Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 16,039
- 7,465
Walk the Talk....Samia anataka kuhadaa watu, hana nia ya dhati kwenye lolote. mwongomwongo, mnafiki na mzandiki.CHADEMA wanajua sana kukera hawataki demokrasia ya maneno bila vitendo maza aache kurembuarembua tu
Sasa Kaonyeshwa kwamba kuna watu hawataki hiyo michezo yake yakutafuta kupiga picha za kuuza sura duniani kwa mabwana wanaompea hela.