Mystery
JF-Expert Member
- Mar 8, 2012
- 15,843
- 31,057
Bado haitoshi, tunataka na Katiba mpya sasa............Serikali inakusudia kuwasilisha mswaada wa Mabadiliko ya Sheria za Uchaguzi kwenye Bunge lijalo ambapo pamoja na mambo mengine itaunda Tume huru ya Uchaguzi.
My Take
Chadema Kwa Sasa hamtakuwa na visingizio vingine mlishindwa.View attachment 2747412
Wala siyo kuanza na kutoa elimu Kwa miaka 3!