Nauunga mkono maoni yako... baadhi ni wanafiki sana hao maaskofu! Hapo askofu ni Niwemugizi na Ruwa'ichi tu wengine chenga linapokuja suala la kuwaonya watawala. Wanageuka na kushiriki nao karamu za dhuluma!
We nae mbona MNA visasi hivyo. Hakuna aliyemuona Mungu yaani mnapenda kuhukumu kweli. Yaani Mimi walokole ndo wanaponichoshàga hapo. Hamuombeagi toba kwa sababu mnajua bibilia basis kazi yenu ni kuwanyooshea wenzeni vidole hawako safi.Ndugu yangu watu wengi wanaojiita "Wakristo" hawajui kuwa Ufunuo aya ya 17 na 18, anayezungumziwa ni kanisa katoliki. Siri hii nawapa leo, yule KAHABA ni kanisa katoliki na mji ule mkubwa wenye uflame juu ya wafalme wa nchi ni jiji la Roma.
Mwenye masikio na asikie.
Tofauti ya KKKT na kkkt ni nini?TEC wako KKKT na sio kkkt uwe na uelewa ndio upost haya maneno
LUKA 25:45Hebu ombeeni kabisa acheni kulalamika na kulialia fanyeni ibada za kufunga milimani acha kulalama na kuleta vifungu hapa. Wewe umeijua kweli basis utushirikishe sio kututisha kwa vifungu vya biblia. Mungu ni wakwetu sote na Kila mtu ana mwisho wake. Bwana awajua walio wake
Amani ya bwana iwe naweSALAMAREKO.
Amani ya bwana iwe nawe
Mengine siyo makanisa, ni madhehebu. They're non conformists.Kwahiyo mengine siyo makanisa? Respect beliefs of others,
Samia hawezi kulinganishwa na Yesu Kristo, ni rahisi kulinganishwa kinyago na mchonga kinyago! Ila ilitafsiriwa kuwa SSH hataki kumsifu Yesu kwa salamu! Ni hapo tu...na unajua "kuna furaha kuu mbinguni kwa mwenye dhambi mmoja atubuye"😜!Nini hiki jamani, umeandika kama vile Samia ni mkubwa sana kiasi kwamba akimsifu Yesu iwe swala kubwa. Mbele ya Yesu samia ni kama wewe au mimi
mkuu unautani na dorothy sio bureSALAMAREKO.
Haya bana mkuu. Na unapenda sana kutumia emojiSamia hawezi kulinganishwa na Yesu Kristo, ni rahisi kulinganishwa kinyago na mchonga kinyago! Ila ilitafsiriwa kuwa SSH hataki kumsifu Yesu kwa salamu! Ni hapo tu...na unajua "kuna furaha kuu mbinguni kwa mwenye dhambi mmoja atubuye"[emoji12]!
One love!
Ilitafsiriwa na nani kuwa Samia hataki kumsifu yesu kwa salamu?Samia hawezi kulinganishwa na Yesu Kristo, ni rahisi kulinganishwa kinyago na mchonga kinyago! Ila ilitafsiriwa kuwa SSH hataki kumsifu Yesu kwa salamu! Ni hapo tu...na unajua "kuna furaha kuu mbinguni kwa mwenye dhambi mmoja atubuye"[emoji12]!
One love!