Rais Samia awasili Oman kwa ziara ya siku 3

Ngoja tuone muda utaongea..ila lisemwalo lipo.

#MaendeleoHayanaChama
 
Inamaana serikali watu wote iliyoajiri kuna lazma ya Samia? Acheni akili za Kisukuma nyie,
 
mama mzanzibar
 
Sheria ya uzushi haijafutwa kuwa makini
 
Huyo TIJA akiletwa huwa anafichwa wapi? Maana huku mitaani haonekani.
Alizurura Kikwete hivi hivi kwa kisingizio hicho hicho cha tija...mpaka anaondoka hakuna la maana.

Wananchi wafungue macho sasa, CCM ni janga!
Haupo sawa wewe..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…