Rais Samia ingia mtandaoni umsikilize Tundu Lissu kuhusu yanayoendelea Ngorongoro

Rais Samia ingia mtandaoni umsikilize Tundu Lissu kuhusu yanayoendelea Ngorongoro

Hii issue nadhani Lissu ameidiscuss kwa maandiko ya zamani na historia nyingi. Hajatoa ushahidi wa kisasa kuthibitisha hoja zake, jambo ambalo amepuuzia kila mazingira ya sasa hayawezi kuwa ya miaka ile aliyofanya tafiti.

Zipo issues nyingi ni so misleading nimeshangaa hifadhi alizotolea mifano za Amboseli (KE) na Kruger (SA) kwamba zina local communities within kitu ambacho sio kweli. Mathalani Amboseli kama hifadhi haina hao Maasai anaowataja bali wapo kwenye mtambaa wa hifadhi hiyo (ecosystem).

Nadharia za Lissu nyingi ni za historia wakati dunia imekwenda kasi sana.

Aliyetoa hoja za msingi zinazomake ni Lema kwa maana ya unintended consequences iwapo watalii wataflock kwenye hizo hifadhi. Hata hivyo kwa bahati ametoa solution inayomake sense kwa maana kuanzisha kuexclusivity ya huduma.

Nchi hii rasilimali zinatolewa na jamii zote, Masai hawawezi kuwa zaidi ya Jamii zote nchi hii. Sijui kama amefikiri sawa sawa iwapo jamii za migodoni wangesema madini yao pekeyao, wamakonde waseme gesi ni yao hawatoi, etc.

Hao Masai wafidiwe wachape mwendo
 
Acha uhayawani we pimbi.
Sitanii nazungumza ukweli Tundu Lissu alishakuwa conversionists maeneo hayo akiwa mwajiri wa serikali ipo siku yeye mwenyewe atawaelezea akiamua kufunguka.

Nimemuona kwa macho yangu kama local experts akiwaelezea wazungu kuhusu hayo maeneo kwenye BBC documentary alikuwa kijana sana.

100% facts muulize mwenyewe akwambie kama yupo tayari kuizungumzia historia hiyo ya maisha yake, utaki acha sikulazimishi kuamini.

E4D98326-E920-4F1F-B042-16BCDB6DC06A.jpeg



Najaribu kuitafuta hiyo historia yake anza na hiyo journal article ☝️ya Ngororo ambayo kaiandika Lissu pitia uone analijua vipi ilo eneo na amefanya kazi huko maporini asemi tu.
 
Sitanii nazungumza ukweli Tundu Lissu alishakuwa conversionists maeneo hayo akiwa mwajiri wa serikali ipo siku yeye mwenyewe atawaelezea akiamua kufunguka...
Nachofahamu Lissu aliwahi fanya kazi na chama cha Wanasheria wa Mazingira kama sijakosea LEAT! na Amekua akitaja hata zile kesi za Nyamongo wakati wa utawala wa Mzee Mkapa alipo itoa jasho serikali wakati ule.

Mtu sahihi (Kwa Mtazamo wangu) kwa nyakati hizi ni Onesmo Ole Ngurumwa (Mratibu-Mtandao Watetezi wa Haki za Binadamu, TCHRD)..amekua akipambania sana jamii ya watu wake kule Ngorongoro mpaka akapewa kesi ya uraia! anyways!
 
Wamasai wamejaa nchi nzima na ngo'mbe zao. Yani vurugu mechi. Ila tunaishinao hivyo hivyo. Leo tunacheka kesho tumenuniana. Ila inaonekana wao sehemu moja tu ndo. ......wakiondoka huko ndo itakuwa kama. .labda wote watakufa...
Ipo siku tutasikia waadzabe watolewe huko waliko wapelekwe zanzibar. Hilo eneo fuatilia historia ndio utajua ilikuwaje wakasettle Ngorongoro.
 
Nachofahamu Lissu aliwahi fanya kazi na chama cha Wanasheria wa Mazingira kama sijakosea LEAT! na Amekua akitaja hata zile kesi za Nyamongo wakati wa utawala wa Mzee Mkapa alipo itoa jasho serikali wakati ule..
Kabla ya hapo alikuwa Ngororo jamani na journal article ambayo kaandika mwenyewe nimewawekea bado mnabisha.

Alishawahi ata sikumoja kusema ameandika journal kuhusu Ngororo Conservation Area ambayo ipo quoted kwenye vyuo huko ulaya; the answer is no. Yet anayo inatumika hadi Warwick chuo kikubwa U.K so wanakubaliana na historical facts zake alizoweka kuanzia 18th century ilo eneo lilivyotumika.

Like I said ipo siku yeye mwenyewe akiamua ataelezea mimi binafsi nilimuona kwa macho yangu kwenye documentary kama local expert kwenye kipindi cha maporini na akiwa na akina simba.
 
Mhe. nakushauri uingie mariaspace muda huu(kama haujaingia) umsikilize Lissu akichambua yanayoendelea na ambayo yamekuwa yakiendelea huko Ngorongo na nakushauri usome na kitabu chake alichoandika kuhusu Ngorongoro...
Hivi kuna hasara gani ninyi Masai mkihamishwa ngorongoro? Hakuna hata nukta ya hasara taifa litapata.

Tundu lisu sio was kumsikiliza kwasababu anatumiwa na wakenya ili ninyi mbaki halo muue ngorongoro utalii ushamiri Kenya kuliko Tanzania.

Kati ya maeneo yoote Tanzania mmeona ni ngorongoro mbugani tu mnaweza kuishi? MNA akili kweli ninyi? Na ninyi so Masai mnaishi na kulala popote,mnaogopa mini sasa kuhamia maeneo mengine?
 
Kabla ya hapo alikuwa Ngororo jamani na journal article ambayo kaandika mwenyewe nimewawekea bado mnabisha...

..Nadhani masters yake warwick univ ilikuwa ktk masuala ya mazingira.

Hilo la kusema aliajiriwa na serikali ya jamhuri sidhani kama ni kweli.

Hebu tueleze alikuwa kaajiriwa wizara gani? Na nini kilimtokea mpaka amekuwa nje ya ajira yake? Alifukuzwa?

Pamoja na hayo lissu amewahi kukiri kwamba ajira ya serikali aliyoitaka, na akaikosa, ilikuwa ni uhadhiri wa sheria udsm.
 
Wajinga kama ww kaeni kitako vizuri dawa iwaingie.. mliyekuwa mnamsujudu as if ni miungu.. ashasahaulika kitamboooo #mwendazake.
Jamaa ongo Sana Hilo,afu akikujibu ataandika bonge la gazeti.Subiri hapo hapo ujione upuuzi wake.
 
Unaongelea hii 👇🏿👇🏿
Lissu yumo humo? Kabla sijaangalia.

Hiyo Documentary ninayozungumzia itakuwa ni sehemu ya BBC archive kwa sasa ya zamani na Lissu alikuwa kijana watakuwa washaiachia tu youtube.

Ngoja nikumbe vizuri ilikuwa inahusu nini lakini Lissu alihojiwa kama local expert, kavaa nguo za kazi na akawa anatoa ufafanuzi wa culture meaning ya Olduvai Gorge kwa wamasai wanaoishi maeneo hayo that I remember na background history ya eneo.

Title ndio sikumbuki vizuri kama kipindi kilikuwa cha ngororo tu au wider part of the valley.
 
..nadhani masters yake Warwick Univ ilikuwa ktk masuala ya mazingira.

..hilo la kusema aliajiriwa na serikali ya Jamhuri sidhani kama ni kweli...
Kwenye kipindi Lissu alitokea kama conservationist alieajiriwa na serikali na mtaalamu wa hayo maeneo.

Most probably kazi ilikuwa ni sehemu NCA officers.
 
Mhe. nakushauri uingie mariaspace muda huu(kama haujaingia) umsikilize Lissu akichambua yanayoendelea na ambayo yamekuwa yakiendelea huko Ngorongo na nakushauri usome na kitabu chake alichoandika kuhusu Ngorongoro...
Amezungukwa na vizabizabina ambao wamemwaminisha mpinzani pekee mwenye mawazo bora sio mwingine ila Zitto Kabwe
 
Mhe. nakushauri uingie mariaspace muda huu(kama haujaingia) umsikilize Lissu akichambua yanayoendelea na ambayo yamekuwa yakiendelea huko Ngorongo na nakushauri usome na kitabu chake alichoandika kuhusu Ngorongoro...
Yaani alishauri nini kuhusu madini ambacho kingefanyika zaidi ya kusema tutashitakiwa? Mambo mengine yahahitaji akili za kizalendo na siyo mtu kama lisu anayelipwa na hao waliompiga risasi
 
sidhani kama Wamakonde kule Mtwara wangegoma kuondoka kwenye maeneo yao tungekuwa na bomba la gas leo... Kule kanda ya Ziwa watu wangegoma kuondoka kwenye maeneo yao sidhani kama madini yangechimbwa...

Kwani ni Lazima Masai wakae Ngorongoro? uwepo wao unaongeza Simba kuzaliana na nyasi kuota?...
 
Lissu hana lolote zaidi ya historia. Hatuishi kwa historia hapa. Halafu kote kaongea hajatoa solution yaani anaropoka ropoka tuuu na kufoka.

Sasa maamuzi ya haraka ni kufukuza hao masai wote ngorongoro.

Imagine hawatumii vyoo wanakunya everywhere. Halafu wanyama wanakutana na vinyesi vya masai n.a. mifugo yao. Ondoa haraka hao wezi wa mifugo.
 
Back
Top Bottom