#COVID19 Rais Samia azindua Chanjo ya COVID-19 na kuchanjwa. Asema hawezi kujipeleka kwenye Kifo
Hachanjwi mtu trust me ona hii videoView attachment 1871261
Hizi mambo ndizo nimeona kwenye clip ya presida akichomwa kimagumashi, yaani mchomaji abonyezi ile bomba na baadaye anapitisha nyuma nyuma na kuitupa kwenye ndoo ya uchafu huku kaficha.

Aya mtoa cheti siyo mtu wa afya, yaani ni vituko ni vingi.
 
Mbona kachanjwa na kuhutubia bila hata kupumzika. Chanjo kweli hii au maji tu
MaCCM yanapenda “public tension “ kawekewa “maic” na camera, tena live.. muwasho wake si kidogo😄😄

bi, Chokochoko ni kituko kwa kweli!
 
Hongera Mh Rais kwa kujali uhai wa wananchi wako. Fanya hivyohivyo kwenye demokrasia utakumbukwa daima.
 
Marehemu alikuwa siyo muumini wa sayansi (chanjo) .aliwaaminisha watanzania kuwa chanjo imeletwa na wazungu kwaajili ya kuja kutuuwa waafrika (watu weusi) .hii mentality ilienea sana kwa jamii ya watanzania waliokuwa wanamuamini sana marehemu magufuli.

Kazi kubwa ninayoiona mbele ni serikali kubadilisha mawazo ya magufuli kwenye vichwa vya mamilioni ya watanzania walioamini kuwa chanjo hii inaletwa kuja kutuuwa. Nadhani serikali ikifanikiwa kwa hili basi zoezi la chanjo kwa kiasi kikubwa litafanikiwa.
 
Marehemu alikuwa siyo muumini wa sayansi (chanjo) .aliwaaminisha watanzania kuwa chanjo imeletwa na wazungu kwaajili ya kuja kutuuwa waafrika (watu weusi) Hii mentality ilienea sana kwa jamii ya watanzania waliokuwa wanamuamini sana marehemu magufuli.

Kazi kubwa ninayoiona mbele ni serikali kubadilisha mawazo ya magufuli kwenye vichwa vya mamilioni ya watanzania walioamini kuwa chanjo hii inaletwa kuja kutuuwa. Nadhani serikali ikifanikiwa kwa hili basi zoezi la chanjo kwa kiasi kikubwa litafanikiwa.
Nenda kachanjwe mambo ya Magufuli achna nayo.
 
Kazi kubwa ninayoiona mbele ni serikali kubadilisha mawazo ya magufuli kwenye vichwa vya mamilioni ya watanzania walioamini kuwa chanjo hii inaletwa kuja kutuuwa. Nadhani serikali ikifanikiwa kwa hili basi zoezi la chanjo kwa
Watu hawataki kusikia chanjo kwa sababu ya tahadhari za yule marehemu

Musifikiri tunapendwa sana
 
Ww kwako unaona waTZ wote wajinga si ndio?😂😂

Nyie mtatupeleka kwenye re-education camps kama China
 
Nawaona VENANCE MABEYO na SIRRO hawana amani kabisa.

Sio kwamba wanaogopa chanjo ila wanajiuliza ,je watafanyiwa maigizo kama walivyokubaliana au watageukwa wadungwe kitu chenyewe.

Ukishaona mtu anaenda kuchanjwa kavaa suti wewe tafuta manyoa ndio umeliwa hivyo.
 
SHAKA APATA CHANJO YA CORONA LEO.

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM Itikadi na Uenezi Ndugu Shaka Hamdu Shaka ameungana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Mhe Samia Suluhu Hassan kupata chanjo ya Uviko-19 leo Jumatano Julai 28, 2021 Ikulu Jijini Dar es Salaam.

#Chukua tahadhari, Corona ipo na inaua.

IMG-20210728-WA0038.jpg
 
Marehemu alikuwa siyo muumini wa sayansi ( chanjo) .aliwaaminisha watanzania kuwa chanjo imeletwa na wazungu kwaajili ya kuja kutuuwa waafrika ( watu weusi) .hii mentality ilienea sana kwa jamii ya watanzania waliokuwa wanamuamini sana marehemu magufuli.

Kazi kubwa ninayoiona mbele ni serikali kubadilisha mawazo ya magufuli kwenye vichwa vya mamilioni ya watanzania walioamini kuwa chanjo hii inaletwa kuja kutuuwa. Nadhani serikali ikifanikiwa kwa hili basi zoezi la chanjo kwa kiasi kikubwa litafanikiwa.
Kachanje wewe na familia yako...Achana na Mambo ya shujaa wa Afrika....Kwanza shujaa hajusema hivyo...yet alusema tuwe na tahadhari na chanjo iliyotengenezwa kwa haraka...alichosema kwa uhakika ni kuwa Corona huenda tukaishi nayo kwa miaka mingi Kama ilivyo kwa ukimwi...
 
Marehemu alikuwa siyo muumini wa sayansi ( chanjo) .aliwaaminisha watanzania kuwa chanjo imeletwa na wazungu kwaajili ya kuja kutuuwa waafrika ( watu weusi) .hii mentality ilienea sana kwa jamii ya watanzania waliokuwa wanamuamini sana marehemu magufuli.

Kazi kubwa ninayoiona mbele ni serikali kubadilisha mawazo ya magufuli kwenye vichwa vya mamilioni ya watanzania walioamini kuwa chanjo hii inaletwa kuja kutuuwa. Nadhani serikali ikifanikiwa kwa hili basi zoezi la chanjo kwa kiasi kikubwa litafanikiwa.
Hawa wakampa na backup kubwa
 
Kachanje wewe na familia yako...Achana na Mambo ya shujaa wa Afrika....Kwanza shujaa hajusema hivyo...yet alusema tuwe na tahadhari na chanjo iliyotengenezwa kwa haraka...alichosema kwa uhakika ni kuwa Corona huenda tukaishi nayo kwa miaka mingi Kama ilivyo kwa ukimwi...
Hiko cheo cha shujaa wa afrika ni nani alimpa?
 
Marehemu alikuwa siyo muumini wa sayansi (chanjo) .aliwaaminisha watanzania kuwa chanjo imeletwa na wazungu kwaajili ya kuja kutuuwa waafrika (watu weusi) .hii mentality ilienea sana kwa jamii ya watanzania waliokuwa wanamuamini sana marehemu magufuli.
Muumini wa sayansi ndio mtu gani au ndio wale ambao hawaamini hata Mungu bali wanaamini katika sayansi kwa kila kitu? Na mtu asiyeamini sayansi ndio yupi ndio yule ambaye hata hospitali haendi kwa maana haihitaj tiba za kisayansi?
 
Watu hawataki kusikia chanjo kwa sababu ya tahadhari za yule marehemu

Musifikiri tunapendwa sana
Mbona wapinga chanjo wapo duniani kote si Tanzania tu kwa maana nyengine hata bila Magufuli bado pia wapinga chanjo wangekuwepo tu.
 
Back
Top Bottom