Rais Samia atoe amri Paul Makonda naye akamatwe kwa Tuhuma zake zinazoendana na za Ole Sabaya

Rais Samia atoe amri Paul Makonda naye akamatwe kwa Tuhuma zake zinazoendana na za Ole Sabaya

Nauza pafyumu, yaaani unyunyu
images (31).jpeg
 
Mwendazake aliwajaza ujinga sana hawa vijana - wachezee mvua tu ili iwe fundisho!! Nchi hii ilikuwa inatawaliwa kihuni huni tu.
 
Hukumu zimfaazo tu Bwana Yako huyu ( huyo ) ni Mbili tu ama afungwe Maisha Jela au Anyongwe kabisa je, Wewe ' Mamsampu ' unamchagulia ipi kati ya hizi?
Genta cha kushangaza kama makonda allikukala bila malipo mpeleke mahakamani na sio kutaka mamlaka zingine zimchukulie hatua
Vinginevyo kaa kimya
Huwezi chonganisha makonda na viongozi wa nchi.
Siku akitoa hoja usiyoipenda njoo umjibu, vinginevyo dua lako litabaki bule tu.

Na ipo siku utampa heshima iwe kwa uwazi au kwa kimyakimya.
 
Kuna uwezekano mkubwa Paul Makonda akaunganishwa kwenye tuhuma za uhujumu uchumi zinazomkabili Ole Sabaya ambaye Rais Samia Suluhu ameamuru achunguzwe. Sababu zinazopelekea kuunganishwa huku ni kwa sababu ya staili ya uporaji fedha kutoka kwa wafanyabiashara inayotumiwa na Sabaya kufananishwa na staili ya Makonda (Makonda style). Ukimsikiliza vizuri mfanyabiashara huyu hapa chini aliyeibua sakata la uporaji wa Sabaya utagundua kwamba Makonda na Sabaya huenda wapo kwenye kikosi kimoja na aina yao ya uhujumu uchumi inafanana pia:


Mfanyabiashara huyu ametamka kinagaubaga kwamba Sabaya alipokuwa akimtisha ampe fedha alisema anatumia ‘Makonda style’. Kwa maana hiyo, Sabaya anafahamu staili ya uporaji wa Makonda na kwa kuwa mwizi hushikwa na mwizi mwenzie, kuna uwezekano mkubwa wawili hawa walikuwa akishiriki uhujumu uchumi kwa namna moja.

Kuna ufanano mkubwa wa Makonda na Sabaya katika mambo mengi tu. Mosi, wote ni ‘watoto’ wa mwendazake kwa kuwa hata wafanye madudu kiasi gani mwendazake alikuwa hawezi kuwachukulia hatua zozote. Ishu ya Sabaya kupora fedha za wafanyabiashara kwa vitisho ilishawafikia mwendazake na Waziri Mkuu lakini hakuna hatua zozote zilizochukuliwa. Jeuri hii iliwapelekea kufanya chochote watakacho bila hofu yoyote.

Pili, Makonda alishuhudiwa akiwadhalilisha wanaume wa Dar kupitia programu bubu ya kuwasaka wanaume waliowatelekeza wanawake zao na hali hii ilikwakera watu wengi lakini hakufanywa chochote na aliyemteua. Aidha, Sabaya amefanya madudu mengi sana wilayani Hai lakini mwendazake alikaa kimya kana kwamba hakuna kilichotokea.

Tatu, Sabaya amekuwa akitembea na kikundi cha Mungiki (mabaunsa) ambao huwatumia kutimiza azma yake ya kuhujumu uchumi. Hali kadhalika, Makonda alikuwa anamiliki kikundi kama hicho (makirikiri) ambao walikuwa wakimsaidia kutimiza uhujumu wake. Mfano mzuri ni pale alipovamia studio za clouds TV akiwa na kikosikazi chake hicho na kufanya vurugu kubwa akitaka kipindi chake kirushwe hewani (utadhani yeye ndiye Mkurugenzi wa vipindi wa Clouds Media):


Ukilinganisha mfanano wa wawili hawa kisha ukaunganisha nukta, utatengeneza mstari unaowaunganisha wote pamoja. Kuna ishu ya Sabaya kukutwa na kitambulisho kinachoonyesha kuwa yeye ni mtu anayefanya kazi kikosi maalumu (wengi mmekiona mitandanoni). Huenda Makonda na Sabaya wote wamo kwenye kikosi hiki kwa kuwa pia staili zao za uhujumu zinafanana.

Kwanini sasa DPP asimuunganishe Makonda kwenye ishu ya Sabaya ili suala hili lishughulikiwe kwa pamoja badala ya kusubiri kumkamata peke yake? Wakiunganishwa wote wawili hata gharama za kuwashughulikia zitakuwa ndogo kuliko kudeal na mmoja mmoja kwa nyakati tofauti.

Mimi namshauri DPP amuunganishe Makonda kwenye skendo hii ya Sabaya kwa kuwa tayari ametajwa na Sabaya kuwa wanatumia staili moja ya uhujumu (kupitia kwa mfanyabiashara huyo anayelalamika hapo juu).​

Katika wale hooligans 12 aliokuwa anatembea nao Ole Sabaya na kufanya nao uporaji, 10 kati yao wameishakamatwa na wapo ndani central police Arusha. Bado wawili. Na katika kosa alifanya Sabaya ni kumpiga vibaya sana na kumdhalilisha mheshimiwa Diwani Bakari Msangi wa Sombetini. Yule ni mpare, na mpare by nature huwa hadhulumiwi haki yake wala kuonewa. Katika tukio lile ambalo Sabaya alivamia lile duka la mapazia Arusha na kupora pesa, alikuwa ana kijana wake amemshikia wine bwana mkubwa, anakunywa huku anatoa amri na kutekeleza unyama wake. Kuna mfanyakazi mmoja walile duka, alipigwa mpaka akanya mavi..kwahili Sabaya hakika utalipa!
 
Uuuuwwiiiiiiii uuuuwwiiiiiiii uuuuwwiiiiiiii uuuuwwiiiiiiii uuuuwwiiiiiiii uuuuwwiiiiiiii afungweeeee afungweeeee afungweeeee afungweeeee afungweeeee afungweeeee afungweeeee afungweeeee afungweeeee

Muhuni huyo muhuni huyo muhuni huyo muhuni huyo muhuni huyo muhuni huyo

Uuuuwwiiiiiiii uuuuwwiiiiiiii uuuuwwiiiiiiii
 
Kuna uwezekano mkubwa Paul Makonda akaunganishwa kwenye tuhuma za uhujumu uchumi zinazomkabili Ole Sabaya ambaye Rais Samia Suluhu ameamuru achunguzwe. Sababu zinazopelekea kuunganishwa huku ni kwa sababu ya staili ya uporaji fedha kutoka kwa wafanyabiashara inayotumiwa na Sabaya kufananishwa na staili ya Makonda (Makonda style). Ukimsikiliza vizuri mfanyabiashara huyu hapa chini aliyeibua sakata la uporaji wa Sabaya utagundua kwamba Makonda na Sabaya huenda wapo kwenye kikosi kimoja na aina yao ya uhujumu uchumi inafanana pia:


Mfanyabiashara huyu ametamka kinagaubaga kwamba Sabaya alipokuwa akimtisha ampe fedha alisema anatumia ‘Makonda style’. Kwa maana hiyo, Sabaya anafahamu staili ya uporaji wa Makonda na kwa kuwa mwizi hushikwa na mwizi mwenzie, kuna uwezekano mkubwa wawili hawa walikuwa akishiriki uhujumu uchumi kwa namna moja.

Kuna ufanano mkubwa wa Makonda na Sabaya katika mambo mengi tu. Mosi, wote ni ‘watoto’ wa mwendazake kwa kuwa hata wafanye madudu kiasi gani mwendazake alikuwa hawezi kuwachukulia hatua zozote. Ishu ya Sabaya kupora fedha za wafanyabiashara kwa vitisho ilishawafikia mwendazake na Waziri Mkuu lakini hakuna hatua zozote zilizochukuliwa. Jeuri hii iliwapelekea kufanya chochote watakacho bila hofu yoyote.

Pili, Makonda alishuhudiwa akiwadhalilisha wanaume wa Dar kupitia programu bubu ya kuwasaka wanaume waliowatelekeza wanawake zao na hali hii ilikwakera watu wengi lakini hakufanywa chochote na aliyemteua. Aidha, Sabaya amefanya madudu mengi sana wilayani Hai lakini mwendazake alikaa kimya kana kwamba hakuna kilichotokea.

Tatu, Sabaya amekuwa akitembea na kikundi cha Mungiki (mabaunsa) ambao huwatumia kutimiza azma yake ya kuhujumu uchumi. Hali kadhalika, Makonda alikuwa anamiliki kikundi kama hicho (makirikiri) ambao walikuwa wakimsaidia kutimiza uhujumu wake. Mfano mzuri ni pale alipovamia studio za clouds TV akiwa na kikosikazi chake hicho na kufanya vurugu kubwa akitaka kipindi chake kirushwe hewani (utadhani yeye ndiye Mkurugenzi wa vipindi wa Clouds Media):


Ukilinganisha mfanano wa wawili hawa kisha ukaunganisha nukta, utatengeneza mstari unaowaunganisha wote pamoja. Kuna ishu ya Sabaya kukutwa na kitambulisho kinachoonyesha kuwa yeye ni mtu anayefanya kazi kikosi maalumu (wengi mmekiona mitandanoni). Huenda Makonda na Sabaya wote wamo kwenye kikosi hiki kwa kuwa pia staili zao za uhujumu zinafanana.

Kwanini sasa DPP asimuunganishe Makonda kwenye ishu ya Sabaya ili suala hili lishughulikiwe kwa pamoja badala ya kusubiri kumkamata peke yake? Wakiunganishwa wote wawili hata gharama za kuwashughulikia zitakuwa ndogo kuliko kudeal na mmoja mmoja kwa nyakati tofauti.

Mimi namshauri DPP amuunganishe Makonda kwenye skendo hii ya Sabaya kwa kuwa tayari ametajwa na Sabaya kuwa wanatumia staili moja ya uhujumu (kupitia kwa mfanyabiashara huyo anayelalamika hapo juu).​

Aliwabambikizia kesi watu mbali mbali kina wema sepetu wale, idrisa sijuwi madawa ya kulevya na kupima watu mikojo nadhan Makonda akamatwe aeleze yale makundi ya watu wasiojulikana ni kina nani, mpaka mbowe aliitwa
 
makonda ni jambazi mwingine, amewapora sana watu fedha zao!
Kumbukeni pia ile lugha ya 'kudhulumu maisha ya watu' huyu mtu alitakiwa muda huu awe ndani kujibu tuhuma mbalimbali.
Ni mwizi, jambazi, mporaji na 'katili kwa maisha ya watu'
 
Makonda, Mnyeti, Jerry Muro, Olesabya, Ally Hapi na Chalamila ni group moja
Hawa washenzy wote wanapaswa kuunganishwa pamoja waminywe pu.mbu wawe na adabu. Hili genge limetumiwa na mwendazake kuwaumiza watanzania wengi sana.
 
Mbona mnawaza saana huyu mtu anaitwa makonda?

Alishawalaza vichocholoni kisha akaondoka bika kuwalipa pesa?

Na kama mnampenda kwa sasa sio maana ana mke wake tayari.

Makonda kakaa kimya nyie kika siku makonda, subilini akiwa ameongea kitu ndo mmshambulie.

Kama kakaa kimya na nyie kaeni kimya.
Wewe Mnyeti kaa kimya kabla hatujataja madhambi yako. Majitu yenye akili za kikumer kama wewe ni afadhali mngezaliwa kama mbwa, paka au ngedere kuliko kuzaliwa binadamu. Skandali zote hizo walizozifanya hawa umbwa wewe unadiriki kuwatetea? Bastard fool! You will die while sticking index finger in your ass. Usinitafutie ban wewe ngedere pori.
 
Group hili litakumbukwa kwa kazi yake TUKUFU ya kuwagaragaza CHADEMA
Du akili zako ni za ajabu sana aisee; hutofautiani na akili za mwendazake. Sabaya alipokuwa anafanya uhujumu wake siku zote alisema anabomoa genge la Mbowe na kwa kuwa mwendazake anachukia vyama vya upinzani alimuacha aendelee kupora fedha za wafanyabiashara. Umemsikiliza huyo mfanyabiashara hapo juu pamoja na huyu hapa aliyekimbia nchi kwa sababu ya Sabaya? Hebu msikilize vizuri huyu hapa aliyekimbia nchi kwasababu ya hujuma za Sabaya kisha utaelewa tunachozungumza hapa mkuu👇
 
hawa walikua wanatumiwa na mwendazake kwenye hayo mambo.
kwani hamkumbuki makonda aliwahi kwenda kwenye kituo kimoja cha habari na jeshi la mwenda zake?

alithubutuje kuweza kutumia jeshi maalum kama hajapewa na mwenye nalo?
kwaufupi mwendazake aliwatumia vijana hao kufanya walivyofanya kwa faida za waliowatuma bila ya kujali matokeo yake.

vijana wale walijiona hao ndio hao na hakuna aliethubutu kuwadhibiti.
 
Genta cha kushangaza kama makonda allikukala bila malipo mpeleke mahakamani na sio kutaka mamlaka zingine zimchukulie hatua
Vinginevyo kaa kimya
Huwezi chonganisha makonda na vionzi wa nchi.
Siku akitoa hoja usiyoipenda njoo umjibu, vinginrvyo dua lako kiyabaki bule tu.

Na ipo siku utampa heshima ilwe kwa uwazi au kwa kimyakimya.
Wewe mama kinakuuma nini? Makonda ni hawara yako hadi umtetee kwa ukali kihivyo? Tuliza 👇
 
Back
Top Bottom