Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,604
- 5,583
Je wale askari waliotumika "kuterrorise" watu nao waachwe tu? Je maaskari maadili ya kazi zao yanawaruhusu kutii amri ovu?Ninamkumbusha tu napo najua analijua.
Kuwa serikalini au kutokuwa serikalini hakufuti jinai ama matumizi mabaya ya ofisi pindi wakitumika... rejea kesi ya kina Yona na mwenzake...Hoja hapa ilikuwa Rais awachukulie hatua wengine kama alivyomchukulia Sabaya ya kuwasimamisha kazi wote kwa pamoja na ndipo likatajwa jina la Makonda!! Hapo ndipo tukabainisha kuwa Makonda hayupo tena serikalini hivyo sio rahisi kumchukulia hatua ya kumsimamisha!!
Suala la kuhojiwa kwa matendo yake alipokuwa RC na kama alivunja sheria hilo liko chini ya taasisi husika na sioa kazi ya rais kuwaambia nini cha kufanya kwani sheria ndio inayochukua mkondo wake!
Ni imbosibo mkuu. Ana record chafu huyu conductorNina imani jamaa kuna uwezekano lazima ale teuzi tu.
Piga ua
haiwezekaniNina imani jamaa kuna uwezekano lazima ale teuzi tu.
Piga ua
Ipo siku atafikishwa ktk kuta nne tu Mana alikuwa mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalamaNi imbosibo mkuu. Ana record chafu huyu conductor
Kwa kosa gani alilofanya kwanzaHamna walichofanya hao ni kawaida yao kulindana tu, wanakutumbua wanakuondoa kwenye nafasi yako then wanakuacha, huyu Sabaya sidhani kama watampeleka mahakamani.
Kabisa yaniApelekwe Gaza tu akakwepe makombora.. akipona arejee awe raia mwema
No moja mkuuMakonda ni mtuhumiwa namba mbili wa uhujumu uchumi