Rais Samia katumia muda mwingi kuishambulia CHADEMA

Rais Samia katumia muda mwingi kuishambulia CHADEMA

Naona kitendo Cha CHADEMA kutokuhudhuria mkutano wa Baraza la wadau wa siasa limemkasirisha Sana Mh Rais mpaka kuanza kuwasema CHADEMA. Kwa mfano Rais kadai CHADEMA kutokuja kwenye mkutano huo wa Leo wamegawanyika.
Ndo maana tunasema raisi anapaswa kuwa na kifua kwa maana ya kuwa na biashara.
 
Naona kitendo Cha CHADEMA kutokuhudhuria mkutano wa Baraza la wadau wa siasa limemkasirisha Sana Mh Rais mpaka kuanza kuwasema CHADEMA. Kwa mfano Rais kadai CHADEMA kutokuja kwenye mkutano huo wa Leo wamegawanyika.
maadili yameporomoka sana huko
 
Naona kitendo Cha CHADEMA kutokuhudhuria mkutano wa Baraza la wadau wa siasa limemkasirisha Sana Mh Rais mpaka kuanza kuwasema CHADEMA. Kwa mfano Rais kadai CHADEMA kutokuja kwenye mkutano huo wa Leo wamegawanyika.
Chadema inaharibiwa na vichaa wachache mle, mfano
 
Mti wenye matunda ndio hupigwa mawe.

Mama amechukia sana Chadema kutohudhuria.

Lakini sasa hakuna namna.
Tatizo kaonesha emotions zake. Yeye angechukulia kawaida. Na kujikita kwenye lengo kuu la Leo.
 
Hata huku makazini tuliko utaona kabisa kijana mchapa kazi, shupavu tusio na maringo. Weledi.
Ukiuliza vizuri utaambiwa yule jamaa ni CHADEMA.

Niliwahi kuandika humu kuwa hata Ukisikia Wakili au Mwanasheria Mbabe na Kichwa kikali basi hutakuta mahali pengine bali ni CHADEMA.

Hotuba ya Mh Rais Samia imedhihirisha kuwa kikao cha leo cha baraza la vyama vya siasa na wadau wa demokrasi hakihitaji Zitto, Lipumba wala Chongola na Chalamila bali kilihitaji Watu wazito wenye weledi na hoja kuntu kama Mh Mbowe na Mh Tundu Lissu.

Sikiliza Hotuba ya Rais Samia utaona Njaa ya kuikosa CHADEMA kwenye jambo lao.
 
Magufuli hakuwa mjinga kutoiamini Chadema

Chadema ni Chama Cha Mabwanyenye wengine wako huko huko CCM 😂😂🔥🌟
Mzee wakubadili upepo!

Huyo dikteta uchwara wako bada ya kuiba kura na kujipa ushindi na kwakuwa alikuwa mshamba akasahau makubaliano na jumuiya za kimataifa kuwa baadhi ya misaada haitoki maana wahisani wanatoa tu baada ya kuwepo kwa dalili za demokrasia ya vyama vingi , ndio washamba wakamuuza kwenda kusua lile dili la kutafuta uhalali wa CHADEMA kuwepo bungeni ndio wakatokea wale mamluki wa COVID -19.

Huyo dikteta wenu alikuwa "gaslighted" kuwa wapinzani ndio wabaya wake kumbe wabaya wake ndio alikaa nao meza moja.

Angalia baada ya yeye kufa ndio tukajua haya.

1. Uwepo wa magawio fake ya mashirika ya umma( watu waijengewa hofu kukopa hela huku mashrika yakitia hasara iliionekane tu yanajiendesha kifaida)

2. Mchakato wa ujenzi wa airport kijijini Chato haukuzingatia taaratibu hata kampuni iliyohusika ilikuwa na mkono wake,

3.Kutoroshwa wa pesa za plea bargain benki za uchina

4.ATCL kujiendesha kihasara wa miaka zaidi ya 3 mfululizo.

5.Watu walitupilia mbali ujinga wa kujfukiza na kukubali kuchanjwa huku lile banda la nyungu Muhimbili liitelekezwa.

6. Mikopo ya kisirisiri na kukamatwa kwa ndege nje ya nchi kutokana na madeni yaliyoyokana na kuvunja mikataba hovyo kutokana na ukichaa wake.
 
Eti huko kwao kuna waka moto?? Sasa mbona hayahusiani?

Tuliwambia Bila Chadema hakuna tangible discusion hapo.

Mama mwenyewe anajua vikao bila vichwa vya Chadema ni sawa na vikao vya harusi tu.
Amenishangaza Sana. Anadai hata kutokuja kwenye mkutano wa Leo wamegawanyika , wale wanaotaka na wale wasiotaka. Huko kwao kwa moto. Amejuaje?
 
Back
Top Bottom