Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hachomoki..... issue imemkalia vibaya sana na akizubaa anaweza kupata mvua nyingi tu tuhuma za kutesa na kuua.Faili lake linatembea mkuu.
Genta cha kushangaza kama makonda allikukala bila malipo mpeleke mahakamani na sio kutaka mamlaka zingine zimchukulie hatuaHukumu zimfaazo tu Bwana Yako huyu ( huyo ) ni Mbili tu ama afungwe Maisha Jela au Anyongwe kabisa je, Wewe ' Mamsampu ' unamchagulia ipi kati ya hizi?
Kuna uwezekano mkubwa Paul Makonda akaunganishwa kwenye tuhuma za uhujumu uchumi zinazomkabili Ole Sabaya ambaye Rais Samia Suluhu ameamuru achunguzwe. Sababu zinazopelekea kuunganishwa huku ni kwa sababu ya staili ya uporaji fedha kutoka kwa wafanyabiashara inayotumiwa na Sabaya kufananishwa na staili ya Makonda (Makonda style). Ukimsikiliza vizuri mfanyabiashara huyu hapa chini aliyeibua sakata la uporaji wa Sabaya utagundua kwamba Makonda na Sabaya huenda wapo kwenye kikosi kimoja na aina yao ya uhujumu uchumi inafanana pia:
Mfanyabiashara huyu ametamka kinagaubaga kwamba Sabaya alipokuwa akimtisha ampe fedha alisema anatumia ‘Makonda style’. Kwa maana hiyo, Sabaya anafahamu staili ya uporaji wa Makonda na kwa kuwa mwizi hushikwa na mwizi mwenzie, kuna uwezekano mkubwa wawili hawa walikuwa akishiriki uhujumu uchumi kwa namna moja.
Kuna ufanano mkubwa wa Makonda na Sabaya katika mambo mengi tu. Mosi, wote ni ‘watoto’ wa mwendazake kwa kuwa hata wafanye madudu kiasi gani mwendazake alikuwa hawezi kuwachukulia hatua zozote. Ishu ya Sabaya kupora fedha za wafanyabiashara kwa vitisho ilishawafikia mwendazake na Waziri Mkuu lakini hakuna hatua zozote zilizochukuliwa. Jeuri hii iliwapelekea kufanya chochote watakacho bila hofu yoyote.
Pili, Makonda alishuhudiwa akiwadhalilisha wanaume wa Dar kupitia programu bubu ya kuwasaka wanaume waliowatelekeza wanawake zao na hali hii ilikwakera watu wengi lakini hakufanywa chochote na aliyemteua. Aidha, Sabaya amefanya madudu mengi sana wilayani Hai lakini mwendazake alikaa kimya kana kwamba hakuna kilichotokea.
Tatu, Sabaya amekuwa akitembea na kikundi cha Mungiki (mabaunsa) ambao huwatumia kutimiza azma yake ya kuhujumu uchumi. Hali kadhalika, Makonda alikuwa anamiliki kikundi kama hicho (makirikiri) ambao walikuwa wakimsaidia kutimiza uhujumu wake. Mfano mzuri ni pale alipovamia studio za clouds TV akiwa na kikosikazi chake hicho na kufanya vurugu kubwa akitaka kipindi chake kirushwe hewani (utadhani yeye ndiye Mkurugenzi wa vipindi wa Clouds Media):
Ukilinganisha mfanano wa wawili hawa kisha ukaunganisha nukta, utatengeneza mstari unaowaunganisha wote pamoja. Kuna ishu ya Sabaya kukutwa na kitambulisho kinachoonyesha kuwa yeye ni mtu anayefanya kazi kikosi maalumu (wengi mmekiona mitandanoni). Huenda Makonda na Sabaya wote wamo kwenye kikosi hiki kwa kuwa pia staili zao za uhujumu zinafanana.
Kwanini sasa DPP asimuunganishe Makonda kwenye ishu ya Sabaya ili suala hili lishughulikiwe kwa pamoja badala ya kusubiri kumkamata peke yake? Wakiunganishwa wote wawili hata gharama za kuwashughulikia zitakuwa ndogo kuliko kudeal na mmoja mmoja kwa nyakati tofauti.
Mimi namshauri DPP amuunganishe Makonda kwenye skendo hii ya Sabaya kwa kuwa tayari ametajwa na Sabaya kuwa wanatumia staili moja ya uhujumu (kupitia kwa mfanyabiashara huyo anayelalamika hapo juu).
Kuna uwezekano mkubwa Paul Makonda akaunganishwa kwenye tuhuma za uhujumu uchumi zinazomkabili Ole Sabaya ambaye Rais Samia Suluhu ameamuru achunguzwe. Sababu zinazopelekea kuunganishwa huku ni kwa sababu ya staili ya uporaji fedha kutoka kwa wafanyabiashara inayotumiwa na Sabaya kufananishwa na staili ya Makonda (Makonda style). Ukimsikiliza vizuri mfanyabiashara huyu hapa chini aliyeibua sakata la uporaji wa Sabaya utagundua kwamba Makonda na Sabaya huenda wapo kwenye kikosi kimoja na aina yao ya uhujumu uchumi inafanana pia:
Mfanyabiashara huyu ametamka kinagaubaga kwamba Sabaya alipokuwa akimtisha ampe fedha alisema anatumia ‘Makonda style’. Kwa maana hiyo, Sabaya anafahamu staili ya uporaji wa Makonda na kwa kuwa mwizi hushikwa na mwizi mwenzie, kuna uwezekano mkubwa wawili hawa walikuwa akishiriki uhujumu uchumi kwa namna moja.
Kuna ufanano mkubwa wa Makonda na Sabaya katika mambo mengi tu. Mosi, wote ni ‘watoto’ wa mwendazake kwa kuwa hata wafanye madudu kiasi gani mwendazake alikuwa hawezi kuwachukulia hatua zozote. Ishu ya Sabaya kupora fedha za wafanyabiashara kwa vitisho ilishawafikia mwendazake na Waziri Mkuu lakini hakuna hatua zozote zilizochukuliwa. Jeuri hii iliwapelekea kufanya chochote watakacho bila hofu yoyote.
Pili, Makonda alishuhudiwa akiwadhalilisha wanaume wa Dar kupitia programu bubu ya kuwasaka wanaume waliowatelekeza wanawake zao na hali hii ilikwakera watu wengi lakini hakufanywa chochote na aliyemteua. Aidha, Sabaya amefanya madudu mengi sana wilayani Hai lakini mwendazake alikaa kimya kana kwamba hakuna kilichotokea.
Tatu, Sabaya amekuwa akitembea na kikundi cha Mungiki (mabaunsa) ambao huwatumia kutimiza azma yake ya kuhujumu uchumi. Hali kadhalika, Makonda alikuwa anamiliki kikundi kama hicho (makirikiri) ambao walikuwa wakimsaidia kutimiza uhujumu wake. Mfano mzuri ni pale alipovamia studio za clouds TV akiwa na kikosikazi chake hicho na kufanya vurugu kubwa akitaka kipindi chake kirushwe hewani (utadhani yeye ndiye Mkurugenzi wa vipindi wa Clouds Media):
Ukilinganisha mfanano wa wawili hawa kisha ukaunganisha nukta, utatengeneza mstari unaowaunganisha wote pamoja. Kuna ishu ya Sabaya kukutwa na kitambulisho kinachoonyesha kuwa yeye ni mtu anayefanya kazi kikosi maalumu (wengi mmekiona mitandanoni). Huenda Makonda na Sabaya wote wamo kwenye kikosi hiki kwa kuwa pia staili zao za uhujumu zinafanana.
Kwanini sasa DPP asimuunganishe Makonda kwenye ishu ya Sabaya ili suala hili lishughulikiwe kwa pamoja badala ya kusubiri kumkamata peke yake? Wakiunganishwa wote wawili hata gharama za kuwashughulikia zitakuwa ndogo kuliko kudeal na mmoja mmoja kwa nyakati tofauti.
Mimi namshauri DPP amuunganishe Makonda kwenye skendo hii ya Sabaya kwa kuwa tayari ametajwa na Sabaya kuwa wanatumia staili moja ya uhujumu (kupitia kwa mfanyabiashara huyo anayelalamika hapo juu).
Kweli kabisa. Kwa kuwa sasa nchi inaongozwa kwa mujibu wa sheria namuomba mama Samia achukue hatua kumshitaki Makonda kwa vitendo vyake vya kigaidi alivyowahi kufanya hapa nchini Tanzania. Haki za watanzania lazima ziheshimiwe na watu wote.
Hawa washenzy wote wanapaswa kuunganishwa pamoja waminywe pu.mbu wawe na adabu. Hili genge limetumiwa na mwendazake kuwaumiza watanzania wengi sana.Makonda, Mnyeti, Jerry Muro, Olesabya, Ally Hapi na Chalamila ni group moja
Hawa ni matajiri kupindukia bila biashara yoyoteHawa washenzy wote wanapaswa kuunganishwa pamoja waminywe pu.mbu wawe na adabu. Hili genge limetumiwa na mwendazake kuwaumiza watanzania wengi sana.
Wewe Mnyeti kaa kimya kabla hatujataja madhambi yako. Majitu yenye akili za kikumer kama wewe ni afadhali mngezaliwa kama mbwa, paka au ngedere kuliko kuzaliwa binadamu. Skandali zote hizo walizozifanya hawa umbwa wewe unadiriki kuwatetea? Bastard fool! You will die while sticking index finger in your ass. Usinitafutie ban wewe ngedere pori.Mbona mnawaza saana huyu mtu anaitwa makonda?
Alishawalaza vichocholoni kisha akaondoka bika kuwalipa pesa?
Na kama mnampenda kwa sasa sio maana ana mke wake tayari.
Makonda kakaa kimya nyie kika siku makonda, subilini akiwa ameongea kitu ndo mmshambulie.
Kama kakaa kimya na nyie kaeni kimya.
Makonda amewakamua wahindi wengi sana mabilioni ya hela kule Kariakoo kwa kutumia kikosi chake cha Mungiki (makirikiri) alichokuwa akiandamana nacho kila anapoenda kufanya uporaji.Hawa ni matajiri kupindukia bila biashara yoyote
Kutokuwa mtumishi wa umma hakumfanyi kusamehewa makosa aliyoyatenda wakati akiwa mtumishi wa umma (according to you).Ila makonda si sitena mtumishi wa Umma
GSM wanaijua habari yakeMakonda amewakamua wahindi wengi sana mabilioni ya hela kule Kariakoo kwa kutumia kikosi chake cha Mungiki (makirikiri) alichokuwa akiandamana nacho kila anapoenda kufanya uporaji.
Du akili zako ni za ajabu sana aisee; hutofautiani na akili za mwendazake. Sabaya alipokuwa anafanya uhujumu wake siku zote alisema anabomoa genge la Mbowe na kwa kuwa mwendazake anachukia vyama vya upinzani alimuacha aendelee kupora fedha za wafanyabiashara. Umemsikiliza huyo mfanyabiashara hapo juu pamoja na huyu hapa aliyekimbia nchi kwa sababu ya Sabaya? Hebu msikilize vizuri huyu hapa aliyekimbia nchi kwasababu ya hujuma za Sabaya kisha utaelewa tunachozungumza hapa mkuu👇Group hili litakumbukwa kwa kazi yake TUKUFU ya kuwagaragaza CHADEMA
Wewe mama kinakuuma nini? Makonda ni hawara yako hadi umtetee kwa ukali kihivyo? Tuliza 👇Genta cha kushangaza kama makonda allikukala bila malipo mpeleke mahakamani na sio kutaka mamlaka zingine zimchukulie hatua
Vinginevyo kaa kimya
Huwezi chonganisha makonda na vionzi wa nchi.
Siku akitoa hoja usiyoipenda njoo umjibu, vinginrvyo dua lako kiyabaki bule tu.
Na ipo siku utampa heshima ilwe kwa uwazi au kwa kimyakimya.