#COVID19 Rais Samia azindua Chanjo ya COVID-19 na kuchanjwa. Asema hawezi kujipeleka kwenye Kifo
Mh.Askofu Gwajima afukuzwe CCM......

Vijana wa CCM hatuwataki watu wapotoshaji aina ya Gwajima ndani ya chama hiki cha kijamaa!!!


CCM ikiacha kutokumfukuza askofu Gwajima basi ijiandae na mengi ya hovyo kutoka kwa huyu ndugu huko mbeleni....(iwekeni hii Kama kumbukumbu).


#TujitokezeTuchanjeChanjo
#ChanjoNi Muhimu
#KaziIendelee
#SiempreJMT
#NchiKwanzaKablaYaNafsiZetu
Wewe mwenye akili za KICCM ndio ufukuzwe Tanzania kabisa. Kila kitu unawaza KICCM waza kwa kutumia akili zako.
 
Hii dawa kuna kipindi ilifutwa nimeshangaa kumbe bado inatumika ni hatari.wagonjwa wengi wanailalamikia
Unataka kusema kuwa hatari hiyo inaizidi hatari ya kuwa kichaa na mwisho kufa?!!!

Ingekuwa hiyo hatari IPO kwa watu wengi basi INGEFUTWA KUTUMIKA.....

Duniani hakuna dawa yoyote isiyo madhara kwa baadhi ya watu wachache......

Hata chakula ni hivyohivyo ....

Kuna watu wakila KARANGA tu wanatokwa na machunusi yenye usaha........

Vilevile kwa SAMAKI ,PWEZA ,ASALI n.k


#TujitokezeniKuchanjwa
#JMTMilele
#NchiKwanza
 
Udikteta wa hivyo upo chadema tu. CCM wana demokrasia pevu kila mmoja ana haki ya kutoa mawazo na kusikilizwa. Mlikua mnalaalmika Jiwe dikteta kaondoka ona sasa bado mnakumbatia udikteta

Kila mmoja ana haki ya kutoa mawazo na kusikilizwa.....

Ila si mawazo ya KUPOTOSHA UMMA katikati ya VITA....katika uwanja wa Vita......

Mh.Mbunge Gwajima "amewaombea laana ya kufa kwa Mungu madaktari wote akiwemo waziri wake wa afya"......je hayo nayo ni mawazo mema ?!!!!

#,GwajimaAfukuzweCCM
 
Mh.Rais SSH anasema kama WEWE....familia yako HAIJAGUSWA kuwa na wagonjwa wa UVIKO basi WAULIZE WATU WA KILIMANJARO NA ARUSHA........

#TujitokezeniKuchanjwa
#ChanjoNiBoraKulikoTiba
 
Kumbe mpaka AZZIM DEWJI aliomba ruhusa Ili aagize chanjo za watu kuchanjwa sio?

Haya twendeni.
 
Ufunuo 13:16-18
Agano Jipya:Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

16Pia mnyama wa pili aliwaamuru watu wote, wakubwa na wadogo, matajiri na maskini, walio huru au watumwa, wawekewe alama kwenye mikono yao ya kulia au kwenye vipaji vya nyuso zao.17 Hakuna ambaye angeweza kununua au kuuza
 
Kila mtu na imani yake je kama hao madaktari na wengineo hawamuamini Mungu wa gwajima hio laana itawapataje?

Kila mtu ana haki ya kutoa mawazo na kusikilizwa

Kila mmoja ana haki ya kutoa mawazo na kusikilizwa.....

Ila si mawazo ya KUPOTOSHA UMMA katikati ya VITA....katika uwanja wa Vita......

Mh.Mbunge Gwajima "amewaombea laana ya kufa kwa Mungu madaktari wote akiwemo waziri wake wa afya"......je hayo nayo ni mawazo mema ?!!!!

#,GwajimaAfukuzweCCM
 
Kinachoniuma ni kuongeza tozo kwenye miamala ili kuwachanja mababa chanjo zilizotakiwa kuchanjwa utotoni
 
Nchi nyingi tu kuna watu wanapinga na wengine wanakubali, kwanini Tz mtu anayepinga jambo anaonekana msaliti, hii Tz niyakipuuzi sana raia wake ni fuata upepo na wanafiki, Samia angesema hataki chanjo ungeona hawahawa wanaoshangilia wakileta maelezo kibao kuona nikweli ni mbaya, yaani hii nchi bado tunaongozwa na zidumu fikra za Mwenyekiti
Watu wanahofia kukosa ulaji mkuu;
Kwani nani anataka kuwa na PHD halafu ni unemployed au anashika chaki maisha yake yote??

Lazima wamplease mtawala Ili mambo yao yaende jambo ambalo ni baya sana kwani maamuzi mengi yatakuwa yanafanyika kumplease mtu badala ya National Interest.
 
Hii dawa kuna kipindi ilifutwa nimeshangaa kumbe bado inatumika ni hatari.wagonjwa wengi wanailalamikia
Hakuna dawa isiyo na madhara.....

Ziko nyingine zinakuwa na madhara makubwa na kwa wengi ,ndio maana baadae zinaondolewa katika matumizi.......
 
Chanjo hii ya JOHNSON AND JOHNSON (J&J) ni moja tu....unachanjwa moja tu na hutorudia tena.....

#TukitokezeniKuchanjwa
#ChanjoNiBoraKulikoTiba
 
Hahahha gwajima, lazima PCB,CBG,PCM zipande ndo uweze kuwa na uwezo wa kuchangia kuhusu chanjo.

Mambo ya molecular biology lazima ujue. Analytical chemistry inahusika.

Wataalam wapo. Yaaan
Unaweza usiamini. Yaani mageuzi ya kihistoria haya toka kunywa juisi ya “ukwaju” hadi kutiririka na molecular biology! Salute to Dorothy Gwajima. Panapostahili sifa itolewe! Bila shaka amefuta ile aibu.

Amenifurahisha alivyotanabahisha kuhusu viwango (percentages) vya ufanisi (efficacy) na madhara ya pembeni (side-effects) za madawa yote.

Wasio na uelewa wa sayansi kabisa hawatakaa wajue hili. Kwao dawa/chanjo ni ile inayofanya kazi asilimia 💯 kwa watu wote na isiyo na madhara kabisa! Kiuhalisia, hakuna kitu cha aina hiyo duniani. Wanatuwekea video kibao za anti-vaxxer conspiracy proponents zilizojaa ujinga (ignorance) kibao.

Ni kama pale unapopanda ndege au basi toka DSM kwenda Mwanza umuulize rubani/dereva UNA HAKIKA ndege hii/basi hili halitapata ajali njiani? Unategemea jibu gani?
 
Nadhani hiyo sentence ya hachomwi mtu hapa imekutatiza na hujaelewa
Sihamisishi watu wasichomwe bali nimeweka video inayoonesha wakijifanya kuchoma lakini hachomwi mtu hapo
Nimeamua kukufafanulia kwa manufaa ya wengi
Hahah, rais wa nchi hawezi fanya kamari na Maisha yake.
Hata mtoto mdogo anajua kuwa hawezi chomwa hii sindano ya chanjo ya Uviko.
 
Back
Top Bottom