Rais Samia akutana na Baraza la Maaskofu (TEC), Kilaini aelezea Historia yake na utaifishaji wa mashule 1970

Kweli tulipotea mahali..., Mbona hakuna mtu anayesifu mizimu ya babu zetu na hatusemi kitu...

Au ndio tunaona babu zetu / tulipotoka walikuwa wapuuzi na hizi imani za sasa ndio ustaarabu ?.., Mimi hata angesimama hapo akasifu mashetani (So long as anafuata Katiba na hatoi dhihaka kwa yoyote sioni shida) Pia when in Rome do as Romans..., yupo kwenye Nyumba ya wasifu Kristu..., sasa ulitaka amsifu nani, yeye kama kiongozi ?

Pia kumbuka kwake huyo yeye ananmtambua kama Nabii Issa (Sio kwamba hamtambui); though that's neither here nor there....

Tuache hayo tujenge taifa lenye wananchi wenye imani tofauti
 
We nae mbona MNA visasi hivyo. Hakuna aliyemuona Mungu yaani mnapenda kuhukumu kweli. Yaani Mimi walokole ndo wanaponichoshàga hapo. Hamuombeagi toba kwa sababu mnajua bibilia basis kazi yenu ni kuwanyooshea wenzeni vidole hawako safi.

Hebu kama mtu asiye na dhambi awe Wa kwanza kumpiga huyu mama anayetuhumiwa uzizni Yesu alisema
Sasa nyie asilimia kubwa mnashikiliwa kwenye uzinzi uliopitiliza hebu ombeni toba maana hakuna watu wenye maisha ya KINAFKI kama nyie walokole mnamaisha ya ucku mwimgi
 
LUKA 25:45
45. Ndipo akawafunulia akili zao wapate kuelewa na maandiko.

Ucjali Roho Mtakatifu atakufunulia.
 
Roman Catholic wanahitaji shule zao. Ni shule nyingi kwa kweli hasa za Msingi.
 
Nini hiki jamani, umeandika kama vile Samia ni mkubwa sana kiasi kwamba akimsifu Yesu iwe swala kubwa. Mbele ya Yesu samia ni kama wewe au mimi
Samia hawezi kulinganishwa na Yesu Kristo, ni rahisi kulinganishwa kinyago na mchonga kinyago! Ila ilitafsiriwa kuwa SSH hataki kumsifu Yesu kwa salamu! Ni hapo tu...na unajua "kuna furaha kuu mbinguni kwa mwenye dhambi mmoja atubuye"😜!
One love!
 
Haya bana mkuu. Na unapenda sana kutumia emoji
 
Ilitafsiriwa na nani kuwa Samia hataki kumsifu yesu kwa salamu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…