imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Matokeo yake ni utitiri wa Panyarodi.Mzilankende Mnyago Alisema Zaeni Elimu Ni Bure
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Matokeo yake ni utitiri wa Panyarodi.Mzilankende Mnyago Alisema Zaeni Elimu Ni Bure
Pamoja na kuwa na kipato cha kawaida ninawasomesha shule nzuri yenye elimu bora, wanakula, kulala na kuvaa vizuri sana. Wanapata malezi bora ya Mama yao na Baba yao kwa ukaribu sana. Na mwisho nimeweza kujenga nyumba mbili nzuri na za kisasa kabisaWewe mwenye watoto wawili una maisha gani mazuri ?
Pole sana,Hilo limetokea wakati Rais Samia Hassan akizungumza na Wananchi wa Runzewe, leo Oktoba 16, 2022
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Shaka Hamdu Shaka aliwasisitiza Wananchi kuzaa zaidi kwa kuwa madarasa na vituo vya afya vinajengwa na wawekezaji wanaongezeka Nchini
Rais Samia akajibu “Hilo la zaeni tu hapana, jana nimesimama Buseresere naambiwa kituo kimoja kinazalisha watoto 1000 kwa mwezi, sasa hapo baada ya miaka mitatu ni madarasa mangapi? Kama ni vituo vya afya vingapi, tani za chakula ni ngapi? Punguzeni kidogo spidi.”
Hakuna nchi yenye sera kali ya uzazi wa mpango kama China elewa hilo. Pamoja na uchumi mkubwa no more than one child per couple. Una maoni gani kulinganisha na sisi makapuku tunaomba hadiisaada ya matundu ya vyoo?Nchi kama India na China uchumi wake unakuwa kila siku na hii ni kwa sababu wanategemea soko la ndani kuliko hata la nje.
Unapokuwa na idadi kubwa ya watu maana yake ni kuwa una uwezo wa kuwa na nguvu kazi ya kutosha na pia soko la ndani la bidhaa utazozalisha.
Nashangaa kusikia mkuu wa nchi kutoa tamko watu wapunguze kuzaliana kisa tu ana hofu ya kujenga madarasa na Zahanati.
Zahanati na madarasa ni ngumu Kujenga?
View attachment 2389621
Jifunze kwanza kuandika, UJA ndo nini?Mwambieni Samia KILA MTOTO UJA NA SAHANI YAKE.
Na rizki zinatoka kwa Mungu
Mama yako na baba yako wasingezaa ovyo inawezekana wewe usingezaliwaJifunze kwanza kuandika, UJA ndo nini?
Acha kuzaa zaa ovyo.
Kweli Kabisa hasa Kanisa la KKKT Moshi wanawadanganya waumini wao wazae watoto wengi ili hali hawawatembelei wala hawajui wanakula nini........
Nguvukazi isiyokuwa na kazi ni nguvukazi gani hiyo?
Nguvukazi ya machinga bodaboda na ku bet?
JPM alisema tuzaane tu 'wasomi ' wakamjia juu na umuhinu wa kizazi wa Mpango
Samia kasema tupunguze speed 'wasomi wetu' wamemjia juu na takwimu za umuhimu wa kuwa na watu wengi
Pohamba nikiwa Rais ntasema tuzaane sana japo tupunguze speed
Raisi wangu mpendwa yuko sahihi kabisa, sisi Wanadamu tunafikiria hii Dunia ni kubwa wakati sio kweli, tukizaliana kama Mchwa tutamaliza Rasilimali za hii sayari matokeo yake tutaangamia kama viumbe vilivivyopita Madinosaurs.
Hebu angalia hii picha iliyopigwa na chombo cha anga za juu cha China kikionyesha Dunia na Mwezi wake.[emoji45]
Tupange uzazi wa mpango laa sivyo Caniballism ndio itakua future.
Tuacheni kuharibu Mazingira tutumie Condom wakati wa kustarehe.
View attachment 2389316
[emoji115]Dunia yetu na Mwezi wake tafakari chukua hatua.
Very fragile.
Ccm bhana...Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Shaka Hamdu Shaka aliwasisitiza Wananchi kuzaa zaidi kwa kuwa madarasa na vituo vya afya vinajengwa na wawekezaji wanaongezeka Nchini
Huna hata viatu , acha kudanganya mkuu.Pamoja na kuwa na kipato cha kawaida ninawasomesha shule nzuri yenye elimu bora, wanakula, kulala na kuvaa vizuri sana. Wanapata malezi bora ya Mama yao na Baba yao kwa ukaribu sana. Na mwisho nimeweza kujenga nyumba mbili nzuri na za kisasa kabisa
Ukitaka kujua umuhimu wa watu wengi waulizeni Ukrain, wakati wao wanamibilise watu 15000 Mrusi yeye anamobilise watu 300,000 alafu unaenda pambana naye
Sio kuzaa ovyo.Inatakiwa kuzaa zaidi kupitia ndoa.Hapo Shaka yuko sahihi. Ulaya majumba yanaongezeka yasiyo na watu na majeshi yanakosa makruta.Sera zao ni hizo za kupunguza kuzaa.Kuzaaa zaa hovyo ni sera ya jiwe, huyu mwenezi wa CCM naye hana akili kama anaamini kwenye watu kuzaa hovyo kisa miradi, huku Tanzania na Dunia ikikabiliwa na ukame na njaa.
Ukosefu wa ajira, uvamizi wa vyanzo vya maji, uvamizi wa misitu, machinga kujaa mitaani na kuziba barabara halafu unawaambia watu wazae watoto 9?
Sio kuzaa ovyo.Inatakiwa kuzaa zaidi kupitia ndoa.Hapo Shaka yuko sahihi. Ulaya majumba yanaongezeka yasiyo na watu na majeshi yanakosa makruta.Sera zao ni hizo za kupunguza kuzaa.
Mama yako na baba yako wasingezaa ovyo inawezekana wewe usingezaliwa
Sasa kwanini usingeshauri wazazi wako na wao wakatumia kondom ili wewe usuzaliwe wafanye uzazi wa mpango?yaani baada ya wewe kuzaliwa ndo unadai uzazi wa mpango?ungekuwa bado upo viunoni mwa baba yako ungedai kweli uzazi wa mpango?basi ngoja nikwambie kitu HAKUNA MTOTO ANAYEZALIWA KWA BAHATI MBAYA.wote wanazaliwa kutoka na mipango ya Mungu kwa viumbe vyake.Watu kama wewe wazazi wenu wangetumia condom msitokee ingekuwa faida kubwa kwa taifa hili kwa sababu mmegeuka mizigo tu kwa ujinga wenu.