TRA aliambiwa hivyo hivyo acha kama ilivyokuta, akaja na akili zake; sasa hivi u-turn.
Huku nako ni swala la muda tu ataelewa kwanini mikutano ya hadhara ilizuiawa, ila U-turn itakuwa ngumu sana.
Huko kwenye katiba kila tukio CDM wanakwambia tutarekebisha na katiba mpya. Tukio la mwisho la Diamond, solution yao katiba mpya. Sasa TRA na katiba mpya wapi wapi wakati aina ya kodi wanazotoza chanzo ni budget, namna watakavyofanya kazi na kwenyewe parliament act.
Asubiri hayo maoni ya kipuuzi ambayo either hayatekelezi au demands za changes to administration workings ambazo ni impractical ndio ataelewa kwanini katiba mpya ilifeli kama akuelewa alipokuwa naibu speaker wa bunge la katiba, ataelewa sasa.
Mikutano ya hadhara salalee hayo mambo yalikuwa ignored for reasons na watangulizi wake uongo kila kukicha ambao unachanganya raia, badala ya kuendesha nchi unajikuta una kazi ya kujibu upotoshaji.
Ngoja ajionee na yeye ataelewa soon kwanini watu walichukua hayo maamuzi.
Si anataka cheap politics ngoja aone kinachofuata, na U-turn sio rahisi maana atapewa kila jina la kishetani akithibutu.