Rais Samia katumia muda mwingi kuishambulia CHADEMA

Rais Samia katumia muda mwingi kuishambulia CHADEMA

Leop ndiyo tumejua kuwa CHADEMA si chama cha siasa bali ni
  1. chama cha wachaga
  2. cha ca magaidi
  3. chama cha wavunja sheria kwa sababui eti tu wanawanasheria
  4. chama cha wa wafanya fujo
Kama unabisha- tueleze kwa nini hakikwenda kwenye mkutano wa vyma vya siasa
Kama ni chama Cha wachaga basi Msajili atakuwa kilaza wa mwisho. Kwanini kasajili chama Cha kikabila.
 
Tabu inaanza pale Rais anapohutubia kama mwenyekiti wa chama kwenye tukio linalohitaji fikra za kiongozi wa nchi na sio chama...
 
HiKichwa Cha huyo mtu hakina Maarifa ,hakina Uwanda mpana wa ufahamu.


Hotuba zake zoooote Huwa ni kama Mama anaongea kwenye familia yake na watoto wake.

Huoni Rais Ndani yake.

Mnajua huyu mtu alikubalika kua makamo Kwa sababu tatu.

1-Ni mdhaifu, Ivo kupitia yeye, Zanzibar ingeendelea kupokea maelekezo.


2-Mzanzibar .

3-Ni mwanamke, kuweka historian ya Mwanamke wa kwanza Makamo.



Kwa bahati mbaya sana, JPM akakata moto njiani.


To be honesty , HAFAI NA HANA SIFA WALA UWEZO WA KUA RAIS WA NCHI YOYOTE ILE.
Kweli kabisa Hana sifa.
 
Tabu inaanza pale Rais anapohutubia kama mwenyekiti wa chama kwenye tukio linalohitaji fikra za kiongozi wa nchi na sio chama...
Hapo ndio anapokosea, anashindwa kutofautisha kofia ya chama na urais wa nchi.
 
Kumbe Mabosi wamekuja na wakakuta “msukule” Mkuu wa Chuma Ulete umekata kamba ….hata ingekua mimi ningepanik …. Ina maana dollars Haziji
Kweli waliwaleta mabalozi pale ili kuwatumia CHADEMA Kama ngazi ya kupata dollars, Sasa CHADEMA nao wakagoma Kuja.
 
Wewe ndio mbumbumbu. Mimi nakuuliza kitu kingine wewe unanijibu kitu kingine. Kwa hivyo hayo yote Dr Mwigulu hakuvijua na PhD yake?. Mpaka aende kupiga magoti World Bank.
Serikali inapambana reserves zisishuke chini ya miezi 4 kama ilivyo malengo ya serikali.

Traditional ways za kupata Dola ni exports,Utalii na mikopo ndio maana amewasihi watoe Mkopo
 
Asipozungumzia CDM atazungumzia chama gani tena, wengi wetu Lissu ndio rais aliyeko mioyoni, ukiniuliza mimi mbunge wangu ni Sugu, japo moyoni lakini ndio ukweli, hata Bi. Tulizana analijua hilo, hivyo msishangae Mh. Rais kuiongelea sana CDM, anajua kabisa anaweza kuongoza kwa utulivu ikiwa tu CDM watakuwa upande wake.
Kweli kabisa. CHADEMA wakimgeuka Rais mazima ataongoza kwa shida Sana. Maana Kuna kipindi Cha maridhiano CHADEMA walitulia mama akawa free, Sasa CHADEMA wamemgeuka amekuwa mbogo.
 
Kweli kabisa. CHADEMA wakimgeuka Rais mazima ataongoza kwa shida Sana. Maana Kuna kipindi Cha maridhiano CHADEMA walitulia mama akawa free, Sasa CHADEMA wamemgeuka amekuwa mbogo.
Muhimu atulize munkari Awa-zoom/aende nao kwa tahadhari kubwa.Asiwachukulie kama watoto wadogo au ng'ombe wasio na ethics.Kadiri unavyokuwa na ukinzani nao na wao watazidi kukuonesha balaa lao.Dunia imebadilika hii.
 
Ana taarifa kuliko unavyofikiria.
Sidhani. Itakuwa kadanganywa tu. Maana inaonekana CHADEMA waliahidi Kuja, ila wakahairisha siku ya mkutano. Wangekataa kabla akina Halima Mdee wangeletwa kuwakilisha chama
 
Tatizo la Dkt Samia anajaribu kuongea na marehemu chadema kilichobaki ni ki ngo tu cha mbowe. Siku zote marehemu huwa haongei. Tunafurahi sana yamempata yake tuliyotabiri na kumshauri eti mpaka anaalikwa bavicha kiasi kwamba usalama wake siku tuliogopa sana. Mbowe ni gaidi
Nikukumbushe tu, CHADEMA ndio chama pekee kilichomfanya mikutano robo tatu ya nchi, wengine wamelala ndani. Sasa Kama kimekufa na kinafanya mikutano karibia nchi nzima wengine tuwaiteje?.
 
Back
Top Bottom