Rais Samia ana hali mbaya kuelekea 2025, Wana-CCM wanatamani wapinzani wapewe nchi. Anaweza asipate hata 30% ya kura

Ccm wamefanya nin Cha maana kwa miaka 60 waruhusu uchaguzi huru na haki kama wanajiamini
 
Tutapata KATIBA mpya itokanayo na Rasimu alosimamia Judge WARIOBA,

Hlyo ndo itazaa Tume huru ya Uchaguzi.
Pia elewa bavicha ni tone tu kati ya mamilioni ya Watanzania wanaodai KATIBA mpya.

So rudia tena kufanya calculation.

Ameeeen.
Wanadai katiba wakiwa chumbani?
 
Njoo mtaani huku uone watu wanavyomuongelea kiufupi hawamuelewi kabisa nenda hata facebook upate maoni ya raia kiukweli watu wamekataa kabisa kumuelewa na yeye anajua hilo pamoja na kwamba kajenga madarasa na blahblah kibao ila watu HAWAMUELEWI
Ni lini watu wa FACEBOOK wamewahi kuwa na akili? Wale watu bado wanafikiri Magufuli atagombea mwaka 2025.

Huko mtaani unaongelea wale wanaoitwa WANYONGE (The Wretched), sasa watu wamekubali kuitwa WANYONGE na aliyewaita amekufa, unadhani watamkubali mtu anayetaka kuwabadili kuwafanya binadamu wa maana?
 
Ndo ushangae waliosema Katiba mpya itaanza 2026, ghafula wakasikiliza sauti ya Walio chumbani!!
Umeshinda mkuu,umejibu kistaarabu mnoo.. tofaut na vijana wengi wa BAVICHA
 
Umeshinda mkuu,umejibu kistaarabu mnoo.. tofaut na vijana wengi wa BAVICHA
Mm Si Bavicha, bt nasimamia HAKI kusimama ktk Nchi.

Bavicha wakitoka Kwa mstari Huwa nashughulika nao Kwa hoja Kwa maslah mapana ya Nchi. Ameeeen.
 
 

Attachments

  • IMG_6117.MP4
    600 KB
Punguza hasira ndo unaweza ukamwelewa jamaa hicho alichokisema jamaa kina ukweli au laa.
 
Atashinda kwa kutumia vyombo vya dola lakini ni kweli wengi wamemchoka sana
 
Labda wewe tu, lakini mh Rais Samia anakubalika na mamillion ya watanzania wanaoendelea kuhitaji utumishi wake ulionyeshaa na kuleta matumaini makubwa Sana
Atashinda kwa kutumia vyombo vya dola lakini ni kweli wengi wamemchoka sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…