Rais Samia atoe amri Paul Makonda naye akamatwe kwa Tuhuma zake zinazoendana na za Ole Sabaya

Si uende wewe mwenyewe ukafanye hayo unayo muagiza kama unaona amekuchelewesha?

Kwa nini uje kulialia humu JF. Sisi hatuwezi kukusaidia na ukichaa wako huo.

Naona kama wewe na Sabaya hamtofautiani kitabia.

Lakini ngoja nikuache na wazo la maana sana kama unaweza kulifanyia kazi na kukuletea manufaa kuliko hili unalolilia hapa.

Wakati huu ni wakati mzuri wa kukusanya taarifa za huyo Bashite bila ya kusumbuliwa na yeyote.

Ukipata taarifa muhimu zinazomhusu yeye, andika bonge la kitabu.

Ninaahidi kukupa msaada wa kukibadili kitabu chako iwe 'movie' itakayokuingizia pato zuri sana katika maisha yako; licha ya kujijengea umaarufu Tanzania nzima na nje ya Tanzania.
 
Usiwe na haraka atashughulikiwa. Tulia
 
Jambo la muhimu ni kwa wewe unayefahamu hayo makosa ukashtaki na uyatolee ushahidi mahakamani
 
Huu Uzi nusu umechangiwa na mwanzilishi. Anatumia nguvu kulazimisha hoja zake zikubaliwe.
 
Kwa katiba wanaweza kutafanya tuishi kama tumbili tena muda wowote.
 
Kwa katiba yetu Tanzania Rais anaweza kufanya chochote.Anaweza kumfuatilia hata mtu aliyestafu mwaka 1970.
 
Yaani Intarahamwe kama Paul Makonda aombe Radhi kwa aliyoyafanya hadi hata Kumuudhi na Kumshangaza Shetani Mkuu Lucifer halafu Watanzania wamsamehe?
 
SHASHA it is then!!!👍
 
Sijui unazungumzia sheria za wapi, huwezi kuchunguzwa under house arrest not in our jurisdiction kwa sheria za Tz haipo hiyo, uchunguzi waweza fanyika under police custody....
Sewahaji na Kibasila zote ni Muhimbili.
 
Kichaa zaidi yangu ni Yule aliyekuzaa tu.
 
Kwa hiyo kila mtu akiamka anamuelekeza mama kitu cha kufanya!!???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…