Rais Samia aridhia TAMISEMI kuajiri watumishi 21,200 kada ya Afya na Elimu

Mungu tenda kitu mwaka huu nipate. Aise kitaa hakiko poa
 
“Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. @SuluhuSamia ameridhia kibali cha kuajiri watumishi 21,200 wa Kada za Ualimu na Afya.

“Idadi ya Watumishi watakaoajiriwa ktk Kada za Ualimu ni 13,130 ambao watafundisha ktk shule za Msingi na Sekondari. Aidha idadi ya watumishi watakaoajiriwa kada za Afya ni 8,070 ambao watafanya kazi katika Hospitali za Halmashauro, Vituo vya Afya na Zahanati”

Angela Kairuki
TAMISEMI
 
Ili kukabiliana na tatizo la ajira, serikali yapaswa ajiri angalau watu 50,000 kila mwaka.

Na ibadilishe mfumo wa ajira kutoka kuwa wa kudumu hadi wa mkataba maana kuna watu wanaridhika sana
Wanaridhika sanaa nanukuu 😄🤓
 
Fani zote ni laki moja sawa ila hii ni afya na ualimu tu
 
Hapa ndio utaamini uchawi upoo, kuanzia leoo utaona

Access denied...
404 forbidden...
No network.....
Please wait....
Network error....

Mara cheti ukikitafta kwenye documents hukioni nakati kila siku ulikua unapitana nacho...
Simu kuisha charge haraka, umeme kukata...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…