nkuwi
JF-Expert Member
- Feb 11, 2013
- 4,806
- 5,347
mazaaa analongolongo nyingi zisizo na maanaWalk the Talk....Samia anataka kuhadaa watu, hana nia ya dhati kwenye lolote. mwongomwongo, mnafiki na mzandiki.
Sasa Kaonyeshwa kwamba kuna watu hawataki hiyo michezo yake yakutafuta kupiga picha za kuuza sura duniani kwa mabwana wanaompea hela.