Rais Samia katumia muda mwingi kuishambulia CHADEMA

Rais Samia katumia muda mwingi kuishambulia CHADEMA

Naona kitendo Cha CHADEMA kutokuhudhuria mkutano wa Baraza la wadau wa siasa limemkasirisha Sana Mh Rais mpaka kuanza kuwasema CHADEMA. Kwa mfano Rais kadai CHADEMA kutokuja kwenye mkutano huo wa Leo wamegawanyika.

IMG_7881.jpg
 
Mabalozi ndio kina nani hapa Tanzania? Wakae Kwa kutulia
Juzi dollar si zimeisha mmenda kupiga magoti worldbank ...bila kuwa na good democracy unadhani mgesogeza pua...CHADEMA ndio wanawabeba ndio maana Raisi cha kwanza aliwaita wafanye maridhiano ili ajenge picha nzuri Kwa wakubwa wa Dunia..

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Juzi dollar si zimeisha mmenda kupiga magoti worldbank ...bila kuwa na good democracy unadhani mgesogeza pua...CHADEMA ndio wanawabeba ndio maana Raisi cha kwanza aliwaita wafanye maridhiano ili ajenge picha nzuri Kwa wakubwa wa Dunia..

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Dola zinaweza patikana hata Kwa Nchi Moja Moja sio lazima WB
 
Naona kitendo Cha CHADEMA kutokuhudhuria mkutano wa Baraza la wadau wa siasa limemkasirisha Sana Mh Rais mpaka kuanza kuwasema CHADEMA. Kwa mfano Rais kadai CHADEMA kutokuja kwenye mkutano huo wa Leo wamegawanyika.
Leop ndiyo tumejua kuwa CHADEMA si chama cha siasa bali ni
  1. chama cha wachaga
  2. cha ca magaidi
  3. chama cha wavunja sheria kwa sababui eti tu wanawanasheria
  4. chama cha wa wafanya fujo
Kama unabisha- tueleze kwa nini hakikwenda kwenye mkutano wa vyma vya siasa
 
Mgongo wa CCM kula hela za wazungu kuhusu siasa ni Chadema. Lazima wakasirike.

LAST TIME baada ya mariadhiano ….Milango Mingi Sana ya Mama ilifunguka kama bomba .. kukiwa na harmony kila kitu kinaenda …
Mara ya kwanza wakati Mama anaingia alienda marekani ..Hali ilikuwa mbaya Sana ..kila alipoenda alikuwa anakutana na mabango na watu wanazomeaaa… kuna mahali iliripotiwa ilibidi aingiziwe Mlango wa dharura hotelini …. Ungeweza kuona namna alivyokuwa Hana raha
 
Mwanamke wa kiafrika bado hajafikia kiwango cha kuongoza nchi. Hotuba ya leo utadhani alikuwa anhutubu kwenye kitchen party
Kichwa Cha huyo mtu hakina Maarifa ,hakina Uwanda mpana wa ufahamu.


Hotuba zake zoooote Huwa ni kama Mama anaongea kwenye familia yake na watoto wake.

Huoni Rais Ndani yake.

Mnajua huyu mtu alikubalika kua makamo Kwa sababu tatu.

1-Ni mdhaifu, Ivo kupitia yeye, Zanzibar ingeendelea kupokea maelekezo.


2-Mzanzibar .

3-Ni mwanamke, kuweka historian ya Mwanamke wa kwanza Makamo.



Kwa bahati mbaya sana, JPM akakata moto njiani.


To be honesty , HAFAI NA HANA SIFA WALA UWEZO WA KUA RAIS WA NCHI YOYOTE ILE.
 
Lazime chama dola kongwe CCM, Msajili wa Vyama, vyama vya mkobani / briefcase pia watawala wakasirike maana mdau mkubwa CHADEMA kutotokea leo huku kuna wadau wa maendeleo kutoka balozi za ulaya wamefika ukumbini na lazima mabalozi watajiuliza sababu za chama kikuu cha upinzani CHADEMA kutotokea kuna kitu hakipo sawa.
Mabalozi wanaonekana wakituma jumbe txt kwa simu janja za kiganjani kuwa kuna hadaa kubwa ya kisiasa ya Chama Dola Kongwe CCM inaendelea Tanzania mbali ya mkutano huo pia mchakato wa marekebisho ya kupata katiba mpya n.k kufadhiliwa na balozi zao
MABALOZI WA ULAYA UKUMBINI
Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) Jijini Dar es Salaam tarehe 11 Septemba, 2023.
1694432728973.png

Mabalozi kutoka nchi mbalimbali wakiwa kwenye Mkutano Maalum wa Baraza la Vyama vya Siasa na Wadau wa Demokrasia Kutathmini Utekelezaji wa Mapendekezo ya Kikosi Kazi na Hali ya Siasa nchini katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) Jijini Dar es Salaam tarehe 11 Septemba, 2023
 
Mwanamke wa kiafrika bado hajafikia kiwango cha kuongoza nchi. Hotuba ya leo utadhani alikuwa anhutubu kwenye kitchen party
aisee nimemchekiiii, halafu nikamhurumia sana mama. Kazi aliyokabidhiwa ni ngumu sana kwake. Kiongozi shupavu angeweza kuongea hata bila kuwazungumzia chadema. Lakini muda mwingi amemzungumzia T.A.L na CDM. Nathubutu kusema, wale mnaomshawishi mama kugombea 2025 acheni kabisa kufanya hivyo.
 
Leop ndiyo tumejua kuwa CHADEMA si chama cha siasa bali ni
  1. chama cha wachaga
  2. cha ca magaidi
  3. chama cha wavunja sheria kwa sababui eti tu wanawanasheria
  4. chama cha wa wafanya fujo
Kama unabisha- tueleze kwa nini hakikwenda kwenye mkutano wa vyma vya siasa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom