifisha Ila kuna bàadhi wamesharejeshewa kama Forodhani ambayo Kwa sasa ni St.Joseph IPO Primary na A level. Ziko nyingine pia walirejeshewa.

Kuna kipindi wakati wa kikwete kama sikosei walikuwa na mchakato wa kuomba kurejeshewa nyingine ikiwemo Pugu Secondary, Kikakala, Weruweru, Tabora zote n.k. Kifupi shule nyingi kongwe unazozisikia ni za Kanisa Katoliki na zilikuwa na majina ya Kikatoliki mfano Kikakala iliitwa Marian, Weruweru Assupmpta n.k.
 
Sisi tuliopewa kuzifahamu "siri" za Ufalme wa MUNGU, tunalitizama tu hili "kanisa" la "kinafiki" na kulionea huruma maana tunajua nini utakuwa mwisho wake.
Soma Ufunuo 17:1-2
1 Akaja mmoja wa wale malaika saba, wenye vile vitasa saba, akanena nami, akisema, Njoo huku, nitakuonyesha hukumu ya yule kahaba mkuu aketiye juu ya maji mengi;
2 ambaye wafalme wa nchi wamezini naye, nao wakaao katika nchi wamelevywa kwa mvinyo ya uasherati wake.
 
Kichwa cha habari ulichotumia kina ukakasi na nia ovu ambayo sababu yake siioni- UMEHARIBU
 
Kanisa katoliki halijaweza kabisa kutuletea viongozi watenda haki,wenye upendo na kujali maisha na utu wa watu!! Ukiacha hawa wadogo tizama yule wa awamu yakwanza,yatatu na tano!! Watu tumeteseka mmmno na kanisa halikukemea bali kusifu!..
Hilo lilikuwa kanisa langu nikalipotezea. Ina maana kwenye huo mkutano wao wa leo wala hawajagusia kuhusu katiba mpya? Utashangaa mchakato wa katiba mpya ukirejea wakatoa watu wa kwenda kuongelea jambo wasilolipa msukumo.
 
Chadema hamna akili, hivyo ni lazima hoja zenu zipitie kwa mwenye akili kwanza kabla ya kumfikia raisi

Ni kweli, na ccm wakaona mwenye akili wa kupima hoja za cdm ni Shibuda!
 
Kwa maana nyingine LEO shilingi zimekutana.
 
Ndugu yangu watu wengi wanaojiita "Wakristo" hawajui kuwa Ufunuo aya ya 17 na 18, anayezungumziwa ni kanisa katoliki. Siri hii nawapa leo, yule KAHABA ni kanisa katoliki na mji ule mkubwa wenye uflame juu ya wafalme wa nchi ni jiji la Roma.

Mwenye masikio na asikie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…