Rais Samia atoe amri Paul Makonda naye akamatwe kwa Tuhuma zake zinazoendana na za Ole Sabaya

Rais Samia atoe amri Paul Makonda naye akamatwe kwa Tuhuma zake zinazoendana na za Ole Sabaya

Makonda anahusika moja kwa moja na matukio yafuatayo;
1. Kupotea kwa Ben Saanane
2. Kushambuliwa Tundu Lissu
3. Kuuawa kwa Akwilina
4. Kujipatia mali kwa njia ya udanganyifu kutoka kwa wafanyabiashara kama GSM, NAS na GBP
5. Kuvamia kituo cha radio/TV cha Clouds
6. Kumteka Roma Mkatoliki
7. Kumteka Mo Dewji

Kitu pekee ambacho atapona ni UNAKAJI. Hilo shtaka halitamhusu kwa vile yeye siyo Rijali
Sio mlisema wamepotezwa na mwendazake hawa kwaiyo mwendazake hakuusika.
 
Makonda anahusika moja kwa moja na matukio yafuatayo;
1. Kupotea kwa Ben Saanane
2. Kushambuliwa Tundu Lissu
3. Kuuawa kwa Akwilina
4. Kujipatia mali kwa njia ya udanganyifu kutoka kwa wafanyabiashara kama GSM, NAS na GBP
5. Kuvamia kituo cha radio/TV cha Clouds
6. Kumteka Roma Mkatoliki
7. Kumteka Mo Dewji

Kitu pekee ambacho atapona ni UNAKAJI. Hilo shtaka halitamhusu kwa vile yeye siyo Rijali
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Benisaanane lisuu kupora pesa kwa wafanyabiashara wakimuacha makonda kutakuwa kunaonesha double standard makonda akamatwe ana meng sana ya kujib kwan aliumiza weng sana lengai tayar next makonda pls
 
Najaribu kuwaza leo Sabaya atakavyovuliwa nguo zote kwenye ukaguzi.... anaambiwa kujisaidia haja kubwa bila hata kubanwa.. anaambiwa kuchuchumaaa akiwa uchi wa mnyama mbele ya wale waliomuona boss wao.. tuliposema watu wanadhalilishwa wakafikiri yataishia kwa Chadema tu.

Heche
 
Hatimaye Ole Sabaya ameingia Kingi, hiyo yaweza kuwa headline nzuri kwa magazeti ya kesho.

Nawapongeza sana watu wa mitandao ya jamii kwa kelele na sauti ambazo tulipaza mpaka huyu Dhalimu akapatikana.

Sasa napendekeza tulianzishe kwa Paul Makonda maarufu Kama Daudi Albert Bashite mpaka naye awajibishwe kwa matendo yake maovu. Kimsingi uovu wa Ole Sabaya haufikii hata robo ya uovu wa Makonda. Na kila alilokuwa anafanya Sabaya alikuwa anaiga na ku -consult kutoka kwa Makonda.

Tutumie silaha yetu ya "social media" kama wanavyotuita "key board warriors" mpaka Makonda akapate anachostahili. Tushambulie kila mahali kupitia JF, TWITTER na FB.

Hii kampeni ianze mara moja kutaja madhambi yake. Kama TAKUKURU au Polisi hawatachukua hatua, basi wanahatakati wa haki za binadamu wanaweza wakatushauri mamna ya kumfikisha Mahakamani

Kabisa mambo aliyofanya sabaya ni machache sana ukilinganisha na Makonda,yaani hadi USA wametoa ripoti na kumyima kuingia US sio masihara!! Makonda ana issue nyingi sana sema nyingine zina mkono wa "SIRIKALI" iliyopita.
 
Naona makosa ya Makonda kupata ushahidi ni ngumu.Sabaya kiburi ndo kilimgharimu.
Ugumu unatoka wapi wakati uvamizi wa clouds cctv camera mpaka leo ile video ipo
Kujipatia fedha kinyume cha sheria watendewa wapo na walipo deposite kunaonekana
 
Mda wa kumvizia kiongozi yeyote unayehisi kipindi cha uongozi wake hakukutendea haki. Hahahaha wabongo bhana, sio watu wa pole pole, ila jitahidini kutunza sheshima za watu. Kisasi hakijawahi kumwacha mtu salaama na upendo ndo kitu kikubwa kwa sisi binadamu wote na kila mmoja akitambua ya kuwa hajakamilika basi ni kitu bora sana kusameheana na kuelimishan kwa upendo.
Kuna yule anaitwa MNYETI yule nae amefanya mabaya sana huku manyara
 
Najaribu kuwaza leo Sabaya atakavyovuliwa nguo zote kwenye ukaguzi.... anaambiwa kujisaidia haja kubwa bila hata kubanwa.. anaambiwa kuchuchumaaa akiwa uchi wa mnyama mbele ya wale waliomuona boss wao.. tuliposema watu wanadhalilishwa wakafikiri yataishia kwa Chadema tu.
 
Najaribu kuwaza leo Sabaya atakavyovuliwa nguo zote kwenye ukaguzi.... anaambiwa kujisaidia haja kubwa bila hata kubanwa.. anaambiwa kuchuchumaaa akiwa uchi wa mnyama mbele ya wale waliomuona boss wao.. tuliposema watu wanadhalilishwa wakafikiri yataishia kwa Chadema tu.

Heche
Heche alisema waliambia hapa mavi mbele kama tai yaani
 
Kimsingi wapo wengi waliodhulumu haki za watu, nadhani kama siyo sinema, basi wote wapitiwe na mkono wa sheria.......kama ni bongo movie basi itakuwa sawa na bure
 
Bashite ana kesi nyingi kuliko Sabaya.
1.Kughusi vyeti na kujipatia ajira serikalini.
2.Matumizi mabaya ya ofisi
3.Uvamizi wa of za cloud
4.Kuingiza macontena danganyifu na kukwepa kodi.
5.Uhalifu dhidi ya binadamu ikiwemo utekaji.
6.Kumiliki mali nyingi kuliko kipato chake.
kujipatia mali kwa kuwabambika kesi watu kupitia list feki ya poda.
8.....
 
Back
Top Bottom