Rais Samia atoe amri Paul Makonda naye akamatwe kwa Tuhuma zake zinazoendana na za Ole Sabaya

Uko sahihi kabisa
 
Mbona nasikia bashite alikuwa na uhusiano wa kipekee na mammy?
 
Mambo ya kusameheana ndio yametufikisha hapa. Ifike muda watu walipe mabaya waliyofanya iwe fundisho.

Hata hiyo Katiba hata iwe nzuri namna gani Kama kiongozi hataamua kuifuata ni kazi bure.
 
... kama kuna binadamu ameishi kisanii na kwa kujipendekeza duniani na "ikamlipa" tangu akiwa mtoto mdogo basi ni Makonda. Kwa usanii nimemvulia kofia japo kwenye "makaratasi yake" hamna kitu!
Uvamizi wa Clouds tu unatosha kumweka kizimbani. Naomba ifanyike hivyo ili liwe funzo kwa viongozi wanaolewa madaraka.
 
Veronica France ni Abdoulquarim Malisa mfuatilie mandishi yake utajua
 
Kama kundi hili halitadhibitiwa mapema, litaisumbua sana Serikali ya mama Samia[emoji1541][emoji1541][emoji1541]
Limeshaanza kudhibitiwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama unajua kuwa Veronica France ni kundi la akina Makonda basi bila shaka unajua kuwa kigogo2014 ni kundi la akina Makamba junior,Nnauye junior ,Kikwete junior .
Waarabu wa Pemba hujuana kwa viremba.
 
Msamaha, msamaha
Basi tuvunje mahakama magereza na polisi
Asiwepo wa kuadhibiwa.

Biblia inasema kila kosa lilipata ujira wake.
Ujira ni malipo ya mtu kwa kazi aliyofanya.
Mnasemaje visasi?
 
... kama kuna binadamu ameishi kisanii na kwa kujipendekeza duniani na "ikamlipa" tangu akiwa mtoto mdogo basi ni Makonda. Kwa usanii nimemvulia kofia japo kwenye "makaratasi yake" hamna kitu!
Usanii una gharama hasa pale unapovunja haki
 
Kwa hiyo Sabaya aachwe aendelee kuwapiga watu misumari kwenye ugoko, kupora fedha za wafanyabiashara, kuua na kuchukua mademu kwa nguvu?
 
Pimbi kweli wewe... Bahati nzuri huraambulia hata uteuzi wa mtendaji wa Kijiji kwenye serikali hii ya mama.
 
Your browser is not able to display this video.

tunaendelea kula raha za dunia teuzi za nn ss
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…