2019
JF-Expert Member
- Dec 31, 2018
- 3,130
- 4,735
KabisaMkuu,kwa sisi tuliofanya kazi kwenye taasisi za dini, tunajua jinsi unafiki ulivyo chanda na pete na hawa "watu wa Mungu".
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KabisaMkuu,kwa sisi tuliofanya kazi kwenye taasisi za dini, tunajua jinsi unafiki ulivyo chanda na pete na hawa "watu wa Mungu".
walishindwaje kumwambia mwenyewe alipokuwa hai?Yani Samia kapewa makavu live na kanisa kwamba mwendazake alizingua dah noma sana
Wewe umekaririshwa nini na mama Elen G White?Wafia dini ndicho mlichokaririshwa.
Uongo uko wapi hapo?Acha upimbi
Uchaguzi wa TEC wa mara ya mwisho ulikuwa influenced na watu wa TISS. Waliweza kumpenyeza na kisha kumchagu-lisha Askofu Gervas Nyaisonga wa Jimbo la Mbeya kuwa Mwenyekiti wa TEC kwa miaka 5 kuanzia 2018. Eti ilionekana kuwa kanisa liko mbali na Serikali wakati wa Mwenyekiti Tarcissius Ngalelikumtwa wa Iringa hivyo basi wamchague Gervas Nyaisonga kwa vile ana urafiki binafsi na Jiwe.Aisee mwendazake kweli alizingua yani naona nyaisonga analalamika mbele ya mama rais Samia kwamba kanisa likipata hasara Sana kwenye taasisi zake za elimu nk. Aisee yani mwendazake Basi tu.
Aisee mwendazake kweli alizingua yani naona nyaisonga analalamika mbele ya mama rais Samia kwamba kanisa likipata hasara Sana kwenye taasisi zake za elimu nk. Aisee yani mwendazake Basi tu.
Madhehebu yameanzishwa na wanadam mf. Wasabato Elen G White KKKT Martin Luther n.k Ila Kanisa ni moja lililoanzishwa na Kristu mwenyewe mbele ya mitume wake.Ndio maana linaitwa kanisa Moja,Takatifu la Mitume pale Yesu alipomwambia Petro kuwa juu yako nitalijenga kanisa langu.Msingi wa ukristo ni Kristo mwenyewe haya madhehebu yote narudia tena yoooote yameanzishwa na wanadamu.
Hakuna dhehebu lolote chini ya jua ambalo litampeleka mtu / waumini mbingini.
Eti unamuita chuma!! Yule mwovu kamwe hawezi kupumzika kwa amani. Huko Jehenam bado Shetani amemuacha mlangoni kwa kuwa kila akisoma faili la maovu yake anamuona ni tishio hata kwa utawala wake.Wamuache kiumbe wa mwenyezi Mungu apumzike kwa amani, alivyokuwa hai mbona wote waliufyata....kile chuma hapa ndio nakikubali, undava undava...sasa hivi wapumbavu wananyanyua midomo na wengine kufikia kiasi cha kutaka kuanza kumsumbua mama.... RIP Magu....(mwenyezi Mungu msamehe huyu mzee kila ovu lake na umpe pumziko la amani milele)...
Nilipingana na kile chuma kwenye mitazamo fulani fulani, ila kuna mafala aliwanyoosha....eti leo nao wanavimba vifua kwa mama...jamaa alikuwa akiongea watu wote kimya kasoro kigogo tu...yaani kama mwamba basi ni kigogo peke yake...wengine wote mafala tu..bora mkae kimya tu, maana kama kudai haki mngeidai kipindi kile tuone kweli mnadai haki...
walishindwaje kumwambia mwenyewe alipokuwa hai?
waliogopa nn? kama wao waliogopa, waumini inakuwaje?
yohane mbatizaji hakuogopa kumpa makavu mfalme, ijapo aliishia kukatwa kichwa, hiyo ndio sifa ya kiongozi wa kanisa
Uvivu wako wa kusoma na kuomba uelekezwe ili uelewe unakufanya ujudge na uponzwe na ujinga wako.ooh kwahiyo petro ndiyo badala ya Yesu? nilidhani kanisa linajengwa juu ya msingi ambae ni yesu kristo kumbe limejengwa juu ya mwandamu petro! Ukristo hovyo kabisa huo bora kuwa mpagani tu
Ni lile lile mkuu! Waingiliaji ni yale madhehebu yanayojitenga ambayo Yesu mwenyewe alimwambia Petro kuwa kanisa litajaribiwa lakini litashinda!Lakini hili ni roman catholic siyo lile la mitume! yesu alicha kanisa lake safi kabisa hili lilingiliwa
"Nilitembelea Hospitali ya Mwananyamala, kuna wodi daktari mfawidhi alikuwa ananiingiza akaniambia humu kuna wagonjwa wenye matatizo ya kupumua. Nikwambia kuwa muwazi, ni COVID[19] kasema, ndio, COVID. Nikawaambia wapigapicha wangu tokeni haraka."- Rais Samia Suluhu Hassan
Eti unamuita chuma!! Yule mwovu kamwe hawezi kupumzika kwa amani. Huko Jehenam bado Shetani amemuacha mlangoni kwa kuwa kika akisoma faili la maovu yake anamuona ni tishio hata kwa utawala wake.
Magufuli will REST IN HELL forever