samurai
JF-Expert Member
- Oct 16, 2010
- 11,495
- 24,223
tunaweza kuwa na wafugaji wachache wakaishi wote hata Mvomero pale, wakafuga kisasa bado nchi nzima tukanywa Maziwa na Nyama mpaka tukaiacha.
Hawa Masai wanazurula zurula tu na mang'ombe mapolini huko na kuleta migogoro kila siku...wengine sasa wahamie mjini waanze kuvaa jeans na kuishi town kufanya mambo mengine.
Hapa Qatar hakuna Masai, lakini kwa siku lita za maziwa zinazozalishwa na nyama Tanzania hata mwezi hatuwezi kuzalisha...
Hawa Masai wanazurula zurula tu na mang'ombe mapolini huko na kuleta migogoro kila siku...wengine sasa wahamie mjini waanze kuvaa jeans na kuishi town kufanya mambo mengine.
Hapa Qatar hakuna Masai, lakini kwa siku lita za maziwa zinazozalishwa na nyama Tanzania hata mwezi hatuwezi kuzalisha...