Pamoja na kuwa na kipato cha kawaida ninawasomesha shule nzuri yenye elimu bora, wanakula, kulala na kuvaa vizuri sana. Wanapata malezi bora ya Mama yao na Baba yao kwa ukaribu sana. Na mwisho nimeweza kujenga nyumba mbili nzuri na za kisasa kabisa
Nyumba mbili tu ?. Pole
 
hujui lolote kuhusu population istudies wewe
over population na under population manake ninini?
una bidhaa gani za ndani hata u hamasishe watu kuzaliana wewe?
vipo wapi vile viwanda vya awamu ya tano, hata tuhamasishane kuzaliana?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…