samurai
JF-Expert Member
- Oct 16, 2010
- 11,495
- 24,223
akimbilie wapi sasa, wakati yuko kwenye rada za wale jamaa ni suala la muda tu...akaushe humuhumu tu maana kwa sasa akicross border tu wale jamaa zetu USA watamnasa faster...
Kwa sasa Makonda atulie kimya sana at very low profile...atumie wakati huu kufanya toba ya kweli kwa yale yote aliyoyatenda InshaAllah mwenyezi Mungu mwingi wa rehma ni mwenye kusamehe atamsamehe aendelee na maisha ya kawaida..
Kwa sasa Makonda atulie kimya sana at very low profile...atumie wakati huu kufanya toba ya kweli kwa yale yote aliyoyatenda InshaAllah mwenyezi Mungu mwingi wa rehma ni mwenye kusamehe atamsamehe aendelee na maisha ya kawaida..