Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,201
- 16,246
Hivi unajua kila mtu huwa anafanya kazi fulani ama anatumikishwa ili apate zile basic needs.Hakuna Mtu ataenda kuomba hizo Ajira za laki nne
Kwenye tangazo hawajawa included so hakuna kazi zaoKivip mkuu...
SureHivi unajua kila mtu huwa anafanya kazi fulani ama anatumikishwa ili apate zile basic needs.
Yaani binadamu ama kiumbe hai Kita obey your order pale tu kinapohitaji ama kinapata needs zake kutoka kwako. Na ndio Mana ukitaka hata ujue mkeo anakuheshimu awe na pesa chafu kuliko wewe.
Hata viongozi wanasiasa wakiona mtu Ana pesa kuwazidi wanajua hawana heshima kwake
Kwenye application kipengele cha kujitolea huwa hakionekani labda mwaka huuNauliza je wanaambatanisha barua ya kujitolea ?
Duh , nimecheka sanaSasa kusomea ualimu ni mikakati?
Duh kama kweli vile, sijawahi kumuona nesi anaendesha Discovery 2,3,4,5,au PradoKozi za masikini ni
•Afya
•Elimu
•Kilimo
• uvuvi
Hizi utaendeleza umasikini ukooni kwenu
Kozi za wato masikini wenye ndoto za kupata unafuu wa maisha ni
•Mechanical engineering (fani yangu)
•Electrical engineering
•ICT
Mpo Wengi Sana ndio Maana kuwalipa pesa Kubwa inashindikana.Kwa kada ya ualimu na afya bado ni chache..
Ngoja tuoneKwenye application kipengele cha kujitolea huwa hakionekani labda mwaka huu
Ndgu ukifika kwny kulog in pale unabofya chini kile unajisajir au unalogn kw data za mwaka jana km uliwahi omba?Kumbe kwenye mfumo HGK wapo. Au ni shule ya msingi View attachment 2585365
Unalog in kama tayari ushawahi kuombaNdgu ukifika kwny kulog in pale unabofya chini kile unajisajir au unalogn kw data za mwaka jana km uliwahi omba?
Kila mtu atapitia njia yake ya kupata rizikiBaada ya kuomba mara sita za mwanzo na kukosa niseme tu hakuna namna nitapata wakati huu hivyo kila la kheri kwa mtakao omba, ila kuna ka umasikini fulani hivi tunajiwekea tukikimbilia kwenye ualimu mkijiongeza mtanielewa mi ni mwalimu nisie fundisha sasa
Naandika huku nacheka 😅😅Aise watu bhana kwan kufanikiwa ni kuendesha magari ya gharamaDuh kama kweli vile, sijawahi kumuona nesi anaendesha Discovery 2,3,4,5,au Prado