Kwahiyo kiuhalisia, mpaka sasa tuna Trilioni ngapi za watu? Tumeweka nini kama collateral?
Haraka haraka, inapungua Trilioni 10 kweli? Na sisi tukikazana sana kukusanya, kwa mwaka tunaweza pata Trilioni 18 sio? Ndo kusema tushakopa zaidi ya nusu ya kipato chetu cha mwaka, hivi ule utaratibu wa ⅓ ya net pay yako ni kwa waajiriwa tu?
200s bn kwa jinsia, 97 bn kwa Pemba(Mwanza geresha, Tanga kuna kaharufu kao)
Tofauti niionayo ni kuwa, mipesa mingi inaingia, hakuna kinachoonekana kufanyika zaidi pesa inazidi kuadimika mtaani!
Ngorongoro, Chunya, Bagamoyo, .......