Rais Samia atoe amri Paul Makonda naye akamatwe kwa Tuhuma zake zinazoendana na za Ole Sabaya

Rais Samia atoe amri Paul Makonda naye akamatwe kwa Tuhuma zake zinazoendana na za Ole Sabaya

Huyo mmiliki wa hotel ya utalii k'manjaro Jambazi sabaya alimuacha salama kweli baada ya kuyasema hayo kwa Majaliwa?
Majaliwa asingeweza kumfanya chochote kwa kuwa alikuwa analindwa na mwendazake kwa gharama zozote zile. Ndio maana alilia kama mwanamke alipofariki mwendazake.
 
Kuna uwezekano mkubwa Paul Makonda akaunganishwa kwenye tuhuma za uhujumu uchumi zinazomkabili Ole Sabaya ambaye Rais Samia Suluhu ameamuru achunguzwe. Sababu zinazopelekea kuunganishwa huku ni kwa sababu ya staili ya uporaji fedha kutoka kwa wafanyabiashara inayotumiwa na Sabaya kufananishwa na staili ya Makonda (Makonda style). Ukimsikiliza vizuri mfanyabiashara huyu hapa chini aliyeibua sakata la uporaji wa Sabaya utagundua kwamba Makonda na Sabaya huenda wapo kwenye kikosi kimoja na aina yao ya uhujumu uchumi inafanana pia:


Mfanyabiashara huyu ametamka kinagaubaga kwamba Sabaya alipokuwa akimtisha ampe fedha alisema anatumia ‘Makonda style’. Kwa maana hiyo, Sabaya anafahamu staili ya uporaji wa Makonda na kwa kuwa mwizi hushikwa na mwizi mwenzie, kuna uwezekano mkubwa wawili hawa walikuwa akishiriki uhujumu uchumi kwa namna moja.

Kuna ufanano mkubwa wa Makonda na Sabaya katika mambo mengi tu. Mosi, wote ni ‘watoto’ wa mwendazake kwa kuwa hata wafanye madudu kiasi gani mwendazake alikuwa hawezi kuwachukulia hatua zozote. Ishu ya Sabaya kupora fedha za wafanyabiashara kwa vitisho ilishawafikia mwendazake na Waziri Mkuu lakini hakuna hatua zozote zilizochukuliwa. Jeuri hii iliwapelekea kufanya chochote watakacho bila hofu yoyote.

Pili, Makonda alishuhudiwa akiwadhalilisha wanaume wa Dar kupitia programu bubu ya kuwasaka wanaume waliowatelekeza wanawake zao na hali hii ilikwakera watu wengi lakini hakufanywa chochote na aliyemteua. Aidha, Sabaya amefanya madudu mengi sana wilayani Hai lakini mwendazake alikaa kimya kana kwamba hakuna kilichotokea.

Tatu, Sabaya amekuwa akitembea na kikundi cha Mungiki (mabaunsa) ambao huwatumia kutimiza azma yake ya kuhujumu uchumi. Hali kadhalika, Makonda alikuwa anamiliki kikundi kama hicho (makirikiri) ambao walikuwa wakimsaidia kutimiza uhujumu wake. Mfano mzuri ni pale alipovamia studio za clouds TV akiwa na kikosikazi chake hicho na kufanya vurugu kubwa akitaka kipindi chake kirushwe hewani (utadhani yeye ndiye Mkurugenzi wa vipindi wa Clouds Media):



Ukilinganisha mfanano wa wawili hawa kisha ukaunganisha nukta, utatengeneza mstari unaowaunganisha wote pamoja. Kuna ishu ya Sabaya kukutwa na kitambulisho kinachoonyesha kuwa yeye ni mtu anayefanya kazi kikosi maalumu (wengi mmekiona mitandanoni). Huenda Makonda na Sabaya wote wamo kwenye kikosi hiki kwa kuwa pia staili zao za uhujumu zinafanana.

Kwanini sasa DPP asimuunganishe Makonda kwenye ishu ya Sabaya ili suala hili lishughulikiwe kwa pamoja badala ya kusubiri kumkamata peke yake? Wakiunganishwa wote wawili hata gharama za kuwashughulikia zitakuwa ndogo kuliko kudeal na mmoja mmoja kwa nyakati tofauti.

Mimi namshauri DPP amuunganishe Makonda kwenye skendo hii ya Sabaya kwa kuwa tayari ametajwa na Sabaya kuwa wanatumia staili moja ya uhujumu (kupitia kwa mfanyabiashara huyo anayelalamika hapo juu).

Aunganishwe tu.
Wote wezi hawa.
 
Binafsi nashangaa ni kwanini hadi leo hii Rais ( Mama ) Samia Suluhu Hassan hajaamuru huyu Moron, Crook and Hellacious Paul Christian Makonda hajakamatwa na kuanza Kuchunguzwa na Dhambi nyingi, kubwa na mbaya alizozifanya ( hasa alipokuwa Dar RC )

Hukumu pekee inayomfaa huyu ( Paul Christian Makonda ) ambayo GENTAMYCINE nataka Kuisikia ikimpata tu ni ama afungwe Maisha Jela au ahukumiwe Kunyongwa.

Sabaya ni Papa Makonda ni Nyangumi.

Ila si wanasema huyu jamaa……..[emoji38] ngoja nikaushe
 
Ni kwanini Rais anamchelewesha huyu?
Huyu mtu muhimu sana wewe hujui tu,naomba Mama amteue kuwa mbunge hatimaye waziri,Kama sijapoteza kumbukumbu alitekwa Mo/Roma RC Makonda akatoa tamko kwamba aliyetekwa atapatikana na akapatikana kweli ndani ya muda
 
Kuna uwezekano mkubwa Paul Makonda akaunganishwa kwenye tuhuma za uhujumu uchumi zinazomkabili Ole Sabaya ambaye Rais Samia Suluhu ameamuru achunguzwe. Sababu zinazopelekea kuunganishwa huku ni kwa sababu ya staili ya uporaji fedha kutoka kwa wafanyabiashara inayotumiwa na Sabaya kufananishwa na staili ya Makonda (Makonda style). Ukimsikiliza vizuri mfanyabiashara huyu hapa chini aliyeibua sakata la uporaji wa Sabaya utagundua kwamba Makonda na Sabaya huenda wapo kwenye kikosi kimoja na aina yao ya uhujumu uchumi inafanana pia:


Mfanyabiashara huyu ametamka kinagaubaga kwamba Sabaya alipokuwa akimtisha ampe fedha alisema anatumia ‘Makonda style’. Kwa maana hiyo, Sabaya anafahamu staili ya uporaji wa Makonda na kwa kuwa mwizi hushikwa na mwizi mwenzie, kuna uwezekano mkubwa wawili hawa walikuwa akishiriki uhujumu uchumi kwa namna moja.

Kuna ufanano mkubwa wa Makonda na Sabaya katika mambo mengi tu. Mosi, wote ni ‘watoto’ wa mwendazake kwa kuwa hata wafanye madudu kiasi gani mwendazake alikuwa hawezi kuwachukulia hatua zozote. Ishu ya Sabaya kupora fedha za wafanyabiashara kwa vitisho ilishawafikia mwendazake na Waziri Mkuu lakini hakuna hatua zozote zilizochukuliwa. Jeuri hii iliwapelekea kufanya chochote watakacho bila hofu yoyote.

Pili, Makonda alishuhudiwa akiwadhalilisha wanaume wa Dar kupitia programu bubu ya kuwasaka wanaume waliowatelekeza wanawake zao na hali hii ilikwakera watu wengi lakini hakufanywa chochote na aliyemteua. Aidha, Sabaya amefanya madudu mengi sana wilayani Hai lakini mwendazake alikaa kimya kana kwamba hakuna kilichotokea.

Tatu, Sabaya amekuwa akitembea na kikundi cha Mungiki (mabaunsa) ambao huwatumia kutimiza azma yake ya kuhujumu uchumi. Hali kadhalika, Makonda alikuwa anamiliki kikundi kama hicho (makirikiri) ambao walikuwa wakimsaidia kutimiza uhujumu wake. Mfano mzuri ni pale alipovamia studio za clouds TV akiwa na kikosikazi chake hicho na kufanya vurugu kubwa akitaka kipindi chake kirushwe hewani (utadhani yeye ndiye Mkurugenzi wa vipindi wa Clouds Media):



Ukilinganisha mfanano wa wawili hawa kisha ukaunganisha nukta, utatengeneza mstari unaowaunganisha wote pamoja. Kuna ishu ya Sabaya kukutwa na kitambulisho kinachoonyesha kuwa yeye ni mtu anayefanya kazi kikosi maalumu (wengi mmekiona mitandanoni). Huenda Makonda na Sabaya wote wamo kwenye kikosi hiki kwa kuwa pia staili zao za uhujumu zinafanana.

Kwanini sasa DPP asimuunganishe Makonda kwenye ishu ya Sabaya ili suala hili lishughulikiwe kwa pamoja badala ya kusubiri kumkamata peke yake? Wakiunganishwa wote wawili hata gharama za kuwashughulikia zitakuwa ndogo kuliko kudeal na mmoja mmoja kwa nyakati tofauti.

Mimi namshauri DPP amuunganishe Makonda kwenye skendo hii ya Sabaya kwa kuwa tayari ametajwa na Sabaya kuwa wanatumia staili moja ya uhujumu (kupitia kwa mfanyabiashara huyo anayelalamika hapo juu).

Hahaha prof
 
Huyu mtu muhimu sana wewe hujui tu,naomba Mama amteue kuwa mbunge hatimaye waziri,Kama sijapoteza kumbukumbu alitekwa Mo/Roma RC Makonda akatoa tamko kwamba aliyetekwa atapatikana na akapatikana kweli ndani ya muda
Alitamka Roma na Mo wakarudishwa kwa sababu yeye ndiye aliyekuwa mkuu wa kikosi cha utekaji kilichoanzishwa na mwendazake kwa malengo maalumu.
 
Kuna uwezekano mkubwa Paul Makonda akaunganishwa kwenye tuhuma za uhujumu uchumi zinazomkabili Ole Sabaya ambaye Rais Samia Suluhu ameamuru achunguzwe. Sababu zinazopelekea kuunganishwa huku ni kwa sababu ya staili ya uporaji fedha kutoka kwa wafanyabiashara inayotumiwa na Sabaya kufananishwa na staili ya Makonda (Makonda style). Ukimsikiliza vizuri mfanyabiashara huyu hapa chini aliyeibua sakata la uporaji wa Sabaya utagundua kwamba Makonda na Sabaya huenda wapo kwenye kikosi kimoja na aina yao ya uhujumu uchumi inafanana pia:


Mfanyabiashara huyu ametamka kinagaubaga kwamba Sabaya alipokuwa akimtisha ampe fedha alisema anatumia ‘Makonda style’. Kwa maana hiyo, Sabaya anafahamu staili ya uporaji wa Makonda na kwa kuwa mwizi hushikwa na mwizi mwenzie, kuna uwezekano mkubwa wawili hawa walikuwa akishiriki uhujumu uchumi kwa namna moja.

Kuna ufanano mkubwa wa Makonda na Sabaya katika mambo mengi tu. Mosi, wote ni ‘watoto’ wa mwendazake kwa kuwa hata wafanye madudu kiasi gani mwendazake alikuwa hawezi kuwachukulia hatua zozote. Ishu ya Sabaya kupora fedha za wafanyabiashara kwa vitisho ilishawafikia mwendazake na Waziri Mkuu lakini hakuna hatua zozote zilizochukuliwa. Jeuri hii iliwapelekea kufanya chochote watakacho bila hofu yoyote.

Pili, Makonda alishuhudiwa akiwadhalilisha wanaume wa Dar kupitia programu bubu ya kuwasaka wanaume waliowatelekeza wanawake zao na hali hii ilikwakera watu wengi lakini hakufanywa chochote na aliyemteua. Aidha, Sabaya amefanya madudu mengi sana wilayani Hai lakini mwendazake alikaa kimya kana kwamba hakuna kilichotokea.

Tatu, Sabaya amekuwa akitembea na kikundi cha Mungiki (mabaunsa) ambao huwatumia kutimiza azma yake ya kuhujumu uchumi. Hali kadhalika, Makonda alikuwa anamiliki kikundi kama hicho (makirikiri) ambao walikuwa wakimsaidia kutimiza uhujumu wake. Mfano mzuri ni pale alipovamia studio za clouds TV akiwa na kikosikazi chake hicho na kufanya vurugu kubwa akitaka kipindi chake kirushwe hewani (utadhani yeye ndiye Mkurugenzi wa vipindi wa Clouds Media):


Ukilinganisha mfanano wa wawili hawa kisha ukaunganisha nukta, utatengeneza mstari unaowaunganisha wote pamoja. Kuna ishu ya Sabaya kukutwa na kitambulisho kinachoonyesha kuwa yeye ni mtu anayefanya kazi kikosi maalumu (wengi mmekiona mitandanoni). Huenda Makonda na Sabaya wote wamo kwenye kikosi hiki kwa kuwa pia staili zao za uhujumu zinafanana.

Kwanini sasa DPP asimuunganishe Makonda kwenye ishu ya Sabaya ili suala hili lishughulikiwe kwa pamoja badala ya kusubiri kumkamata peke yake? Wakiunganishwa wote wawili hata gharama za kuwashughulikia zitakuwa ndogo kuliko kudeal na mmoja mmoja kwa nyakati tofauti.

Mimi namshauri DPP amuunganishe Makonda kwenye skendo hii ya Sabaya kwa kuwa tayari ametajwa na Sabaya kuwa wanatumia staili moja ya uhujumu (kupitia kwa mfanyabiashara huyo anayelalamika hapo juu).
Na lazima apelekwe mahakamani kwa kosa lá kuharibu biashara ya Ngada.
 
Hivi makonda yupo town kweli? Aisee maisha unakwenda kasi saana....teh teh teh
Yupo anasubiri mama amuonee huruma amteue walau kuwa mkuu wa tarafa. Atasubiri sana kama fisi anayesubiri mkono wa binadamu udondoke ale!
 
Huyo Bashite hata sponsor wake alimchoka akampiga chini, cha maana wenye ushahidi au chochote kile kama wale wafanyabiashara wa Arusha waliofanyiziwa na nduli Sabaya waliojitoa mhanaga bila kuogopa waanze kurusha clip, msiogope coward Bashite is chicken toothless now alikuwa anaishi kutegemea wengine wamlinde, tuanze na uvamizi wa kutumia silaha pale Clouds ushahidi upo wazi, criminal Bashite asirudi tena kwenye siasa za hii nchi kaumiza watu wengi sana lazima aende jela mpuuzi huyu
 
Wewe uwewahi hata siku moja ku undergo scientific IQ test au unajisemea tu kwa kuwa uliwahi kusikia watu wanazungumzia nasuala ya IQ, kwa taarifa yako mimi ni member wa MENSA najuwa kisayansi IQ yangu ni ya kiwango gani.

Reading between the lines ni wazi IQ yako ni dismal kabisa ndio maana badala ya kujenga hoja unaleta mipasho ya taarabu kama ya Khadja Kopa. Mtu wa barabarani utajuaje confidential file la TISS kuhusu Makonda kujitia ujuaji mwingii. Please revisit your skewed comments ni wazi unakuwa driven vile vile na rabid hatred kuhusu Makonda, kuwa mkweli hapa, je, aliwahi kukutimua kazi au kukudhurumu mali zako?
Tuondolee upuuzi wako wa MENSA na fake IQ zako ulizodanganywa na wazungu koko
 
Kila mtu amekuwa mshauri wa rais[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Bukyanagandi kama unamshabikia Makonda kwa namna hiyo unastahili kupita Mirembe. Kama Mensa wana mwanachama mwenye IQ ambayo haijui kuwa Makonda alikuwa muuaji na dhulumati, basi Mensa ya misukule siku hizi
Here we go again, unatuletea majibu ya kitoto toto - si ajabu hii ndio mara yako ya kwanza kusikia kwamba kuna kitu kinaitwa MENSA!! Mtu ungetegemea ungetuleta hoja mbadala kinyume chake unatuletea mipasho ya taarabu - typical some skewed minded Tanzanians wamesheheni adithi nyingi za kutunga tu wakiwa na lengo la kuwaribia sifa wanadamu wenzao ambao wanawaona wanahinuka kisiasa - driven by wivu tu wa kwa nini, wako overly obsessed kusema sema vibaya mzalendo Makonda sijui kwa nini?
 
Kwangu mimi kutokana na Tuhuma zao ( hasa walipokuwa katika Nyadhifa zao ) namfananisha Ole Sabaya ni Papa na Paul Makonda ni Nyangumi.

Unatoaje amri ya kuchunguzwa kwa Papa Ole Sabaya na ukamuacha Nyangumi Paul Makonda? Hapa Rais Samia Mimi Krav Maga sijakuelewa.

Rais Samia tafadhali hakikisha na hiki ulichokifanya kwa Ole Sabaya pia ukifanye kwa Paul Makonda kwani ana Madhambi yaliyomshangaza hata Shetani.
Sio kila kitu Rais Mama Yetu Samia Makonda yeye alifanya kosa la jinai kwa kujitambulisha kwa majina ambayo si yake yaani impersonalization aliyekuwa meya wa Ubungo kipindi hicho ndugu Boniface Jacob alilifikisha hili suala katika tume ya maadili ya viongozi wa umma sasa hapa ni kumkumbusha apunguze muda wake huko twitter akafuatilia hali jambo alilojinasibu nalo kipindi hicho kama alikuwa mkweli au alikuwa anatudanganya@Boniface Jacob
 
Boniface Jacob akafuatilia kule tume ya maadili hili suala limefika wapi kuliko kushinda twitter anapiga umbea
 
Here we go again, unatuletea majibu ya kitoto toto - si ajabu hii ndio mara yako ya kwanza kusikia kwamba kuna kitu kinaitwa MENSA!! Mtu ungetegemea ungetuleta hoja mbadala kinyume chake unatuletea mipasho ya taarabu - typical some skewed minded Tanzanians wamesheheni adithi nyingi za kutunga tu wakiwa na lengo la kuwaribia sifa wanadamu wenzao ambao wanawaona wanahinuka kisiasa - driven by wivu tu wa kwa nini, wako overly obsessed kusema sema vibaya mzalendo Makonda sijui kwa nini?
Basi kama Makonda ni mzalendo na maana ya neno mzalendo kwenye Kamusi ya BAKITA itakuwa imebadilika kumaanisha kuwa ni uhanithi, unyang'anyi na uuaji
 
Kijiji fulani vilitokea vita kati ya kabila X na kabila Y. Katika vile vita kabila X walionekana kushindwa. Basi maaskari wake watatu walifanikiwa kukimbia na kujificha kwenye shimo fulani ardhini.

Wakiwa chini wamejificha juu kuna majani wakapita wanajeshi wa kabila Y wakamkanyaga askari mmoja wa kabila X. Yule askari akang'aka kwa hasira.

Askari 1: "jamani kwa nini tunakanyagana?"
Wale askari wakagundua kuna mtu pale chini wakamchoma mkuki akafa.

Mwenzake kule chini akamfokea yule aliyechomwa mkuki

Askari 2: "kwa nini na wewe unasema?"

Wale askari Y wakagundua kuna mtu mwingine wakamchoma Mkuki. Akafa. Akabaki Askari mmoja aliyejificha naye akaropoka.

Askari 3: "Aheri ya mimi sijasema"

Naye wakamgundua wakamchoma mkuki akafa.

Ole Sabaya kilichomponza ni kule kusema. Kama angenyamaza watanzania walikuwa wameshasahau mabaya yake. Alipoenda kulalamika kwenye TV kuwa anakanyagwa ndipo alipo haribu.

Makonda amekuwa smart. Hajamwambia Sabaya "kwa nini na wewe unasema?" Maana angewashtua watu nao wakaanza kuchimbua yake. Makonda amenyamaza kimya.

Watanzania wamesahau zile shutma zooote zilizomhusu Makonda.wameridhika tu kuwa kwa sasa si Mkuu wa Mkoa.

Je hakuna ambaye amewaza kwenda kufungua kesi ili haya mambo kama yalikuwa kwel yakomeshwe? Je Makonda alikuwa anasingiziwa ule uhalifu na uhalamia?

Pongezi kwa Makonda. Pamoja na kukanyagwa ameendelea kunyamaza. Maana akisema tu kuwa "anakanyagwa" watu watagundua uwepo wake.

" Aheri ya mimi sikusema"
 
Back
Top Bottom