TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Huo uzi sijauona...
Wewe na ukoo wako mtaishi milele kwa vile ni wema Kama malaika?Mwendazake ananuka damu zisizokuwa na hatia.
Now keshaoza.
He is nothing but a yesterday news.
Ha ha haaaa! Yamekuwa hayo tena? Tukirudi kwa kesi ya mwenzetu nadhani lugha itabadilika, siyo? Ha ha haaaaTulieni dawa iwaingie vyema na hamna mamlaka ya kumkosoa mh rais wa nchi.
Kwa icho ulicho sema nimekulaani kwa jina la SHETANI POKEAUnafikiri mama ni kama lile zezeta lenu lililokuwa na betri kifuani?
Nani kakudanganya Sukuma Gang?Hivi unajua saa hizi ndo wanampasua kichwa ndo maana kila muda Mwanza! Hajaenda Mbeya wala Lindi anajitahidi kuwavuta wana kanda ya ziwa!
Hiyo2025 yenyewe sijui kama atafika maana anazidi kuchafua nchi na umoja umepotea tumaini limeondoka katika kila kituNgonja tumwendee kwa Nfumu ndo atatujua Sukumagang hatuna mchezo. 2025 urais atausikia tu.
Tabora tangu lini ni kanda ya Ziwa Victoria? Weka orodha ya mikoa ya kanda ya kati.Mikoa ya kanda ya ziwa ni kama ifuatavo Mwanza kiongozi wa kanda, Geita, shinyanga, simiyu, tabora, kigoma, mara na kagera yaani litakaloanzia mwanza kisiasa ujue mikoa tajwa italifuata kwa nguvu moja kabisa,
Katoka Mwanza huyooo Zanzibar. Yaani tokea awe Rais hajatembea kijiji hata kimoja. Yeye ni.mijini na nchi za nje tu.Anachua tu anga na moshi wa ndege.Hiyo2025 yenyewe sijui kama atafika maana anazidi kuchafua nchi na umoja umepotea tumaini limeondoka katika kila kitu
Wasukuma waharibifu wa mazingira,wameharibu kwao Sasa wapo rukwa huko wanachunga ng'ombe,wanakata Sana miti bila sababuKwa kweli mama ameteleza mno kuwananga tena kwa kuwataja kabisa huku akiwa amezungukwa na Maaskofu Wasukuma zaidi ya Saba 🤔 tena wakatoliki!
Rais ni taasisi,hasafiri bila sababu za msingi,na hawajibiki kukuambia kwa nini anasafiriKatoka Mwanza huyooo Zanzibar. Yaani tokea awe Rais hajatembea kijiji hata kimoja. Yeye ni.mijini na nchi za nje tu.Anachua tu anga na moshi wa ndege.
Mjomba wako alipokuwa anataja makabila mengine ulikenyua meno, tulieni sindano iwaingieNi leo tena.
Mheshimiwa Rais amewatupia lawama Wasukuma kwa kuharibu vyanzo vya maji katika maeneo mbalimbali hapa nchini kwa sababu ya ufugaji wao wa ng'ombe wengi.
Nia yangu bayana kwenye andiko langu ni kumshauri Rais ikiwezekana ajizuie kuwataja moja kwa moja Wasukuma kwenye hadhira kwa sababu hali ile pengine inaweza kutafsirika tofauti na walengwa hasa ukizingatia ndani ya muda mchache wa Utawala wake tuhuma nyingi za kubaguliwa walengwa zi bayana.
Ingetosha mheshimiwa Rais angetoka kauli ya jumla tu kwamba wafugaji ni sehemu ya wanaoharibu vyanzo vya maji
Sasa unapowataja Wasukuma moja kwa moja ilhali wapo wamasai na makabila mengine mengi yanayofuga maelfu ya mifugo ni sawa na kuwabagua watajwa
Mungu ibariki Tanzania.
Kichaa yule mbona kwenye janga bukoba aliwataja wahayaSasa anakosea kuwananga moja kwa moja tena kwao jamani [emoji23]
Kisiasa tabora ni Kanda ya ziwa,hakuna tofauti ya msukuma na mnyamwezi,zaidi msukuma mshamba thTabora tangu lini ni kanda ya Ziwa Victoria? Weka orodha ya mikoa ya kanda ya kati.
Mjinga wewe, ng'ombe anaswaga yeye, au walianza kuswaga wakati wake?Bila shaka angezungumzia wafugaji! Maana kauli hii inaweza kupelelea wakuu wa mikoa na askari wanyama pori kuanza kudhulu wafugaji bila sababu za msingi! Ukweli anaujua ni uzembe wa utawala wake ndo maana haya yanatokea!
Mwendakuzimu wewePunguani mkubwa.
Huna wafu wanaooza kwenye ukoo wako?
Lakini chawa wake wanasema anaupiga mwingiHahahha hata mimi ningejibu hivyo! Siwezi kwenda kumchagua mtu zuzu! Maneno mengi vitendo zero!
CCM, ilidhani inafanya mzaha tu, kumbe inapanda, inaweka mbolea, inamwagilia maji na kupalilia mbegu ya ubaguzi, bila gharama yake ni kubwa. Tunalo hilo.Hahahhaa nchi hii watu kweli wamegawanyika sana! Yaani siku wakikutana watauana maana chuki imetanda si mchezo kuna mda mtu hajui hata adui yake ni nani!
Labda ameumizwa sana, huwezi jua.Wewe na ukoo wako mtaishi milele kwa vile ni wema Kama malaika?