Rais Samia, hii kauli ya kuwaruhusu Mawaziri wajipimie, wasivimbiwe itolee ufafanuzi tena

Rais Samia, hii kauli ya kuwaruhusu Mawaziri wajipimie, wasivimbiwe itolee ufafanuzi tena

Ndo mnajaribu kumtetea kwa namna hii kweli kazi ipo

Sent using Jamii Forums mobile app
Katetewa wapi sasa hapo? Mnataka watu wamtukane kwa kosa alilofanya? Kwa tunaoijua taasisi ya uraisi hatuwezi mtukana hata na Id fake, halafu Huwezi kumwajibisha au kumtoa hapo kwa hilo kosa, Ni sisi kukosoa kwa staha ajue kuwa amekosea kisha arekebishe makosa nchi isonge mbele.

Huyo bado ni raisi wako usipoheshimu hiyo nafasi yake JAMHURI itakushurutisha uhiheshimu.
 
Kama alilenga kutoa onyo basi sidhani kama ilitoka moyoni. nilioona mimi Rais anajua kabisa mawaziri na manaibu ni wapigaji, sasa anachowaambia wasipige sana, na yeye hana shida na hilo kama watapiga ila wasizidishe na kuvimbiwa. Maneno ambayo naona kama Rais wetu mpendwa alikosea kuyatamka.
Alikosea ni kweli... hakupaswa kutoa yale matamshi
 
"Mwanzo walikuwa wanakula kwa ukubwa wa matumbo yao, sasa kagundua matumbo yao ni makubwa na hayaridhiki kaamua kuwambia wale kwa urefu wa kamba.
Siku atakayo gundua kuwa ata kamba zao pia ni ndefu na huwa wanazirefusha makusudi sijui ata wambia nini tena."
Maneno ya mlevi mmoja hiv
 
Katetewa wapi sasa hapo? Mnataka watu wamtukane kwa kosa alilofanya? Kwa tunaoijua taasisi ya uraisi hatuwezi mtukana hata na Id fake, halafu Huwezi kumwajibisha au kumtoa hapo kwa hilo kosa, Ni sisi kukosoa kwa staha ajue kuwa amekosea kisha arekebishe makosa nchi isonge mbele.

Huyo bado ni raisi wako usipoheshimu hiyo nafasi yake JAMHURI itakushurutisha uhiheshimu.
Huyu Mama ni kansa kwa taifa hili la Tanganyika,kama hakiona kutamka haya mbele ya camera,yanayotendeka nyuma ya camera yanatisha.
 
Huyu mama akubali tu hana presidential demeanor na hata uwezo wa ku articulate mambo kama rais, nashangaa rafu anazoanza kuzicheza kung'ang'ania madarakani come 2025......
 
Mimi nataka kujua chief Hangaya yeye anajipimia ngapi au keshavimbiwa mara ngapi? 😁😁😁😁😊😊😊😊😊🤭🤭🤭 mimi naona ana struggle for acceptance kutaka kumplease kila mtu ndio matokeo yake hayo unaongea utumbo
I can see!
 
Serikali inaongozwa na MWANADAMU na si MUNGU......


Mwanadamu huyo anawakumbusha WATENDAJI KUSIMAMIA VIAPO VYAO vifuatavyo........

1)Kutoingiliana katika majukumu ya mipaka ya kazi zao....kazi yoyote ina maslahi binafsi na Yale makuu zaidi(kutoa huduma kwa jamii)

2)Kutochafuana ,kubagazana na kufitiniana kwa kiongozi mkuu(kwenda kusema kwa mama)

Mh.SSH amefafanua vyema tu ila baadhi yetu tumeamua kufanya UPOTOSHAJI WA MAKUSUDI.....

#Siempre JMT🙏
Kwamba hujaona vedio nikuletee?

Ama unaweza rudia kusoma tena uzi wangu ili ujibu vizuri.
 
Huyu mama akubali tu hana presidential demeanor na hata uwezo wa ku articulate mambo kama rais, nashangaa rafu anazoanza kuzicheza kung'ang'ania madarakani come 2025......
Hatari sana. Urais mtamu.
 
Mimi nataka kujua chief Hangaya yeye anajipimia ngapi au keshavimbiwa mara ngapi? 😁😁😁😁😊😊😊😊😊🤭🤭🤭 mimi naona ana struggle for acceptance kutaka kumplease kila mtu ndio matokeo yake hayo unaongea utumbo
Kwenye uongozi huyu alitakiwa abaki kuwa msaidizi ama abaki kuongoza familia yake.

Serikali ni nzito kwake.
 
Sijapunguza uzito wa maneno ila nina utaratibu wangu wa kumkosoa raisi wa nchi. Ameonyesha udhaifu kama amirijeshi mkuu kuwataka walafi wajitathimini wenyewe badala ya kuwawajibisha, still sina sababu ya kutumia maneno makali kutoa hoja yangu.
Nani katumia maneno makali? Unaogopa hadi kunukuu? Sasa enzi za Jiwe uli login JF kweli?
 
Huyu ni mtawala mbovu kuliko wote waliopita hapa Tz
Mtawala mbovu zaidi aliyekuwa ashaondoka, alivunja maduka ya kubadilisha pesa za kigeni ya watu na kuzichukua kama zake
 
Back
Top Bottom