Rais Samia atembelea maeneo yaliyoathiriwa na mafuriko Katesh, Wilaya ya Hanang, Manyara na Kuzungumza na Wananchi, leo Disemba 7, 2023
Wenzao wanawazuia ili wao ndio waonekane bora. Hopeless kabisa hawa watu.

Hata hekima tu ya kujjali ubinadamu wamekosa. Tuna safari ndefu.
Hopeless mamako, wakanye hao wapumbavu wenzako wanaodandia matukio kutafuta umaarufu wa kipuuzi. Rais ndio mzazi wa wananchi siyo hao wahuni
 
Hopeless mamako, wakanye hao wapumbavu wenzako wanaodandia matukio kutafuta umaarufu wa kipuuzi. Rais ndio mzazi wa wananchi siyo hao wahuni

Tangu lini Rais akawa mzazi?. Rais ni mfanyakazi wa raia aneajiriwa na raia, sema chawa wanamuona Rais Kama kamungu mtu.
 
Aliye kula za Tetemeko si alishaenda?
After all sidhani kama zitawafikia kama cash, Kwa sehemu kubwa watafanyiwa vitu mfano ujenzi, ukarabati wa nyumba zao, n.k.
Hivyo vifaa unavyovisema ndio pesa yenyewe hiyo !!
Watu wakitaka kupiga hupiga hata kwenye mahindi ya msaada !!
Ni mwendo wa Kutakatisha !!
Fedha kwa vifaa au vifaa kwa fedha !!
 
Ulitaka kuwe na shamrashamra kwenye majonzi? Ur a total failure

Mbona yeye Rais ndio alitaka shamrashamra. Red carpet mara vikundi vya wasanii, mara hotuba za kumsifu na kuabudu baadala ya kujikita kwenye maafa. Nadhani Hanang wamepata somo la aina ya Viongozi walionao.
 
1000005799.jpg
 
Kuna yule alisema sijui tetemeko kufanyaje huko Bukoba?.Ana hatari yule jamaa R.I.P
 
Wataalamu wa Geomorphology wanaelezea utafiti wao kuhusu majanga maporomoko ya ardhi, matope na milima kama ya mlima Hanang yanavyoweza kutokea


View: https://m.youtube.com/watch?v=jDqXgopte-0
Maporomoko ya ardhi hutokea wakati vitu-asili kama vile vifusi vya magogo na majani yaliyooza(mboji), miamba, tope zito na udongo kungoka kutoka uso wa mlima na kuteremka kuelekea chini bondeni kwa kasi inayoweza kukaribia maili 100 kwa saa. David Montgomery msomi kutoka Chuo Kikuu cha Washington aliyejikita kusoma maporomoko ya ardhi yaliyopita na ya sasa ili kujaribu kuelewa ni nini husababisha maporomoko ya ardhi . Kilipu hii ya video "Asili Inapofanya Yake / When Nature Strikes" imetolewa na kituo cha televisheni cha NBC News Learn kwa ushirikiano na mfuko wa Wakfu wa Kitaifa wa Sayansi.


Landslides occur when material like debris, rock, and soil become dislodged from the earth and slide downward at speeds that can approach 100 miles per hour. David Montgomery at the University of Washington studies past and present landslides to try to understand what causes them. "When Nature Strikes" is produced by NBC News Learn in partnership with the National Science Foundation.


Jionee Hali Halisi ya Kijiji cha Gendabi, Hanang' Tanzania Kilichopitiwa na Janga


View: https://m.youtube.com/watch?v=6rPLW-jJbx0

Kijiji Gendabi jina lake pia ni kata ya Gendabi iliyoko chini ya mlima Hanang' ambao ni mlima wa nne kwa urefu nchini Tanzania.

Gendahi ni kata ya wilaya ya Hanang' katika mkoa wa Manyara, Tanzania. Kwa mujibu wa sensa ya kitaifa iliyofanyika 2012 kata ya Gendabi ina wakaazi 10,968.
 
Back
Top Bottom