TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Nasubiri uchambuzi wa hotuba hii kutoka kwa Paskali Mayalla
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna aliyekuwa na tatizo la Magufuli kushinda kihalali, tulitaka kura halali zitangazwe kisha ungejua ni kwa kiwango gani kizazi kimebadilika. Lakini hakuwa tayari kupokea matokeo ya halali ambayo yalikuwa kinyume cha utashi wake na nyie waumini wake.Wewe mwenyewe kwa undani wako unaelewa Magufuli alitumia system aliyoikuta for his advantages; bila ya ulazima.
Hila kwa kazi yake on per, hakukuwa na mtu wa kumshinda Magufuli kumsinda Magufuli uchaguzi wa 2020; acheni kuongea upumbumbavu.
Yule jamaa watanzania tulimuamini anauwezo wa kutuvusha kuliko mfano.
Ndio hivyo tena chema; hakidumu.
Hakukuwa na wa kumshinda Magufuli 2020 kubishana hilo na wewe ni ku entertainment whatever mental issues you have.Hakuna aliyekuwa na tatizo la Magufuli kushinda kihalali, tulitaka kura halali zitangazwe kisha ungejua ni kwa kiwango gani kizazi kimebadilika. Lakini hakuwa tayari kupokea matokeo ya halali ambayo yalikuwa kinyume cha utashi wake na nyie waumini wake.
Narudia tena, hakuna aliyekuwa ana tatizo na Magufuli kushinda kihalali, zingatia hilo neno kushinda kihalali. Kwa taarifa yako uchaguzi wa 2020 ulikuwa na wapiga kura wachache sana, na sababu hasa ni tabia ya huyohuyo Magufuli kunajisi chaguzi. Ukiona mtu unayeamini anaweza kushinda kihalali, kisha hayuko tayari kuona matokeo ya halali yakitangazwa, ww utakuwa ni punguani wa kawaida kabisa.Hakukuwa na wa kumshinda Magufuli 2020 kubishana hilo na wewe ni ku entertainment whatever mental issues.
Hilo lipo wazi hata leo isingekuwa covid wengi wanajiuliza kwa mungu kwanini ukawatolea yule.
Hizo ndio facts za mtaani ukitoa upuuzi wenu wa mitandaoni.
Ndio maana nikakueleza Issue ni mfumo wa kujihami alioukuuta, jumlisha na nguvu zake za kikatiba kuweza kuamua matokeo ya uchaguzi. You can’t blame people for taking automatic advantages they have in life.Narudia tena, hakuna aliyekuwa ana tatizo na Magufuli kushinda kihalali, zingatia hilo neno kushinda kihalali. Kwa taarifa yako uchaguzi wa 2020 ulikuwa na wapiga kura wachache sana, na sababu hasa ni tabia ya huyohuyo Magufuli kunajisi chaguzi. Ukiona mtu unayeamini anaweza kushinda kihalali, kisha hayuko tayari kuona matokeo ya halali yakitangazwa, ww utakuwa ni punguani wa kawaida kabisa.
Kipimo cha kueleweka na wananchi wengi ni kwenye box la kura halali sio hizo blabla zako. Hakuna mwenye tatizo na yeye kushinda kihalali, hata kama ww na wapambe wake mngelala kwenye vituo vya kura. Kila mtu alitegemea kwenye kampeni za uchaguzi wa 2020 Magufuli ndio angepata watu tu, lakini alichokiona kwenye kampeni ile alijua alijidanganya kwa kuamini kuwa kawamaliza wapinzani hasa CDM. Hata ile kuumwaumwa wakati wa kampeni ni pale alipokuwa anaona ukweli uliomuumiza, aliyetumia nguvu kubwa kumchafua alikuwa anapata watu wengi bila hata bango moja la matangazo, wala mbeleko ya vyombo vya dola. Hata yeye kuamua kupora uchaguzi ule ni baada ya kuona matokeo hayaendani na matamanio yake.Ndio maana nikakueleza Issue ni mfumo wa kujihami alioukuuta, jumlisha na nguvu zake za kikatiba kuweza kuamua matokeo ya uchaguzi. You can’t blame people for taking automatic advantages they have in life.
Lakini kiuhalisia ata Magufuli bila ya kutumia nguvu zake za kikatiba; hakukuwa na mtu wa kumshinda uchaguzi wa haki 2020. Hata angeamua kuwatundika viongozi wote wa upinzani hadharani wapigwe risasi mbele ya national TV; jamaa wananchi walio wengi walimwelewa na tungempa kura.
Leadership is about trust, wananchi waliowengi wakikuelewa na kukuamini kwenye uongozi: you can get away with anything.
Magufuli wananchi tulimwelewa na kumuamini; msingeweza mshinda.
Kufa kwake kwa ghafla ametukosea sana watanzania.
Akili zako zina kutosha mwenyewe.Kipimo cha kueleweka na wananchi wengi ni kwenye box la kura halali sio hizo blabla zako. Hakuna mwenye tatizo na yeye kushinda kihalali, hata kama ww na wapambe wake mngelala kwenye vituo vya kura. Kila mtu alitegemea kwenye kampeni za uchaguzi wa 2020 Magufuli ndio angepata watu tu, lakini alichokiona kwenye kampeni ile alijua alijidanganya kwa kuamini kuwa kawamaliza wapinzani hasa CDM. Hata ile kuumwaumwa wakati wa kampeni ni pale alipokuwa anaona ukweli uliomuumiza, aliyetumia nguvu kubwa kumchafua alikuwa anapata watu wengi bila hata bango moja la matangazo, wala mbeleko ya vyombo vya dola. Hata yeye kuamua kupora uchaguzi ule ni baada ya kuona matokeo hayaendani na matamanio yake.
Unasema wananchi walimwelewa wakati vyombo vyote vya habari vilikuwa vinampamba yeye, na wakati huo huo akawa amezuia wengine kufanya siasa ama kupewa airtime. Utakuwa ni bonge la mwendawazimu kusema Simba ni timu nzuri, huku iko uwanjani inacheza yenyewe, kisa washabiki wake wanaisifia na kuielewa. Kama wananchi wangekuwa wamemwelewa hivyo asingepika idadi ya wapiga kura, na hadi idadi ya kura alizotaka atangazwe nazo. Mtu mjinga tu ndio unaweza kumwambia hili usemalo akaelewa.
Duh! Huu ni zaidi ya upumbavu, ni ushetani katika umbo lake haswaa.Hata angeamua kuwatundika viongozi wote wa upinzani hadharani wapigwe risasi mbele ya national TV; jamaa wananchi walio wengi walimwelewa na tungempa kura.
Seriously? Including getting away with murder? Umelewa nini ndugu yangu na mimi niitafute!Leadership is about trust, wananchi waliowengi wakikuelewa na kukuamini kwenye uongozi: you can get away with anything.
Wananchi gani hao unawaongelea? How stupid can one get?Magufuli wananchi tulimwelewa na kumuamini; msingeweza mshinda.
Malipo ya uovu ni hapa hapa duniani. Magufuli got what he deserved and for your info, many celebrated his death. By many I exclude crazies like you of course!Kufa kwake kwa ghafla ametukosea sana watanzania.
MachirikaChadema lazima watambue kwamba mchawi wao ni mbowe,amegeuza Hiko Chama kuwa ni chama Cha ukoo
The negativity of Magufuli leadership is in your head, otherwise facts za shujaa zipo kwa mamillioni ya watu waliokitaa.Duh! Huu ni zaidi ya upumbavu, ni ushetani katika umbo lake haswaa.
Seriously? Including getting away with murder? Umelewa nini ndugu yangu na mimi niitafute!
Wananchi gani hao unawaongelea? How stupid can one get?
Malipo ya uovu ni hapa hapa duniani. Magufuli got what he deserved and for your info, many celebrated his death. By many I exclude crazies like you of course!
Maza siasa hawezi ni mtu wa kupanic snNaona kitendo Cha CHADEMA kutokuhudhuria mkutano wa Baraza la wadau wa siasa limemkasirisha Sana Mh Rais mpaka kuanza kuwasema CHADEMA. Kwa mfano Rais kadai CHADEMA kutokuja kwenye mkutano huo wa Leo wamegawanyika.
Wananchi gani mkuu, au unadhani huku mitandaoni sio mtaani? Ama unadhani tuko nje ya nchi nini? Ilitakiwa anakubalika aheshimu uchaguzi, kisha tujue ukweli, sio anakubalika kwa propaganda zake, huku akikwepa kipimo halisi cha kukubalika kwake.Akili zako zina kutosha mwenyewe.
Ebu ingia kitaaa umuulizie mtu ambae mfumo wake wa maisha hautegemei mshahara wa serikali au system yoyote ya ufisadi inayomnufaisha akwambie.
Yaani wananchi hasira zao kwa Magufuli ni kufa kwake kishamba tu; si angepiga tu chanjo ya covid.
Sitaki kukulisha maneno; nenda kaulize kwa wananchi wakuambie.
Magufuli alikuwa jembe
Sisi wanachadema ndiyo tunaamua nani awe mwenyekiti wetu.Kwahiyo atakuwa ni mwenyekiti wa chama hadi kifo kimkute hapo siyo??
Sasa hiyo demokrasia anayohubiri siku zote iko wapi??
Je,hautafakari hata kwa hilo dogo tuh??
You couldn't recognize idiocy if it hit you in the face! You are beyond repair dude, kazikwe na huyo shetani wako Chato!I can go on and on kuhusu huyo mtu. Ni chizi tu ndio hakumuelewa.
Ila kafa kaiacha CHADEMA kama alivyoikuta!.Magufuli hakuwa mjinga kutoiamini Chadema
Chadema ni Chama Cha Mabwanyenye wengine wako huko huko CCM 😂😂🔥🌟
Aliikuta na Mbunge 1?Ila kafa kaiacha CHADEMA kama alivyoikuta!.