whiteskunk
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 3,904
- 9,342
Ni kweli sio busara kuzaa mtoto akateseka.
Dunia yote inasisitiza na kuweka mkazo katika kutoa Elimu juu ya uzazi wa mpango, huwezi ukawa na watoto wengi wakati hata kuwalea huwezi, kazi siyo kuzaa tu Bali lazima ufahamu kuwa mtoto akizaliwa anahitaji Mahitaji mengi Sana ambapo