Rais Samia atoe amri Paul Makonda naye akamatwe kwa Tuhuma zake zinazoendana na za Ole Sabaya

akimbilie wapi sasa, wakati yuko kwenye rada za wale jamaa ni suala la muda tu...akaushe humuhumu tu maana kwa sasa akicross border tu wale jamaa zetu USA watamnasa faster...

Kwa sasa Makonda atulie kimya sana at very low profile...atumie wakati huu kufanya toba ya kweli kwa yale yote aliyoyatenda InshaAllah mwenyezi Mungu mwingi wa rehma ni mwenye kusamehe atamsamehe aendelee na maisha ya kawaida..
 
Makonda alimpigia debe Mama ili awe makamu wa rais ndani ya bunge maalum la katiba. Sidhani kama ni rahisi kwa Rais kwa sasa kuweza kumfanya lolote Makonda.

Labda JK ambaye anao ushawishi awamu hii awe hajamsamehe Makonda kwa suala lile la mtoto wake kuhusishwa na biashara ya madawa ya kulevya. Hivyo bado ipo sababu ya kumshughulikia ingawa namuona Rais akiwa na uhusiano mzuri na Makonda.
 

Atakwenda wapi USA kala ban huko south africa aliowakimbiza wauza unga nio makazi yao.nashauri tu kama kuna sumu ya panya hawe nayo karibu
 
Unamshauri akimbie lkn humpi solution akimbilie wap ni bora akabaki humu humu akutane na mkono wa sheria huko nje umesahau kwamba yupo kwenye orodha ya magaidi asiyehitajika
 
Huyu hawezi kukamatwa maana anafahamiana na maza
Kama maza anaangalia anaofahamiana nao basi hatakuwa tofauti na mwendazake kny double standard, tumpe muda labda watashughulikiwa.
 
Atakwenda wapi USA kala ban huko south africa aliowakimbiza wauza unga nio makazi yao.nashauri tu kama kuna sumu ya panya hawe nayo karibu
Hahaha aende China ni rafiki zake
 
Yap wanafahamiana vizuri sn
 
Vyombo vya dola kama vina mashaka na Makonda, atakuwa kwenye surveillance ya 24 hrs
 
Inatakiwa wamkamate mapema sn
 
Makonda na Mnyeti kuwa uraini ni kosa kubwa sn
 
Jamaa ana IQ ndogo sana, hata huo uwezo wa kukimbia nchi sidhani kama anao!! Yaani wakimuhitaji watamchota kama maji ya mtoni.
 
Umeongea point Sana

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Basha wako amlipakwa mafuta pale kisongo
Tafuta mwingine

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Naona umeanza na matusi, sijapenda ningelikutukana vema but let me spare you by now!
Nape akiwa waziri wa habari na utamaduni hakuunda kamati na katoa mrejesho? The outcome was Jiwe to terminate his service as a minister. Huyajui hayo?
That, itself was stupid! Una hakika hiyo ripoti ilipelekwa kwa rais? Acha uzembe! Hicho kijiripoti kilisomwa mbele ya mkutano na hakujua aipeleke wapi maana hakuna aliyemtuma. Watu wenyewe waliokuwa kwenye kamati ni wa mtaani tu!

Tatizo munaleta ushabiki kwa uelewa mdogo. Waziri anao uwezo wa kumchunguza mkuu wa mkoa? Nape was stupid at a highest level!
 
Kuna sehemu nimesema wanasema ameshadakwa Leo anahojiwa. Sina uhakika ni tetesi maana tusubiri taarifa rasmi.
Hata mi nimeona mahali...kitakachomfanya huyu azinguliwe ni wamarekani ni watampush maza mpaka atadakwa tu

Americans wana hasira nae sana

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…