Israel, Egypt, south korea zote zina bebwa na marekani. Asikudanganye mtu eti tulikua sawa na korea. Hii dunia ni kucheza nayo kama kamariMkuu, Ni aibu na Ni dhambi kuomba kitu,au msaada kwa kile ulicho na uwezo nacho, mwisho wa kunukuu..[emoji30][emoji102]
Nchi ipi aliyofungua Mwendazake? 🤭🤭..Unakopa halafu unawekeza hela zote kwenye costs centres, ambazo inabidi utumie hela tena kuendesha hizo investment kama mishahara ya walimu na kugharamia upkeep costs za shule.
Umeshajenga shule ni mafanikio makubwa wekeza sasa kwenye infrastructures zinazo fungua uchumi.
Mawaziri wanajitapa makusanyo yanaongezeka wanadhani uhodari wa TRA Magufuli kawafungulia nchi economic activities zimeongezeka na wao wanakusanya kodi leo maeneo mengine miaka sita nyuma ilikuwa makusanyo yake hafifu leo TRA wanafika.
Kazi ya kufungua nchi bado sana, sio akili kutumia hela kujiongezea costs centres zaidi.
Nchi aifunguliwi kwa maneno inafunguliwa kwa road access ya maeneo.Nchi ipi aliyofungua Mwendazake? 🤭🤭..
Hebu tueleze kama alifungua imekuaje Samia Kaja na Msemo wa kufungua Nchi?
Mbona una nongwa Sana wewe.
Mtahangaika Sana na Samia ila mjue kwamba yule ni international figure kama JK.Kwahiyo kiuhalisia, mpaka sasa tuna Trilioni ngapi za watu? Tumeweka nini kama collateral?
Haraka haraka, inapungua Trilioni 10 kweli? Na sisi tukikazana sana kukusanya, kwa mwaka tunaweza pata Trilioni 18 sio? Ndo kusema tushakopa zaidi ya nusu ya kipato chetu cha mwaka, hivi ule utaratibu wa ⅓ ya net pay yako ni kwa waajiriwa tu?
200s bn kwa jinsia, 97 bn kwa Pemba(Mwanza geresha, Tanga kuna kaharufu kao)
Tofauti niionayo ni kuwa, mipesa mingi inaingia, hakuna kinachoonekana kufanyika zaidi pesa inazidi kuadimika mtaani!
Ngorongoro, Chunya, Bagamoyo, .......
Tutembeze bakuli kweli, ndio heshima ya nchi! 2025 watz mtaamua 🤔!
Huna ulijualo zaidi ya kuropoka hapa,tatizo lenu mnashinda kwenye pono..Mambo iko hivi on ground 👇Nchi aifunguliwi kwa maneno inafunguliwa kwa road access.
Ukitembeza bakuli Ili kukusaidia kujikwamua kuna shida? Kwani usipotembeza ndio inaondoa ukweli kwamba wewe ni maskini?Tutembeze bakuli kweli, ndio heshima ya nchi! 2025 watz mtaamua 🤔!
Pesa inatolewa ikiwa imepangiwa masharti na beberu, tutarajie kupewa mzigo mwingine maalum kwa ajili ya kutetea haki za mashoga......
Au tujiwekee tozo, tufanye maendeleo yetu wenyewe!? Eti msaada, there is no free lunch! Mtakuja pigwa mnada🤔!Ukitembeza bakuli Ili kukusaidia kujikwamua kuna shida? Kwani usipotembeza ndio inaondoa ukweli kwamba wewe ni maskini?
Huna ulijualo zaidi ya kuropoka hapa,tatizo lenu mnashinda kwenye pono..Mambo iko hivi on ground 👇
View attachment 2123612
View attachment 2123613
View attachment 2123614
View attachment 2123615
View attachment 2123616
View attachment 2123617
View attachment 2123618
View attachment 2123619
View attachment 2123620
View attachment 2123621
View attachment 2123622
Nyerere na Magufuli walikuwa jeuriHakuna binadamu anayeweza kuishi kama kisiwa halafu akafanikiwa. JPM aliyekuwa akisema nchi hii ni tajiri majukwaani lakini akishuka anamtuma Dotto James aende akakae na hao hao wazungu ili aombe pesa.
Kipindi gani Tanzania ilikuwa haifurahii misaada? Tulikwa tunawaomba mpaka waafrika wenzetu (africa ya kusini na morroco)Unafurahia misaada kweli? Nchi yenye rasilimali kama yetu ni ujuha kufurahia misaada.
Huu mchezo wa kuomba omba mwisho tutapokea mahari bila kujua kwa ajili ya mazaKipindi gani Tanzania ilikuwa haifurahii misaada? Tulikwa tunawaomba mpaka waafrika wenzetu (africa ya kusini na morroco)
Wewe jamaa unachuki mbaya sana za kikabila na upumbavuWatalipa watanganyika..wazenji hudumu bure mpaka ndani tumeanza na kuondoa gharama za kuunganisha umeme..mwendo wa kubonyeza kizenji tu.