Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Huyu hata hajaimba mkuu, kashika mic tu mama kamwambia nyimbo zako sizitaki.😀😀
Sure man...
Sijui shida i wapi, hii si mara ya kwanza au ya pili n.k kwa mamlaka kupangua gia za teuzi juu kwa juu kabla hata wahusika hawajasema alhamdulilah!