Rais Samia apende-asipende siku yaja atamfuta Uwaziri January kwa shinikizo la wananchi

Rais Samia apende-asipende siku yaja atamfuta Uwaziri January kwa shinikizo la wananchi

Suzy Elias

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,067
Reaction score
6,200
January nahisi nyota yake ina giza sana!

Haiwezekani yeye tu kutajwa na hata kusemwa kwa ubaya tuuuu!

Ukiona jamii inayokuzunguka haishi vigenge vya kukusema kwa ubaya tambua kutoboa kwako katika jambo fulani itakuwa vigumu sana.

Ukweli ni kwamba 75% ya Watanzania hawamweli na zaidi hawampendi January ama kwa kukalilishwa ubaya wake ama kwa hila.

Kwa chuki zilizo bayana kwa January kutoka Watanzania wengi hasa masikini wanaoendelea kuaminishwa kwamba jamaa ni mtesi wao basi tujiandae na mtikisiko mkuu ndani ya siasa za CCM huko mtaani.

Yatapotukia hayo basi mteule wake atakuwa hana chaguo jingine zaidi ya kumtoa kafala kwa maslahi mapana ya kisiasa kwake.

Ikumbukwe hata Kikwete alilazimika kumtosa rafiki yake Karamagi kwa kulazimishwa na sintofahamu ya kisiasa huko mtaani.

Hata isipokuwa mwaka huu lakini natabiri January hatoboi 2025.
 
Hakika umenena sahihi.

Viongozi wetu wa Africa wana Shangaza sana. Yaani unampenda mtu hata kama ni boya wewe unayo tuuu. Haya ndo mambo ya mwendaxake Na Sabaya Na Makonda.

Tuache uswshiba wa hasara kwa wananchi Na kama unampenda sana mpe chai anywe nyumbani kwako
 
January nahisi nyota yake ina giza sana!

Haiwezekani yeye tu kutajwa na hata kusemwa kwa ubaya tuuuu!

Ukiona jamii inayokuzunguka haishi vigenge vya kukusema kwa ubaya tambua kutoboa kwako katika jambo fulani itakuwa vigumu sana.

Ukweli ni kwamba 75% ya Watanzania hawamweli na zaidi hawampendi January ama kwa kukalilishwa ubaya wake ama kwa hila.

Kwa chuki zilizo bayana kwa January kutoka Watanzania wengi hasa masikini wanaoendelea kuaminishwa kwamba jamaa ni mtesi wao basi tujiandae na mtikisiko mkuu ndani ya siasa za CCM huko mtaani.

Yatapotukia hayo basi mteule wake atakuwa hana chaguo jingine zaidi ya kumtoa kafala kwa maslahi mapana ya kisiasa kwake.

Ikumbukwe hata Kikwete alilazimika kumtosa rafiki yake Karamagi kwa kulazimishwa na sintofahamu ya kisiasa huko mtaani.

Hata isipokuwa mwaka huu lakini natabiri January hatoboi 2025.
Umesharudi toka Rwanda?

Yaani Samia amfute Uwaziri January kwa sababu ya nyie wapuuzi wachache gang ya Waburundi na Wanyarwanda?
 
January nahisi nyota yake ina giza sana!

Haiwezekani yeye tu kutajwa na hata kusemwa kwa ubaya tuuuu!

Ukiona jamii inayokuzunguka haishi vigenge vya kukusema kwa ubaya tambua kutoboa kwako katika jambo fulani itakuwa vigumu sana.

Ukweli ni kwamba 75% ya Watanzania hawamweli na zaidi hawampendi January ama kwa kukalilishwa ubaya wake ama kwa hila.

Kwa chuki zilizo bayana kwa January kutoka Watanzania wengi hasa masikini wanaoendelea kuaminishwa kwamba jamaa ni mtesi wao basi tujiandae na mtikisiko mkuu ndani ya siasa za CCM huko mtaani.

Yatapotukia hayo basi mteule wake atakuwa hana chaguo jingine zaidi ya kumtoa kafala kwa maslahi mapana ya kisiasa kwake.

Ikumbukwe hata Kikwete alilazimika kumtosa rafiki yake Karamagi kwa kulazimishwa na sintofahamu ya kisiasa huko mtaani.

Hata isipokuwa mwaka huu lakini natabiri January hatoboi 2025.
Aliyekwambia Rais au Waziri wake yeyote yuko hapo kutafutwa kuoendwa nani?

Wao wanatimiza wajibu wao kikatiba,ukitaka mapenzi nenda Kwa mumeo mkapeane hayo mapenzi..

Tabia ya ulalamishi na lawama huwa ni ya malofa na wajinga .
 
Jamani Kwan matatizo ya umeme yameanza kwa Makamba? Mbona ni issue ya kitambo sana, acheni wivu wa kike bwana unahisi akiondolewa Makamba basi suluhu ya umeme itakuwa imepatikana? Acheni hizo bwana.
 
Huku mtaani jamaa anazungumziwa vibaya.

Na Rais naye bado ana mwamini.

Kwahiyo ni maneno ya watu mitaani ambao hao ndio wapiga kura dhidi ya imani ya Rais kwake.

Mwenye maamuzi ya mwisho ni mwenye mamlaka.

Anajua mwenyewe anafanya nini na serikali yake.
 
Huku mtaani jamaa anazungumziwa vibaya.

Na Rais naye bado ana mwamini.

Kwahiyo ni maneno ya watu mitaani ambao hao ndio wapiga kura dhidi ya imani ya Rais kwake.

Mwenye maamuzi ya mwisho ni mwenye mamlaka.

Anajua mwenyewe anafanya nini na serikali yake.
Mtaa upi? Bujumbura au Chato?
 
Jamani Kwan matatizo ya umeme yameanza kwa Makamba? Mbona ni issue ya kitambo sana, acheni wivu wa kike bwana unahisi akiondolewa Makamba basi suluhu ya umeme itakuwa imepatikana? Acheni hizo bwana.
Hawa ni kuwaangalia na kuwaambia heee ba ngosha vipi? Ujue pale Tanesco na Sgr ni miradi ya upigaji ya sukuma gang kwa hiyo January kakata ulaji kwenye Bwawa ndio maana unaona kelele..

Pili bado Kwa Kadogosa,kuwadi wa Yapi Merkez
 
Jamani Kwan matatizo ya umeme yameanza kwa Makamba? Mbona ni issue ya kitambo sana, acheni wivu wa kike bwana unahisi akiondolewa Makamba basi suluhu ya umeme itakuwa imepatikana? Acheni hizo bwana.
Hawa ni muunganiko wa cndd/ fdd na perpehutu

Roho mbaya ndo jadi yao! Mipango yao imegunduliwa saivi wamekalia kulialia
 
January nahisi nyota yake ina giza sana!

Haiwezekani yeye tu kutajwa na hata kusemwa kwa ubaya tuuuu!

Ukiona jamii inayokuzunguka haishi vigenge vya kukusema kwa ubaya tambua kutoboa kwako katika jambo fulani itakuwa vigumu sana.

Ukweli ni kwamba 75% ya Watanzania hawamweli na zaidi hawampendi January ama kwa kukalilishwa ubaya wake ama kwa hila.

Kwa chuki zilizo bayana kwa January kutoka Watanzania wengi hasa masikini wanaoendelea kuaminishwa kwamba jamaa ni mtesi wao basi tujiandae na mtikisiko mkuu ndani ya siasa za CCM huko mtaani.

Yatapotukia hayo basi mteule wake atakuwa hana chaguo jingine zaidi ya kumtoa kafala kwa maslahi mapana ya kisiasa kwake.

Ikumbukwe hata Kikwete alilazimika kumtosa rafiki yake Karamagi kwa kulazimishwa na sintofahamu ya kisiasa huko mtaani.

Hata isipokuwa mwaka huu lakini natabiri January hatoboi 2025.
Nasisistiza, hawezi kumfuta uwaziri. January yuko pale kwa maelekezo ya bosi wa Samia na kwa malengo maalum. So Samia hawezi kumfuta uwaziri January. Akijutahidi sana, atambadilisha wizara
 
Back
Top Bottom