Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
[emoji23][emoji23][emoji23]Veronica France kazimia huko baada ya sabaya kupigwa pingu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]Veronica France kazimia huko baada ya sabaya kupigwa pingu
How? Mbona LA clouds lipo wazi!?Naona makosa ya Makonda kupata ushahidi ni ngumu.Sabaya kiburi ndo kilimgharimu.
Sio mlisema wamepotezwa na mwendazake hawa kwaiyo mwendazake hakuusika.Makonda anahusika moja kwa moja na matukio yafuatayo;
1. Kupotea kwa Ben Saanane
2. Kushambuliwa Tundu Lissu
3. Kuuawa kwa Akwilina
4. Kujipatia mali kwa njia ya udanganyifu kutoka kwa wafanyabiashara kama GSM, NAS na GBP
5. Kuvamia kituo cha radio/TV cha Clouds
6. Kumteka Roma Mkatoliki
7. Kumteka Mo Dewji
Kitu pekee ambacho atapona ni UNAKAJI. Hilo shtaka halitamhusu kwa vile yeye siyo Rijali
Kweli.MAKONDA alimpiga WARIOBA kweli si kweli
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Makonda anahusika moja kwa moja na matukio yafuatayo;
1. Kupotea kwa Ben Saanane
2. Kushambuliwa Tundu Lissu
3. Kuuawa kwa Akwilina
4. Kujipatia mali kwa njia ya udanganyifu kutoka kwa wafanyabiashara kama GSM, NAS na GBP
5. Kuvamia kituo cha radio/TV cha Clouds
6. Kumteka Roma Mkatoliki
7. Kumteka Mo Dewji
Kitu pekee ambacho atapona ni UNAKAJI. Hilo shtaka halitamhusu kwa vile yeye siyo Rijali
Aende kule kwa wanae (WASAFI) wakamhoji... DAB ashawishiwe akahojiwe Clouds FM ili ku-initiate process kwa upande wake.
Sio visasi,walipanda mazao yao nani ayavune sasaKumbe mnachofanya sasa ni visasi sio?
ball possession hadi sasa kigogo anaongoza kwa 95% dhidi ya Veronica France 5%Veronica France kazimia huko baada ya sabaya kupigwa pingu
Hatimaye Ole Sabaya ameingia Kingi, hiyo yaweza kuwa headline nzuri kwa magazeti ya kesho.
Nawapongeza sana watu wa mitandao ya jamii kwa kelele na sauti ambazo tulipaza mpaka huyu Dhalimu akapatikana.
Sasa napendekeza tulianzishe kwa Paul Makonda maarufu Kama Daudi Albert Bashite mpaka naye awajibishwe kwa matendo yake maovu. Kimsingi uovu wa Ole Sabaya haufikii hata robo ya uovu wa Makonda. Na kila alilokuwa anafanya Sabaya alikuwa anaiga na ku -consult kutoka kwa Makonda.
Tutumie silaha yetu ya "social media" kama wanavyotuita "key board warriors" mpaka Makonda akapate anachostahili. Tushambulie kila mahali kupitia JF, TWITTER na FB.
Hii kampeni ianze mara moja kutaja madhambi yake. Kama TAKUKURU au Polisi hawatachukua hatua, basi wanahatakati wa haki za binadamu wanaweza wakatushauri mamna ya kumfikisha Mahakamani
Ugumu unatoka wapi wakati uvamizi wa clouds cctv camera mpaka leo ile video ipoNaona makosa ya Makonda kupata ushahidi ni ngumu.Sabaya kiburi ndo kilimgharimu.
Kuna yule anaitwa MNYETI yule nae amefanya mabaya sana huku manyaraMda wa kumvizia kiongozi yeyote unayehisi kipindi cha uongozi wake hakukutendea haki. Hahahaha wabongo bhana, sio watu wa pole pole, ila jitahidini kutunza sheshima za watu. Kisasi hakijawahi kumwacha mtu salaama na upendo ndo kitu kikubwa kwa sisi binadamu wote na kila mmoja akitambua ya kuwa hajakamilika basi ni kitu bora sana kusameheana na kuelimishan kwa upendo.
Heche alisema waliambia hapa mavi mbele kama tai yaaniNajaribu kuwaza leo Sabaya atakavyovuliwa nguo zote kwenye ukaguzi.... anaambiwa kujisaidia haja kubwa bila hata kubanwa.. anaambiwa kuchuchumaaa akiwa uchi wa mnyama mbele ya wale waliomuona boss wao.. tuliposema watu wanadhalilishwa wakafikiri yataishia kwa Chadema tu.
Heche