Rais Samia atoe amri Paul Makonda naye akamatwe kwa Tuhuma zake zinazoendana na za Ole Sabaya

Rais Samia atoe amri Paul Makonda naye akamatwe kwa Tuhuma zake zinazoendana na za Ole Sabaya

Leo nimemuona Makonda akiwa Chato kutembelea Kaburi la Magufuli.

Katika ziara hiyo, Makonda eti alisimamishwa na wananchi wa Chato na kuzungumza nao. Na katika maigizo hayo,Makonda amelia sana.

Juzi niliona gazeti moja limeandika kuwa jalada la uchunguzi wa utekwaji wa mfanyabiashara maarufu Mo limepelekwa kwa DPP.

Naamini baada ya kukamatwa kwa Sabaya kwa kuwa maovu ya Makonda yanafanana na ya Sabaya, amenusa kitu. Hivyo ameamua kuanzisha harakati za kutafuta huruma za watanzania hasa wasiojua drama zake ili kuitisha Serikali isimchukulie hatua kama alivyofanyiwa Sabaya.

Sisi wengine tunajua Makonda ana hasira mno na utawala wa mama Samia baada ya kuachwa kwenye teuzi zote zilizofanywa. Yeye pamoja na wanazi wengine wa Magufuli waliokuwa wanafaidika na utawala wake wa kikatili na kidikteta wameanzisha kundi linaloishambulia Serikali ya Rais Samia katika mitandao ya kijamii. Kule FB wanatumia ID ya veronica france.

Kama kundi hili halitadhibitiwa mapema, litaisumbua sana Serikali ya mama Samia.
😎Huyu Vero sio Musiba kweli?
 
Leo nimemuona Makonda akiwa Chato kutembelea Kaburi la Magufuli.

Katika ziara hiyo, Makonda eti alisimamishwa na wananchi wa Chato na kuzungumza nao. Na katika maigizo hayo,Makonda amelia sana.

Juzi niliona gazeti moja limeandika kuwa jalada la uchunguzi wa utekwaji wa mfanyabiashara maarufu Mo limepelekwa kwa DPP.

Naamini baada ya kukamatwa kwa Sabaya kwa kuwa maovu ya Makonda yanafanana na ya Sabaya, amenusa kitu. Hivyo ameamua kuanzisha harakati za kutafuta huruma za watanzania hasa wasiojua drama zake ili kuitisha Serikali isimchukulie hatua kama alivyofanyiwa Sabaya.

Sisi wengine tunajua Makonda ana hasira mno na utawala wa mama Samia baada ya kuachwa kwenye teuzi zote zilizofanywa. Yeye pamoja na wanazi wengine wa Magufuli waliokuwa wanafaidika na utawala wake wa kikatili na kidikteta wameanzisha kundi linaloishambulia Serikali ya Rais Samia katika mitandao ya kijamii. Kule FB wanatumia ID ya veronica france.

Kama kundi hili halitadhibitiwa mapema, litaisumbua sana Serikali ya mama Samia.
Bila picha mkuu ama ka-video basi
 
Ni Mtanzania kumbuka, ni kama ilivyo kwako, Kwa nini unadhani asifanye hivyo!!

Hata dhalimu Sabaya alijifanya kulia kwenye msiba wa dhalimu Mkuu, na kwenda kufanya kipindi cha kujisafisha hapo Clouds. Na huyo Makonda anajifanya Kuhani kaburi la dhalimu Mkuu, akidhani watu wanaogopa viongozi waouvu. Tuna ushahidi mwingi wa huyo dhalimu Makonda, tunataka tu uchanguzi dhidi yake uanze, ili akakae jela kama wale aliokuwa anawabambikizia kesi kipindi cha kiongozi muovu.
 
Leo nimemuona Makonda akiwa Chato kutembelea Kaburi la Magufuli.

Katika ziara hiyo, Makonda eti alisimamishwa na wananchi wa Chato na kuzungumza nao. Na katika maigizo hayo,Makonda amelia sana.

Juzi niliona gazeti moja limeandika kuwa jalada la uchunguzi wa utekwaji wa mfanyabiashara maarufu Mo limepelekwa kwa DPP.

Naamini baada ya kukamatwa kwa Sabaya kwa kuwa maovu ya Makonda yanafanana na ya Sabaya, amenusa kitu. Hivyo ameamua kuanzisha harakati za kutafuta huruma za watanzania hasa wasiojua drama zake ili kuitisha Serikali isimchukulie hatua kama alivyofanyiwa Sabaya.

Sisi wengine tunajua Makonda ana hasira mno na utawala wa mama Samia baada ya kuachwa kwenye teuzi zote zilizofanywa. Yeye pamoja na wanazi wengine wa Magufuli waliokuwa wanafaidika na utawala wake wa kikatili na kidikteta wameanzisha kundi linaloishambulia Serikali ya Rais Samia katika mitandao ya kijamii. Kule FB wanatumia ID ya veronica france.

Kama kundi hili halitadhibitiwa mapema, litaisumbua sana Serikali ya mama Samia.
Unao ushahidi wa Makonda kua ndio kaanzisha hayo makundi kwenye mitandao ya kijamii? Au unataka tukuamini tuu?

Hii ni JF weka evidence tukusome.
 
Leo nimemuona Makonda akiwa Chato kutembelea Kaburi la Magufuli.

Katika ziara hiyo, Makonda eti alisimamishwa na wananchi wa Chato na kuzungumza nao. Na katika maigizo hayo,Makonda amelia sana.

Juzi niliona gazeti moja limeandika kuwa jalada la uchunguzi wa utekwaji wa mfanyabiashara maarufu Mo limepelekwa kwa DPP.

Naamini baada ya kukamatwa kwa Sabaya kwa kuwa maovu ya Makonda yanafanana na ya Sabaya, amenusa kitu. Hivyo ameamua kuanzisha harakati za kutafuta huruma za watanzania hasa wasiojua drama zake ili kuitisha Serikali isimchukulie hatua kama alivyofanyiwa Sabaya.

Sisi wengine tunajua Makonda ana hasira mno na utawala wa mama Samia baada ya kuachwa kwenye teuzi zote zilizofanywa. Yeye pamoja na wanazi wengine wa Magufuli waliokuwa wanafaidika na utawala wake wa kikatili na kidikteta wameanzisha kundi linaloishambulia Serikali ya Rais Samia katika mitandao ya kijamii. Kule FB wanatumia ID ya veronica france.

Kama kundi hili halitadhibitiwa mapema, litaisumbua sana Serikali ya mama Samia.
Makonda akamatwe ajibu tuhuma zinazomkabili kwani wakati wa haki umefika.
 
Tungesamehana tu tukatafuta katiba mpya na tume huru ili kutengeneza mfumo bora ( justice)

Tunasahau mifumo yetu ya utawala ndio inafanya watu wajisahau na kutena uovu kama huu.

Visasi havijawai kuleta amani na umoja.

Nelson Mandela angefanya visasi sijui kama angekuwa anakumbukwa kwa mazuri leo.
Exactly Mkuu..
 

Chadema ilishindwa kwa sababu waliweka wagombea dhaifu

Unadhani hatujui Mbowe alikuwa anaongea nini kwenye hiki ulichosema hapa? Uchaguzi ule kwa sehemu kubwa ulinajisiwa na yule kiongozi muovu unayelinda kaburi lake huko porini.
 
... kama kuna binadamu ameishi kisanii na kwa kujipendekeza duniani na "ikamlipa" tangu akiwa mtoto mdogo basi ni Makonda. Kwa usanii nimemvulia kofia japo kwenye "makaratasi yake" hamna kitu!
Wafadhili wake wote huwa wanakufa:
Alianza Samwel Sita
Sasa John Pombe.
 
Acha uongo. Msikilize Mama hapa chini
View attachment 1809459
Mama alichokiongea hakiusiani na hoja ya Mtoa mada, alisema ikawa, ila sio kigezo chake kutotenda haki ,that's anasema watu wakikuongelea vizuri unapokea Mara dufu , Sasa wapi MACKONDA anaongelewa vizuri katika Taifa hili,??
Kwamba ufanye unyama mkuu wa nchi anaejitambua anyamaze kisa alisema unafaa kua makam wa Rais then ukawa Rais , hawezi kua KWA kiongozi mwenye hofu ya mungu ,that's l love Islamic hasa ukimkuta alieisoma din kwelikweli hawanaga longolongo maana Wana hofu ya Mungu haswa, labda wale tu wapo basi siku ziende, tofauti Sana na sie wakiristu unafiki umetujaa Sana japo tunaongoza kua na madhehebu kibao kila kona ,
 
Mama alichokiongea hakiusiani na hoja ya Mtoa mada, alisema ikawa, ila sio kigezo chake kutotenda haki ,that's anasema watu wakikuongelea vizuri unapokea Mara dufu , Sasa wapi MACKONDA anaongelewa vizuri katika Taifa hili,??
Kwamba ufanye unyama mkuu wa nchi anaejitambua anyamaze kisa alisema unafaa kua makam wa Rais then ukawa Rais , hawezi kua KWA kiongozi mwenye hofu ya mungu ,that's l love Islamic hasa ukimkuta alieisoma din kwelikweli hawanaga longolongo maana Wana hofu ya Mungu haswa, labda wale tu wapo basi siku ziende, tofauti Sana na sie wakiristu unafiki umetujaa Sana japo tunaongoza kua na madhehebu kibao kila kona ,
Naona siku hizi wanasaccos wote mmehamia CCM yaani ni raha sana kweli Hayati Magufuli aliposema Saccos itakufa ikifika 2020 yametimia.
 
Back
Top Bottom