Rais Samia katumia muda mwingi kuishambulia CHADEMA

Rais Samia katumia muda mwingi kuishambulia CHADEMA

Kwake kafukuza kina nduu gay,Palaa magamba, luu kuvi anadhani pakosawaaa??
Time ya uchaguzi iwekwe sawa tukutane kwenyekura!! Miradi tunaambiwa inakimbizwa ajabu haikamiliki mnaona watu mazezeta!!
Kweli, nadhani anataka kuvicontrol vyama vingine Kama anavyo control CCM . Ndio maana hataki challenge na anataka waendelee anavyotaka yeye.
 
CDM hawana muda wa vikao vya kupotezeana muda visivyo na majibu ya kinachotakiwa. Hiyo mikutano fanyeni na hivyo vyama vinavyotengemea hisani ya CCM ili vijiendeshe.
Mikutano ya hivyo ni upotrvu wa pesa
 
Muhimu atulize munkari Awa-zoom/aende nao kwa tahadhari kubwa.Asiwachukulie kama watoto wadogo au ng'ombe wasio na ethics.Kadiri unavyokuwa na ukinzani nao na wao watazidi kukuonesha balaa lao.Dunia imebadilika hii.
Hao inatakiwa asiwachekee kama alivyofanya mwendazake.
 
Ana taarifa za CDM zisizomuhusu wakati ameshindwa kuendesha bandari!
Kweli kabisa. Hata taarifa ya kushusha Bei ya petroli Hana ila za CHADEMA anazo. Kuna shida mahali.
 
Sidhani. Itakuwa kadanganywa tu. Maana inaonekana CHADEMA waliahidi Kuja, ila wakahairisha siku ya mkutano. Wangekataa kabla akina Halima Mdee wangeletwa kuwakilisha chama
 
Ukiniuliza mimi kuhusu speech ya raisi, ntasema she wasn’t tough enough. But then ni mama mwenye huruma kutokana makando kando yake na yeye.

Nonetheless siasa za CDM sio za kuchekewa kabisa kwa kiongozi ambae yupo serious kuongoza nchi.

CDM hawanaga sera zaidi ya kutafuta social issues (be it minor wao kujaribu kuzua mzozo mkubwa) for political mileage za kujaribu kuongelewa.

Kama mfuasi wa Magufuli ambae sikuwa ‘blind supporter’ wa mambo yake yote (mfano against his approach on dealing with covid), alivyokata watu CCM kwenye kura za maoni na mengine machache; but he was still the best president.

Shida ni CCM kucheka na hawa sakapoko; it must be said na CCM yenyewe ya leo nayo hovyo.
 
Sawa nimekuelewa
BoT Monetary statement for the year ending July 2023(January -July 2023)
Screenshot_20230912-064739_1.jpg
Screenshot_20230912-064841_1.jpg
 
Ukiniuliza mimi kuhusu speech ya raisi, ntasema she wasn’t tough enough. But then ni mama mwenye huruma kutokana makando kando yake na yeye.

Nonetheless siasa za CDM sio za kuchekewa kabisa kwa kiongozi ambae yupo serious kuongoza nchi.

CDM hawanaga sera zaidi ya kutafuta social issues (be it minor wao kujaribu kuzua mzozo mkubwa) for political mileage za kujaribu kuongelewa.

Kama mfuasi wa Magufuli ambae sikuwa ‘blind supporter’ wa mambo yake yote (mfano against his approach on dealing with covid), alivyokata watu CCM kwenye kura za maoni na mengine machache; but he was still the best president.

Shida ni CCM kucheka na hawa sakapoko; it must be said na CCM yenyewe ya leo nayo hovyo.
Acha hizo, siasa kwa Sasa ni ushindani sio monopoly ya chama kimoja. Kusema CCM inawachekea CHADEMA inamaanisha CCM watumie vyombo vya Dola kuishambulia CHADEMA. Magufuli alitumia hiyo approach kafa kaiacha CHADEMA, hata huyo mama akitumia hiyo approach hatafanikiwa
 
Mwanamke wa kiafrika bado hajafikia kiwango cha kuongoza nchi. Hotuba ya leo utadhani alikuwa anahutubu kwenye kitchen party
Siyo mwanamke wa kiafrika tu, Mwanamke yoyote kuongoza mbele ya wanaume ni laana hata Kibiblia iko wazi mwanamke anaweza kuwa kiongozi mbele ya wanawake wenzake na watoto. Matatizo mengine na laana zingine tumjitakia wenyewe kuruhusu na kukubali kuongozwa na mwanamke
 
#Kuhusu #hotuba ya #Rais #leo;

1. Ametumia #muda mwingi kuzungumzia Chadema kuliko kilichompeleka kwenye mkutano. As the result Chadema imekua agenda kubwa kuliko mkutano wenyewe. Hapa Chadema 3, Msajili 0.

2. #Hana taarifa sahihi jamii inavyomchukulia. Aache kukumbatia "chawa" atumie vyombo vyake kujua hali halisi ilivyo mtaani. Ni tofauti kabisa na anavyojiaminisha. Watu wamemkinai mno.

3. Anadai #kuunda kikosi cha kufuatilia maoni #mtandaoni na kuyafanyia kazi. Awamu ya 5 kilikuwepo kikosi kama hicho na wakosoaji walipotea, kukamatwa na wengine kuumizwa. Je anataka kuturudisha zama hizo za giza?

4. #Anadai anapenda kukosolewa, lakini ukimsikiliza dhamiri inakataa. Angekua anapenda kukosolewa leo TEC wangealikwa. Kanisa lenye nusu ya Wakristo wote nchini linakosaje mwaliko?

5. #Chawa wamemwaminisha wanaomkosoa wanamtukana. Hawezi kutofautisha ukosoaji na matusi. Kupinga mkataba wa bandari sio matusi. Kutetea Wamasai wa Ngorongoro sio matusi. Kudai Katiba mpya sio matusi. Wapuuze wanaokuaminisha hivyo.

6. Anasema #uhuru wa #maoni una mipaka, lakini anaamini yeye ndio mwenye kipimo cha kuweka hiyo mipaka. Wanaotoa maoni yasiyomfurahisha anadhani wanatumia uhuru wao vibaya [emoji1787].

7. Waliomwambia #JPM kwamba Katiba ni kitabu kisichoweza kuleta maendeleo, ndio haohao wanaomwambia Samia kuwa Katiba ni kitabu tu, kinaweza kuwepo na kisifuatwe. Ni aibu kiongozi aliyeapa kulinda Katiba kutamka maneno haya hadharani.

8. #Watanzania wanataka #Katibampya sio elimu ya Katiba. Katiba ni vile jamii inavyotaka kujiongoza yenyewe. Watanzania wanajua wanataka waongozwe vipi. Walishatoa maoni yao Tume ya Warioba. Hawahitaji kufundishwa tena kuhusu hilo.

9. #Mabalozi walioalikwa leo kuna jinsi wamebadili mtizamo wao kwa Rais Samia. Wengi wamekua "disappointed" na hotuba yake. Ni hotuba mbovu zaidi tangu aingie madarakani.

10. #Tusubirie zile ramli za #Polisi kwamba "Taarifa za kiitelijensia zinaonesha uvunjifu wa amani, hivyo mkutano wenu umezuiwa"

Kwa kifupi Mama ameturudisha zama za "jiwe"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao inatakiwa asiwachekee kama alivyofanya mwendazake.
Hawahitaji hisani ya rais, huyo rais wa mchongo anaweza kuchukua hatua yoyote, lakini ukweli ni kuwa kizazi kimeshabadilika sio cha kuburuzwa tena.
 
Acha hizo, siasa kwa Sasa ni ushindani sio monopoly ya chama kimoja. Kusema CCM inawachekea CHADEMA inamaanisha CCM watumie vyombo vya Dola kuishambulia CHADEMA. Magufuli alitumia hiyo approach kafa kaiacha CHADEMA, hata huyo mama akitumia hiyo approach hatafanikiwa
Wewe mwenyewe kwa undani wako unaelewa Magufuli alitumia system aliyoikuta for his advantages; bila ya ulazima.

Hila kwa kazi yake on per, hakukuwa na mtu wa kumshinda Magufuli kumsinda Magufuli uchaguzi wa 2020; acheni kuongea upumbumbavu.

Yule jamaa watanzania tulimuamini anauwezo wa kutuvusha kuliko mfano.

Ndio hivyo tena chema; hakidumu.
 
Ukiniuliza mimi kuhusu speech ya raisi, ntasema she wasn’t tough enough. But then ni mama mwenye huruma kutokana makando kando yake na yeye.

Nonetheless siasa za CDM sio za kuchekewa kabisa kwa kiongozi ambae yupo serious kuongoza nchi.

CDM hawanaga sera zaidi ya kutafuta social issues (be it minor wao kujaribu kuzua mzozo mkubwa) for political mileage za kujaribu kuongelewa.

Kama mfuasi wa Magufuli ambae sikuwa ‘blind supporter’ wa mambo yake yote (mfano against his approach on dealing with covid), alivyokata watu CCM kwenye kura za maoni na mengine machache; but he was still the best president.

Shida ni CCM kucheka na hawa sakapoko; it must be said na CCM yenyewe ya leo nayo hovyo.
Sio kuwachekea, ni kuwa zama za CCM kutawala kwa ridhaa ya umma zilishapita. Hivyo ili watawale kwa shuruti mabavu tu ndio yatawabeba. Magufuli kwako alikuwa Best president kwakuwa unaamini kwenye kiburi cha madaraka. Lakini inapokuja kwenye ubora wa uongozi hayupo.
 
Back
Top Bottom