Rais Samia awasili Oman kwa ziara ya siku 3

Magu alikuwa muuwaji. Atakimbukwa Kwa mabaya yake. Utekaji na ubambikiaji KESI na kuwapoteza watu hatasameheka kamwee.

Aendelee kuungua huko kuzimu na Kuni ziongezwe zaidi
 
Akirudi huko Mbarawa na yeye anapewa miezi mitatu awe ame-sign mradi wa Bagamoyo; amasivyo hatma yake itakuwa kama ya Kalemani na Mwambe.

Yeye anataka design ya kina Pindi Chana na Makamba mahodari wa kutekeleza kazi ya kuuza nchi.
 
Uzururaji kama huu ndio maana bedui Jiwe akajiokotea chama Cha mapinduzi pale majalala ya Lumumba, Kuna hatari chizi maarifa mwingine kuikota ccm 2025
 
Eneo la loliondo linamilikiwa na United Arab emirates yani UAE, Oman haina mpango na maswala ya wanyama wala ardhi ngorongoro,Oman inataka uhusuiano mzuri tu. hebu chunguza uone misaada iliyo toka Oman ndio utaelewa, acheni kupotosha watu na upumbavu wenu, au Tatizo ni elimu?
 
Ukimaanisha unampenda kwa vile ni muislamu au sijaelewa ?
Mkristo alie pita aliwabana kende mkabaki mnalialia hovyo, aliua ndugu zenu mkaogopa hata kusema wazi. Leo Mzazibari na Muislamu amerudi kuwastaarabisha na kuwarekebishia mambo. Watu msio na heri nyie.
 
Mimi nilidhani angeenda kwanza Ngorongoro Kwa Masai kuwa Julia hali na kutoa pole na kuwa fariji , tuliambiwa huyu ndo ana unganisha taifa imekuaje Kawa kimbia wamasai ?, Jamani CCM huwa ni majangale
 
Mkristo alie pita aliwabana kende mkabaki mnalialia hovyo, aliua ndugu zenu mkaogopa hata kusema wazi. Leo Mzazibari na Muislamu amerudi kuwastaarabisha na kuwarekebishia mambo. Watu msio na heri nyie.
Na hao maasai wameuawa na Magu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…