Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama kakasirika Sana, maana katoa millioni mia mbili kwenye kasma ya baraza halafu CHADEMA hawajaja, maana yake mkutano hauna maana.ahahaa ili avute mkwanja ughaibuni chadema wanamnyima mama ulaji nimemwona kakasirika leo hao jamaa kukosekana
Rais wako anakitambua chadema na mhe Mbowe, iweje wewe mtu baki usijiheshimu?Chadema lazima watambue kwamba mchawi wao ni mbowe,amegeuza Hiko Chama kuwa ni chama Cha ukoo
Bi tozo bhana!Eti huko kwao kuna waka moto?? Sasa mbona hayahusiani?
Tuliwambia Bila Chadema hakuna tangible discusion hapo.
Mama mwenyewe anajua vikao bila vichwa vya Chadema ni sawa na vikao vya harusi tu.
CHADEMA wana kura zangu nne.Naona kitendo Cha CHADEMA kutokuhudhuria mkutano wa Baraza la wadau wa siasa limemkasirisha Sana Mh Rais mpaka kuanza kuwasema CHADEMA. Kwa mfano Rais kadai CHADEMA kutokuja kwenye mkutano huo wa Leo wamegawanyika.
CHADEMA kilikufa lini? Kingekufa mama asingefume Leo mpaka Kuna muda akawa anashindwa kuongeaTumtahadharisha toka mwanzo kuwa mbowe na genge lake ni matapeli siyo wa kuwaweka karibu. Alipaswa aruhusu upinzani mypa kama uchipuke kama ilivyokuwa CUF, NCCR na kifo cha chadema, sasa eti yeye mama yetu akataka kufufua chama cha upinzani kilichokufa Hahaha 🤣
Naona kitendo Cha CHADEMA kutokuhudhuria mkutano wa Baraza la wadau wa siasa limemkasirisha Sana Mh Rais mpaka kuanza kuwasema CHADEMA. Kwa mfano Rais kadai CHADEMA kutokuja kwenye mkutano huo wa Leo wamegawanyika.
Leo kuna mtu amechambwa mpaka basiNaona kitendo Cha CHADEMA kutokuhudhuria mkutano wa Baraza la wadau wa siasa limemkasirisha Sana Mh Rais mpaka kuanza kuwasema CHADEMA. Kwa mfano Rais kadai CHADEMA kutokuja kwenye mkutano huo wa Leo wamegawanyika.
Mabalozi ndio kina nani hapa Tanzania? Wakae Kwa kutuliaTatizo kaongea maneno ya ajabu mbele ya mabalozi. Kwa kifupi mama kademorolize mkutano wa Leo.
Kweli kabisa. Na CHADEMA kilipimwa vizuri kipindi Cha Magufuli kikajitofautisha na mamluki wengine.DUNIA NZIMA INAJUA UPINZANI TANZANIA NI CHADEMA. Hao CUF au ACT etc wasingehudhuria leo hata isingejulikana kama hawapo..all donors countries and other international community etc wanajua CHADEMA ndio democracy bila hao hamna democracy