Nakubaliana na Mwenyekiti wangu kwa [emoji817]%,haiwezekani uwepo wa madarasa , huduma za afya na wawekezaji iwe kigezo Cha watu kuzaliana hovyo ,
Kuzaa Kuna maaana pana sana, yaani chakula, mavazi pamoja na malazi, haiwezekani mtu azae harafu watoto wanatembea matako wazi, wanashindia mlo mmoja na mahali wanapolala hata mbwa wa dimond hawezi kupumzika hata kwa dakika moja
Rais asiishie hapo tu, watu waelimishe, ikibidi kuwe na Sera ya taifa watu wazae mwisho watoto watatu tu,
hapa ninapoishi Kuna jirani yangu, kula kwake Hadi aje kunichotea maji ndo apate pesa ya matumizi,chakusikitisha ana watoto wanne,na juzi tu mke kajifungua mtoto wa tano,Sasa unabaki kujiuliza anamzalia Nani,au Kuna mahali mwenzangu nanampango wa kwenda kuuza hao watoto!!? Huwa natamani kumchalaza bakora Ila Basi tu.