Rais Samia atoe amri Paul Makonda naye akamatwe kwa Tuhuma zake zinazoendana na za Ole Sabaya

Si ajabu yale magenge ya watu waliofahamika kama wasiojulikana yaliyoendesha utekaji wa watu, mateso na kuumiza na hata kuua watu hasa wapinzani, utekelezaji wa uovu wao ulifanyika chini ya Sabaya na Makonda kwa maelekezo kutoka juu kwa mkuu yule aliyepita.
 
Unaongelea kitu ambacho hukijui,Unaendeshwa na hisia badala ya uhalisia.
 
Si ndio propaganda mlizodesign sasa mnajisahau hadi zinafanana
 
Wote waliendesha magenge ya uhalifu ya kuteka, kutesa na kupiga watu.
 
We huyo sabaya humjuwi
Endelea kimlilia

Ova
 
Wewe unamlilia nani?
Najililia mwenyewe

Huyo unayemlilia mshamba,anajiona
Mungu mtu uliza watu waliyomuona
Na wanamjua,nyie msishoboke na maneno
Yao wakiwa majukwan na kwenye TV

Ova
 
jingalao Brother kweli kabisa unaandika mada kujaribu kuwasafisha hawa mbung'o? Vema ungekaa kimya hata kama nyie wote ni ccm

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mademu wa Sabaya mnahangaika kweli kweli kama vipi kufeni tu
 
Najililia mwenyewe

Huyo unayemlilia mshamba,anajiona
Mungu mtu uliza watu waliyomuona
Na wanamjua,nyie msishoboke na maneno
Yao wakiwa majukwan na kwenye TV

Ova
Unapajua Uzinguni City pub?
 
Aliyenizaa wala hujajibishana naye hapa, huoni kuwa unamwonea bila ya sababu?

Wala yeye hajui kuwa wewe ni kichaa kama ninavyokufahamu mimi.
Vitani Watu huchaguliana Silaha? Toka!!
 
Namtaka Rais Samia amkamate haraka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…