NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Sifa za kijinga hizo!Daah Mama anaupendo sana jamani hii video imegusa hisia za watu wengi sana, Mungu endelea kumpa maisha marefu Rais wetu kwa ajili ya watanzania
Huyu Mtoto aliomba kuonana na Rais Samia Suluhu maana amemsaidia matibabu kwa miezi 6 katika hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es Salaam
View attachment 2600422
![]()
Mtu kupata matibabu ni haki sio msaada toka KWA Rais!!!
Kutoa msaada ni dalili ya kushindwa mfumo wa afya nchini KWA watu wote!!!