Medecin
JF-Expert Member
- Nov 29, 2011
- 8,221
- 22,496
Unalamba asali kwa take home ya 500k, hiyo unayolamba ni mbilimbi sio asaliZaeni ili sisi Walimu Tuendelee kulamba Asali
Hizi fani
Kilimo
Ualimu
Udaktari
Tutalamba Asali Hadi mwisho wa nchi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unalamba asali kwa take home ya 500k, hiyo unayolamba ni mbilimbi sio asaliZaeni ili sisi Walimu Tuendelee kulamba Asali
Hizi fani
Kilimo
Ualimu
Udaktari
Tutalamba Asali Hadi mwisho wa nchi
Nyie zaeni mtuletee watoto wenu huku Dumu fagio tuwalambe bakora za maanaUnalamba asali kwa take home ya 500k, hiyo unayolamba ni mbilimbi sio asali
Ni ujinga kutetea uzazi usio na mpango!Ni umaskini mtupu
ujinga tuUnalamba asali kwa take home ya 500k, hiyo unayolamba ni mbilimbi sio asali
Shaka mswahili anajua wasukuma washamba flani wa kupenda kuzaa hovyo hawajastaarabika ni dharau halafu wao wanachekeleaHilo limetokea wakati Rais Samia Hassan akizungumza na Wananchi wa Runzewe, leo Oktoba 16, 2022
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Shaka Hamdu Shaka aliwasisitiza Wananchi kuzaa zaidi kwa kuwa madarasa na vituo vya afya vinajengwa na wawekezaji wanaongezeka Nchini
Rais Samia akajibu “Hilo la zaeni tu hapana, jana nimesimama Buseresere naambiwa kituo kimoja kinazalisha watoto 1000 kwa mwezi, sasa hapo baada ya miaka mitatu ni madarasa mangapi? Kama ni vituo vya afya vingapi, tani za chakula ni ngapi? Punguzeni kidogo spidi.”
Pale Wasukuma ni minority Wasumbwa hawapendi kuzaa kama Wasukuma.Shaka mswahili anajua wasukuma washamba flani wa kupenda kuzaa hovyo hawajastaarabika ni dharau halafu wao wanachekelea
Heluwaa heluwaaaaa!😋Shaka wanaCCM wanasema ni punga na bwana huko pemba
Hivi kwa nini huwa mnapenda kutumia lugha ya dharau kwa makabila ya wenzenu? Wewe unawaona wasukuma hawajielewi! Je unawazidi maisha? Ushawahi kuwalisha au kuwasaidia kulea watoto! Wako wengi tu wanamaisha mazuri kukuzidi wewe na ukoo wako! Punguza dhararu man!Shaka mswahili anajua wasukuma washamba flani wa kupenda kuzaa hovyo hawajastaarabika ni dharau halafu wao wanachekelea
Runzewe huwezi kusema wasukuma ni manority! Kahama na bukombe yote ni asili ya wasumbwa ila kwa sehemu kubwa shughuli za pale zinatawaliwa na wasukuma wahamiaji! Hata nyakanzi kwa sehemu kubwa bado wasukuma wanaiendesha! Wasumbwa ni kabila dogo sidahini kama wanaweza kuwa na majority runzewe!Pale Wasukuma ni minority Wasumbwa hawapendi kuzaa kama Wasukuma.
Na sio waharibifu wa mazingira hawakati miti ovyo kwasababu wanategemea Nyuki kwa ajili ya asali.
Ndio maana penye Msumbwa mapori bado yako
Msukuma na Mhutu ndio adui wa Mapori wakiachiwa wanaweza kuyamaliza ndani ya miaka mitano.
Ndugu utakuwa Msukuma ondoa kwanza hiyo boriti ya Kikabila ndio tuwe na mjadala mzuri.Runzewe huwezi kusema wasukuma ni manority! Kahama na bukombe yote ni asili ya wasumbwa ila kwa sehemu kubwa shughuli za pale zinatawaliwa na wasukuma wahamiaji! Hata nyakanzi kwa sehemu kubwa bado wasukuma wanaiendesha! Wasumbwa ni kabila dogo sidahini kama wanaweza kuwa na majority runzewe!
Sasa mi kiwa msukuma sio shida! Msukuma na ukabila wapi na wapi? Niko Dar mkuu! Hayo maeneo nayajua sana huwezi kunidanganya hata kidogo kuanzia Tinde-isaka-kahama-runzewe-nyakanazi -rusumo mpaka benako nayajua maeneo hayo vizuri!Ndugu utakuwa Msukuma ondoa kwanza hiyo boriti ya Kikabila ndio tuwe na mjadala mzuri.
Unayajua kivipi?Hayo maeneo nayajua sana huwezi kunidanganya hata kidogo kuanzia Tinde-isaka-kahama-runzewe-nyakanazi -rusumo mpaka benako nayajua maeneo hayo vizuri!
Nimekaa na kufanya mishe huko! Ukitaka taarifa karibu nikupe!Unayajua kivipi?