Rais Samia ampinga Shaka kuhusu kuzaa zaa
Msidanganye watu kwamba wanazaa sana kwa sababu wamebarikiwa. Binadamu asipotaka kuzaa anaweza kujizuia kuzaa, wanaozaa sana wanataka kuzaa hivyo au wakati mwingine ni bahati mbaya na wengine wengi hawana uelewa wa jinsi ya kujipanga katika uzazi na kujizuia.
Ila miaka hii kweli Mungu amebariki watu wanazaa sana
 
Hawasemi ajira ziko za kutosha, wanasema zaane sana kwa sababu zahanati na shule zinajengwa za kutosha kwa kuwa wanajua ukizaa sana watoto watakudodea mwenyewe, zahanati zinajengwa ni kweli lakini wanajua huduma zake hazitolewi bure utalipia, Elimu wanajua utagharamia lakini watoto watakudodea mwenyewe kwa kuwa hakuna ajira, Zilizopo ni zao na hawako tayari kuacchia.
 
Hii nchi haipaswi kujazwa yote, yanapaswa kubaki maeneo ya kutosha kwa ajili ya Simba, vifaru, Tembo, Twiga na wanyamapori wengine.

Yanapaswa kubaki maeneo ya kutosha kulima, open space, misitu n.k

Halafu kuijaza tu nchi huku mkiwatishwa gharama wengine ni ujinga na ujuha. Madawati ya watoto wenu, barabara mnazopita, hospital mnazotibiwa wengi mnaozaana sana hata hamjazilipia kodi ya maana, huo mzigo wa kodi wanabebeshwa wafanyabiashara na wafanyakazi wachache kuwahudumia wafyatuaji na wajazaji nchi hoehae.
... safi sana; maelezo murua kabisa. Mdogo mdogo naanza kuona some kind of class struggles at least katika level ya thinking kuwatoa ujinga wajinga wachache (wazaa ovyo bila malezi). Inashangaza sana kupenda kuzaa wakati basic needs like kumnunulia mwanao madaftari au uniform za primary ya serikali huwezi! Huo ni ukatili kwa watoto; sera na sheria zitungwe kudhibiti ujinga huu.
 
Msidanganye watu kwamba wanazaa sana kwa sababu wamebarikiwa. Binadamu asipotaka kuzaa anaweza kujizuia kuzaa, wanaozaa sana wanataka kuzaa hivyo au wakati mwingine ni bahati mbaya na wengine wengi hawana uelewa wa jinsi ya kujipanga katika uzazi na kujizui

Msidanganye watu kwamba wanazaa sana kwa sababu wamebarikiwa. Binadamu asipotaka kuzaa anaweza kujizuia kuzaa, wanaozaa sana wanataka kuzaa hivyo au wakati mwingine ni bahati mbaya na wengine wengi hawana uelewa wa jinsi ya kujipanga katika uzazi na kujizuia.
Binafsi nina watoto wanne, ila natamani hata ningekuwa nao sita.
 
Mwenza wa mama Samia ameonekana kwenye msafara wa Rais mkoani Geita ila hakuwasalimia wananchi ili wamfahamu kwanini?
 
Sio kuzaa ovyo.Inatakiwa kuzaa zaidi kupitia ndoa.Hapo Shaka yuko sahihi. Ulaya majumba yanaongezeka yasiyo na watu na majeshi yanakosa makruta.Sera zao ni hizo za kupunguza kuzaa.
Sasa kwani hapa ni Ulaya? Tunazungumzia Tanzania wewe unatoa mifano ya Ulaya?
 
Shaka alisema utafiti umeonyesha wananchi walio wengi wanakubaliana na tozo, kesho yake serikali ikatangaza Tume ya kuchunguza na kufuta tozo.

Hivi Shaka of all the people alikuwa na qualifications gani kufanywa spokesperson wa CCM?
 
Binafsi nina watoto wanne, ila natamani hata ningekuwa nao sita.
Mamndenyi, uwe nao hata 100 as long as unawamudu kimaisha haina tatizo. Tatizo linakuja pale unapozaa halafu huna plan yoyote ya kuwalea au kuwawezesha kimaisha; wanageuka kuwa mzigo sio kwako tu, bali kwa jamii na kwa taifa.
 
Msidanganye watu kwamba wanazaa sana kwa sababu wamebarikiwa. Binadamu asipotaka kuzaa anaweza kujizuia kuzaa, wanaozaa sana wanataka kuzaa hivyo au wakati mwingine ni bahati mbaya na wengine wengi hawana uelewa wa jinsi ya kujipanga katika uzazi na kujizuia.
Wanaotakiwa kupewa elimu janja ni Wanawake,Mwanamme yeye akishalewa analoweka tu.
 
Kituo kimoja tu cha Buseresere watoto alfu kwa mwezi?
Imagine Nchi mzima kwa ujumlaView attachment 2389335
... hatari sana ila sidhani kama hiyo iko normally distributed nchi nzima; hilo ni miongoni mwa maeneo wanayoamini katika kuzaa sana bila mpangilio. Dunia ya leo hohehahe unazaa watoto 6+? For what?

Ifike mahali kama taifa kuwe na sera moja ya uzazi wa mpango no matter ni chama gani au mtu gani atakuwa madarakani atapaswa kuitekeleza. Ilivyo sasa hata chizi linaweza kujiropokea tu kuhusu family planning.
 
... hatari sana ila sidhani kama hiyo iko normally distributed nchi nzima; hilo ni miongoni mwa maeneo wanayoamini katika kuzaa sana bila mpangilio. Dunia ya leo hohehahe unazaa watoto 6+? For what?

Ifike mahali kama taifa kuwe na sera moja ya uzazi wa mpango no matter ni chama gani au mtu gani atakuwa madarakani atapaswa kuitekeleza. Ilivyo sasa hata chizi linaweza kujiropokea tu kuhusu family planning.
True angalia Burundi hakuna uzazi wa mpango hali ni mbaya mbaya kwelikweli.
 
Tufyatue tu ili tushindane na Wapemba?!
'Ukitaka kuwa masikini nchi hii, danganywa kwenda kulima. Utalima kwa gharama zako lakini wakati wa kuuza utapangiwa bei na anayeishi mjini,..... ongezea "danganywa kuzaa na mwisho wa siku...mzigo wa watoto utakuvunja mgongo" 😀
 
Hapo runzewe panaitwa shamba la Genye Sasa sijui hiyo kauli ya kutokuzaa kama itapata nafasi
 
Rais Samia akajibu “Hilo la zaeni tu hapana, jana nimesimama Buseresere naambiwa kituo kimoja kinazalisha watoto 1000 kwa mwezi, sasa hapo baada ya miaka mitatu ni madarasa mangapi? Kama ni vituo vya afya vingapi, tani za chakula ni ngapi? Punguzeni kidogo spidi.”
Huyo Shaka ahojiwe alitumwa na nani kuyasema hayo?
Ana agenda gani na nchi hii?
Je aliyasema hayo kwa viashiria vipi vya kitaalamu au ni uropokaji wa kuhamasisha ngono?
 
Ni kweli sio busara kuzaa mtoto akateseka.
Mama Yetu Samia.. njoo huku makanisani hususani KKKT usharika wa Kimashuku kuna wainjilisti hapa kazi yao wanahubiri kuzaa watoto wengi kama sisimizi eti Mungu kasema zaeni muongezeke mukaijaze Dunia, Mungu ndio anajua wataishije, lakini wametujazia mamichango yasio na kichwa wala miguu, mbona hi michango hawasemimi Mungu anajua??!!!! Musidanganyike kuzaa watoto wengi nikutengeneza umasikini wa kujitakia.......
 
Back
Top Bottom