Rais Samia aruhusu vyama vya siasa kufanya Mikutano ya hadhara

HONGERA SANA RAIS SAMIA HAKIKA HOFU YA MUNGU IMEKUTAWALA NA MUNGU AZIDI KUKUBARIKI SANA
 
Kama sio uadui kwanini watu wanapigwa risasi wengine wanatekwa na kupotezwa... fahamu siasa zetu ni vita kwasababu watu hawataki kutoka kwenye mamlaka kwa maslai yao.

Kuna kipindi CHADEMA walipigwa kote kote sio mahakamani, sio bungeni sio serikalini. Na hakuna msaada waliopata, walikuwa Kama yatima. Huku Lissu analimwa Risasi, huku Mbowe anavunjiwa bilcanas, huku akina Halima wanafukuzwa bungeni, huku Saanane anapotezwa. Nani aliwasaidia?.

So CHADEMA wameamua kukaa na maadui zao ili kukomesha hayo yasijirudie Tena, ndio maana wanarekebisha sheria za mikutano ya hadhara ili wapinzani wasiminywe Sana.
 
HUYU MAMA YETU HUYU... YAANI WATU HAWANA HATA HABARI NAE YANI... TANGAZO LINALOMHUSU HATA HALISISIMUI... ZAIDI YA KUZIDI KUTIA HASIRA TU...

KWA SABABU HATA UKISEMA UKAMSIKILIZE ATASEMA NINI... HAKUNA LA MAANA.

Ila Leo kwa Mara ya pili ninamsikiliza baada ya CHADEMA kuhudhuria mkutano wake.
 
Ndugu yetu mmoja anaitwa MMM anashida twitter Huko kazi yake ni kubisha Tu
 
Hapo Samia kakosea. chadema sio watu wa kuwachekea chekea hata kidogo. Amani ya hii nchi itatoweka hao wehu wakiruhusiwa kukimbizana barabarani.
 
Hamna kitu humo... Washalamba asali hao.

Ulitaka wafanyeje mkuu?. CHADEMA waliitisha UKUTA watu wakawadhiaki, leo mnawaita walamba asali kweli?. Viongozi wao wamepitia mangapi?. Kukaa rumande miezi Saba kwa kosa la Ugaidi kwako ni dogo?. Kupingwa risasi kwako ni kitu kidogo?. Please tuwe realistic kwa CHADEMA
 
Kumbuka siasa za uadui kuuwana kutekana zimeasisiwa na ccm ya John Joseph Pombe Magufuli anachofanya mama ni kuponya majeraha na kutumia hekima na busara ku suppress vuguvugu la mabadiliko.
 
Upumbavu tu,anaacha kukutana na makundi maalumu katika jamii kama walemavu na wazee..anaenda kukutana na hao mchwa wenzie.

Tuwe watu washukrani hata kwa dogo. Leo kakutana na vyama kesho atakutana na walemavu.
 
Mwenye nguvu siku zote mpishe.
Menye nguvu msikilize.

Mwenye nguvu mheshimu.
Ulitaka chadema ifanye nn zaidi ya hiki?

Wamepishaje?. CHADEMA ndio Mshindi kwenye hili.
 
Lkn wewe ni kati ya watu waliokuwa wanasifia kila jambo alilofanya Jiwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…