Rais Samia atoe amri Paul Makonda naye akamatwe kwa Tuhuma zake zinazoendana na za Ole Sabaya

Rais Samia atoe amri Paul Makonda naye akamatwe kwa Tuhuma zake zinazoendana na za Ole Sabaya

Maisha yanaenda kasi Sana

Imagine Sabaya Leo anashikiwa bunduki na virungu vya ugoko aoge Kwa lazima Wakati miezi miwili iliyopita alikuwa anakwenda kujiogelesha kwenye hotel za kitalii na halipi na hakuna wa kumhoji.

Nyie mnaopiga kelele mitandaoni amewanunuamnazidi kumalizia zile chenji alizonazo, soon atakosa hela ya wakili.

Na akirudi mahakamani keshokutwa mashtaka yanaongezeka.
 
Ni ujinga kuiongoza siasa na itikadi katika masuala ya kisheria na haki za msingi za binadamu! Unataka kuikata mtama mahakama kwa kuingiza itikadi ili iweje!

Nikuambie usilolijua juu ya madame President kuwa siyo mtu wa kushawishika kirahisi na Mara nyingi swala la kisiasa huliamua kisiasa na like la kitaalamu huliamua kitaalamu. Usijedhani hakimu au jaji anayesikiliza kesi hii atavutwa upande wa itikadi ili apongezwe! Atailinda kazi yake na kuamu kwa haki bila kujali itikadi!

CCM mataga mnachelewa wapi? Acheni masalia ya mwendamahoka yasafishwe nchi ipone!
 
Kuweka rekodi sawa, Makonda kama ilivyo kwa Sabaya, hana kitu chochote kile cha kujibu kwa yoyote yule hapa Tanzania na duniani.
Swali: Kama ni kweli kwanini basi Ole Sabaya anashikiliwa na polisi?

Jibu: Ni utaratibu tu wa kawaida kwa mtuhumiwa yoyote yule kushikiliwa mahabusu, na suala la muda tu kijana huyu mashtaka yote dhidi yake yatadondoshwa na atarudi kwenye maisha yake ya ufugaji kwenye moja ya vijiji vya kimasai.

Kiufupi hamna kijana yoyote yule kiongozi ambaye aliyefanya kazi nzuri ya uhakika ya maendeleo hapa nchini kupelekea CCM kupata ushindi mkubwa kwenye uchaguzi wa 2020 ikatokea akapendwa na Chadema. Kwenye mkondo huu wapo vijana kama PolePole, Chalamila, Sabaya, Makonda, Gambo nk.

Chadema punguzeni chuki, ikulu huwa watu hawaendi kizembe kiasi hicho.
Kama una uhakika Sabaya ameenda gerezani kufanya utalii wa ndani, na kisha arejee nyumbani, huu ujinga wote uliouandika, kusudio lako ni nini?

Ama kweli kuwa mwendawazimu ni rahisi kuliko kuwa mwerevu.
 
CCM acheni mizani ya sheria ifanye kazi msitafute huruma eti kwasababu ni mwanaCCM basi sheria imuache.

Mwenye kinga ni Rais pekee.. who is Makonda? Who is Sabaya?

Acha mihemko, acha sheria ifate mkondo
 
Jiwe liliasisi siasa za kikatili na kuvirithisha roho mbaya hivi vipanya buku..
 
Ushindi kwa gharama za kuua au?

Angemuua Baba au Mama yako ili CCM ishinde ungepata akili

Kuna watu wapumbavu sana Yeye yakimkuta ndio anakuja hapa JF kuomba msaada oooh NSSF hawatoi pesa mara Mahakama inaonea

Muda huu umeshiba makande na Tumbaku Unaanza kuropoka ropoka hapa kama Panya aliyebanwa na Paka

Ushindi wa CCM unahusiana vipi na kupora watu pesa

Huko Songea na Tanga si CCM inashinda kila siku tangu uhuru

Mbona hatukusikia kawawa ameteka watu au Nchimbi anatumia silaha kupora Mali

Yeye kilichomtuma kupora Mali na kutembea na mabunduki ni CCM?

Acha kuchafua chama wewe, CCM imejengwa kwa miaka mingi
Umeongea kwa hisia jali ili Mataga yakusikie.
 
Kuweka rekodi sawa, Makonda kama ilivyo kwa Sabaya, hana kitu chochote kile cha kujibu kwa yoyote yule hapa Tanzania na duniani.
Swali: Kama ni kweli kwanini basi Ole Sabaya anashikiliwa na polisi?

Jibu: Ni utaratibu tu wa kawaida kwa mtuhumiwa yoyote yule kushikiliwa mahabusu, na suala la muda tu kijana huyu mashtaka yote dhidi yake yatadondoshwa na atarudi kwenye maisha yake ya ufugaji kwenye moja ya vijiji vya kimasai.

Kiufupi hamna kijana yoyote yule kiongozi ambaye aliyefanya kazi nzuri ya uhakika ya maendeleo hapa nchini kupelekea CCM kupata ushindi mkubwa kwenye uchaguzi wa 2020 ikatokea akapendwa na Chadema. Kwenye mkondo huu wapo vijana kama PolePole, Chalamila, Sabaya, Makonda, Gambo nk.

Chadema punguzeni chuki, ikulu huwa watu hawaendi kizembe kiasi hicho.
So Chadema ndiyo walimwagiza Rais ,Sabaya akamatwe.

Tatizo ktk maisha wewe huwezi kufeel maumivu waliyoyapata wahanga walioumizwa na Sabaya.

Kwasabab ya ufupi wa akili huwezi kujua kwamba karibu wawekezaji wote walikimbia Hai.

Huwezi kuwaza Kuna watu walikatwa mikono wengine wakagongwa misumari ya ugoko,wake za watu wakalawitiwa,wengine wakajazwa mimba.watu wameporwa kuanzia kwa vinyozi,bar,mahoteli nk

Sabaya alistahili apigwe risasi hadharani.

Sishangai kwako ww maendeleo ni kupambana na chadema.

Ila ww shule ulienda kusomea ujinga,au labda ni sumu unayosaga imeathiri ubongo.Sijawahi Ina mtu mwenye hoja na akili nyepesi km ww.

Kazi njema ya kusaga sumu,Ila majina mengine yanakuumba kufanana nayo.
 
Back
Top Bottom