Pre GE2025 Rais Samia ameinunua CHADEMA, maaskofu, wasanii, na wote wenye ushawishi ila bado simpendi mpaka kiama

Pre GE2025 Rais Samia ameinunua CHADEMA, maaskofu, wasanii, na wote wenye ushawishi ila bado simpendi mpaka kiama

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwanini unatusemea wote? Hebu jisemee nafsi yako tu. Ungekuwa na akili timamu ungekuwa unatumia fursa hizi kutengeneza fedha!!
Hajasemea wote ameongelea wenye akili tu, kama upo ule upande jua tu wewe ni tabla lasa
 
Nampenda kwa ajili ya Allah

Suala la kodi linaumiza sana, hapa nilipo nalipa
1. Kodi ya pango la serikali kila mwisho wa mwezi
2. Kodi ya eneo la serikali kila mwezi
3. Service levy tena ni kubwa
4.Kodi ya takataka
5. Maji
6. Umeme
7. Kurenew leseni kila mwaka

Yote haya ni ya nini! Tena kwa mtu mmoja tu!

Mh Rais naomba utupunguzie matozo yasiyo na maana, hapo ningeomba ibaki tozo ya "unaponunua umeme kwa maana kila mwisho wa mwezi" kama ni 1000/= ama 1500/= zinazobaki futilia mbali.

Mimi ni muislamu, wewe pia ni muislamu na unajua utakuja kuulizwa.

Ni hayo tu!
Ukifuta hizo kodi hutakuwa na Serikali. Kodi ndiyo inayoendesha Serikali.

Hoja ya kusema wewe ni muislamu haina mantiki. Ni pumba tu
 
Kwanini unatusemea wote? Hebu jisemee nafsi yako tu. Ungekuwa na akili timamu ungekuwa unatumia fursa hizi kutengeneza fedha!!
Fedha ninazo nyingi tu lakini naumia nikiona watu wengine wanataabika wakati viongozi wanatumia hovyo maliasili za umma
 
Ukifuta hizo kodi hutakuwa na Serikali. Kodi ndiyo inayoendesha Serikali.

Hoja ya kusema wewe ni muislamu haina mantiki. Ni pumba tu

Kwakua wewe si muislamu, hivyo huwezi elewa.

Wewe ni mtu wa serikali sio? Unashabikia matozo kweli!!
Tozo nyingi, zipungue, service levy iondolewe, kwenye madini kuna kodi 3 kama sikosei
1 Kodi ya madini
2 service levy
3 TRA, hapo kabla haikuwepo.
 
Huyu aende kuwa raisi wa Zanzibar kama anaitaka mno uraisi

Mama yupo vizuri kuliko marais wote waliopita japo ana mapungufu yake

Na kila rais ana mapungufu yake, magu alikua na mazuri na mabaya yake, kwa upande wa ofisi za serikali aliwanyoosha kweli kweli , mafisadi alijitahidi kuwabana kiasi, ila matajiri aliwabana sana mpaka walihama nchi, watu wa nje aliwataifishia mali zao n.k. kwa upande wa watu wa chini hakuna alichokifanya cha maana.
 
Kwakua wewe si muislamu, hivyo huwezi elewa.

Wewe ni mtu wa serikali sio? Unashabikia matozo kweli!!
Tozo nyingi, zipungue, service levy iondolewe, kwenye madini kuna kodi 3 kama sikosei
1 Kodi ya madini
2 service levy
3 TRA, hapo kabla haikuwepo.
Hii nchi haina dini wewe pimbi kama ilivyo Somalia au Afghanistan au Iran. Kasome Katiba ndiyo utanielewa. Dini ni jambo binafsi na Serikali haiingilii
 
Hii nchi haina dini wewe pimbi kama ilivyo Somalia au Afghanistan au Iran. Kasome Katiba ndiyo utanielewa. Dini ni jambo binafsi na Serikali haiingilii

Kwakua wewe si muislamu hivyo huwezi nielewa
 
Kwakua wewe si muislamu, hivyo huwezi elewa.

Wewe ni mtu wa serikali sio? Unashabikia matozo kweli!!
Tozo nyingi, zipungue, service levy iondolewe, kwenye madini kuna kodi 3 kama sikosei
1 Kodi ya madini
2 service levy
3 TRA, hapo kabla haikuwepo.
Mambo ya msikitini peleka msikitini na yaache huko huko
 
Back
Top Bottom